Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Enzo Maresca much respect, hii mechi nilikuwa naihofia kuliko zote kwa gemu zilizobaki first round
Tumezitaka counter attack zao kama umeme wa Tanesco
Mentality ya leo Last time kuiona ilikuwa zama Conte msimu wake wa 1
Bado tunamiss clinical winger maana tumekuwa na touch nyingi kwenye box ila tumekosa winger mwenye njaa na magoli
 
Chelsea yetu hii hapa
1734297257351.png
 
Enzo Maresca much respect, hii mechi nilikuwa naihofia kuliko zote kwa gemu zilizobaki first round
Tumezitaka counter attack zao kama umeme wa Tanesco
Mentality ya leo Last time kuiona ilikuwa zama Conte msimu wake wa 1
Bado tunamiss clinical winger maana tumekuwa na touch nyingi kwenye box ila tumekosa winger mwenye njaa na magoli
Usiofu yule dogo wa brazil anakuja. He is good so far
 
Enzo Maresca much respect, hii mechi nilikuwa naihofia kuliko zote kwa gemu zilizobaki first round
Tumezitaka counter attack zao kama umeme wa Tanesco
Mentality ya leo Last time kuiona ilikuwa zama Conte msimu wake wa 1
Bado tunamiss clinical winger maana tumekuwa na touch nyingi kwenye box ila tumekosa winger mwenye njaa na magoli
Halafu Benchi alikuwepo Nkunku tu
 
Hv haiwezekani kucheza 4-3-1-2 afu Nkunku akacheza pamoja na Jackson, yn kwa ufupi hakuna uwezekano wa Nkunku kucheza pamoja na Jackson?

Binafsi namkubali sana Nkunku kuliko Jackson.
Nkuku ni finisher mzuri kuliko Jackson ila bado ni static centre forward hivyo ni easy kuwa marked
Jackson ataendelea kucheza mpaka pale Nkuku atakapobadilika kuendana na soka tunalocheza
Jiulize kwa nini akiingia hata hizo nafasi anazokosa Jackson yeye hazipati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom