Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Halafu nyie jamaa acheni mambo ya ajabu. Kama mpo kwenye title race semeni sio mnakataa halafu mkiingia uwanjani mnakaza. Kama mpo kwenye race semeni sisi tujue tunapambana na nani, kama mnautaka ubingwa mnaogopa nini kusema mbona hamjiamini, Mnatuchanganya aseee sisi tunajua city na arsenali ndo wapinzani na nyie mmeongezeka ila tukiwauliza mnakataa.
 
Halafu nyie jamaa acheni mambo ya ajabu. Kama mpo kwenye title race semeni sio mnakataa halafu mkiingia uwanjani mnakaza. Kama mpo kwenye race semeni sisi tujue tunapambana na nani, kama mnautaka ubingwa mnaogopa nini kusema mbona hamjiamini, Mnatuchanganya aseee sisi tunajua city na arsenali ndo wapinzani na nyie mmeongezeka ila tukiwauliza mnakataa.
Tumalize ubishi
Kama hamtaki hilo kombe tangazeni kujitoa na FA watukabidhi kombe la sivyo sisi bado tunaendelea kuijenga timu. Ushindani wa makombe tulipangia kuanzia 2026/27
 
Halafu nyie jamaa acheni mambo ya ajabu. Kama mpo kwenye title race semeni sio mnakataa halafu mkiingia uwanjani mnakaza. Kama mpo kwenye race semeni sisi tujue tunapambana na nani, kama mnautaka ubingwa mnaogopa nini kusema mbona hamjiamini, Mnatuchanganya aseee sisi tunajua city na arsenali ndo wapinzani na nyie mmeongezeka ila tukiwauliza mnakataa.
Kombe mnapambania ww na wenzio man City na Arsenal, sisi Chelsea msimu huu tunataka top four tuu.
 
Hii meme Jana ilifanya kazi.
Caicedo alimpokonya mpira mpinzani, akampasia Enzo then goli la ushindi kutoka kwa Jackson.

🔥🔥🔥🔥🔥
💙🔵💙🔵💙

20241216_133303.jpg
 
Wachezaji ni binadamu. Kwenda Astana na kurudi ni masaa 16 hewani. Bado wachezaji walicheza mechi kwenye nyuzi joto -17°c. Hata kama wanalipwa mshahara sio marobot.

Mkuu Mnyooshe kidole James anayekula mshahara wa bure
Hata James sidhani kama ni uungwana kumnyooshea kidole sababu kinachomtokea kipo nje ya uwezo wake na anatamani sana kuipigania Chelsea na sote tunajua
 
Badiashile kaumia kwenye mazoezi na anaweza asicheze kwa mwezi mzima, ni muda wa Tosin kutamba na Acheampong kucheza RB kama kocha akitaka kwa sababu anaweza kumtumia Disais badla yake.
1734357193341.png
 
Enzo Maresca much respect, hii mechi nilikuwa naihofia kuliko zote kwa gemu zilizobaki first round
Tumezitaka counter attack zao kama umeme wa Tanesco
Mentality ya leo Last time kuiona ilikuwa zama Conte msimu wake wa 1
Bado tunamiss clinical winger maana tumekuwa na touch nyingi kwenye box ila tumekosa winger mwenye njaa na magoli
Hakika.
 
Kweli mkuu ,ila hivo hivo tutafika tu. Msimu huu kuna jambo letu, Ngoja tusubiri.
Kijana Hazard ulipotea wapi ndugu yangu? Tangu uende Real Madrid umestafu na kustafu ee. Karibu tena jukwaani. Chelsea sasa ni ya moto. Jana nilikuwa na ofu juu ya gemu yetu ila nilichokishuhudia uwanjani inanipa matumaini makubwa kabisa. Vijana wamechangamka kuna kitu wanataka msimu huu
 
Halafu nyie jamaa acheni mambo ya ajabu. Kama mpo kwenye title race semeni sio mnakataa halafu mkiingia uwanjani mnakaza. Kama mpo kwenye race semeni sisi tujue tunapambana na nani, kama mnautaka ubingwa mnaogopa nini kusema mbona hamjiamini, Mnatuchanganya aseee sisi tunajua city na arsenali ndo wapinzani na nyie mmeongezeka ila tukiwauliza mnakataa.
Wewe wasiwasi wako nini? Mbona unaogonza ligi na hatusemi?
 
Halafu nyie jamaa acheni mambo ya ajabu. Kama mpo kwenye title race semeni sio mnakataa halafu mkiingia uwanjani mnakaza. Kama mpo kwenye race semeni sisi tujue tunapambana na nani, kama mnautaka ubingwa mnaogopa nini kusema mbona hamjiamini, Mnatuchanganya aseee sisi tunajua city na arsenali ndo wapinzani na nyie mmeongezeka ila tukiwauliza mnakataa.
Sisi tupo kwenye harakati za kupambania kutoshuka daraja na kuhakikisha timu inamaliza kuanzia nafasi ya 12 kwenda juu. Mbio za ubingwa tunawaachia Liverpool, Arsenal na Man utd. Mtutoe kwenye mbio za ubingwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom