Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tumekosa kosa nyingi ,hawa Brentford si WA kuwafunga goli moja ukaridhika , washenzi wanakushangaza muda wowote hawa
 
Tumekosa kosa nyingi ,hawa Brentford si WA kuwafunga goli moja ukaridhika , washenzi wanakushangaza muda wowote hawa
 
Hii mechi nilijua itakuwa ngumu tu ,hawa nyuki ni timu sumbufu na jeuri pale Epl ,unapocheza nao lazima utulize akili sana
 
Mpaka sasa sijaona umuhimu wa Jackson
Hata kama amefunga na ametupa ushindi, jamaa bado anazingua mbele ya goli kuna mistake amefanya akiwa pekee yake mbele ya goli ungekuta amefunga mawili na kutufanya tushinde kwa 3:1
 
Hata kama amefunga na ametupa ushindi, jamaa bado anazingua mbele ya goli kuna mistake amefanya akiwa pekee yake mbele ya goli ungekuta amefunga mawili na kutufanya tushinde kwa 3:1
Kitu muhimu kwa Jackson ni mentality yake, baada ya kukosa goli la wazi, hakuridhika na hilo goli la pili ni goli la kulazimisha gumu, si kila striker anaweza kufunga hilo goli na ananikumbusha akina Diego Costa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom