Jibu hapa ni dogo sana kama team haiwezi kushinda moja bila haiwezi kuchukuwa ubingwa,zipo mechi hakuna nafasi ya kufunga magoli mengi,chelsea haiwezi kushinda mechi hizo kwa sababu itafunga goli na sanchez na mabeki wayafanya makosa ya ki senge watafungwa goli .Pia team ya ubingwa kuna wakati unashinda ugly ,city na ubora wa wachezaji kuna wakati alifanya hivyo spurs vs city 2023/2024 1-0.Sisi chelsea tuna shinda na decorations za kutosha , maana yake tukikutana na team yenye quality na maturity inatuzidi hatuwezi kushinda hiyo mechi.Mkuu sijui unamanisha nini? Chelsea ni no:2 kwenye table, Chelsea imefunga magoli kuliko timu yoyote Epl, Chelsea ina average timu ya umri mdogo kuliko timu yoyote Epl chelsea ina top players ambao wanapewa numbers timu yoyote Epl, wa kwanza ni 1.palmer 2, Neto 3,canceido 4 Enzo 5. Cuculera 7.Lavia hao wate wana uwezo wakukupa matokeo kwa wakati wowote.
Suali langu kwako ni kwamba unanataka timu iwe je ili tuwe title contenders mwaka hu?.....nina wakika hatuwezi kumfunga Liverpool kwasbb ya experience na kasi ya wachezaji wake, ila Brighton anaweza kumfunga sisi tuna uwezo wa 100% wa kumfunga Brighton na Newcastle kwahiyo mimi nasema chances za kua mabingwa 2024/5 ni above 50%
Liverpool sio wakuamini sanaa squad yake sio paana ki vile akipata majeruhi ataanza kuboronga, Arsenal kasha jikatia ringi mapema tu jana angepoteza tu, anategemea je, Kei, Rice, Thomas joghinio, Jesus, Matineli hao ni wa choovu fomu yao ni seasonal, timu Tishio ni mancity akijipanga ili dirisha la January kwasbb ya kocha wao ni wa mikakati ya kuchukua kombe.
Mkuu kwani kuchukua Epl title ni lazima tushide mechi zote? Unamaanisha CFC haijawahi kufanya clean sheet hata moja?Jibu hapa ni dogo sana kama team haiwezi kushinda moja bila haiwezi kuchukuwa ubingwa,zipo mechi hakuna nafasi ya kufunga magoli mengi,chelsea haiwezi kushinda mechi hizo kwa sababu itafunga goli na sanchez na mabeki wayafanya makosa ya ki senge watafungwa goli .Pia team ya ubingwa kuna wakati unashinda ugly ,city na ubora wa wachezaji kuna wakati alifanya hivyo spurs vs city 2023/2024 1-0.Sisi chelsea tuna shinda na decorations za kutosha , maana yake tukikutana na team yenye quality na maturity inatuzidi hatuwezi kushinda hiyo mechi.
Yah tunaweka mitambo sawa, hatutaki ubingwa.Kweli Kaka. Jibu letu ni moja tuu KWA MSIMU HUU TUNAJENGA TIMU YA KUGOMBEA UBINGWA MSIMU UJAO.
Kwa sasa tuendelee kuonyeshana makali.
Sanchez na ubovu wake hawezi kuizuia Chelsea isibebe ubingwaJibu hapa ni dogo sana kama team haiwezi kushinda moja bila haiwezi kuchukuwa ubingwa,zipo mechi hakuna nafasi ya kufunga magoli mengi,chelsea haiwezi kushinda mechi hizo kwa sababu itafunga goli na sanchez na mabeki wayafanya makosa ya ki senge watafungwa goli .Pia team ya ubingwa kuna wakati unashinda ugly ,city na ubora wa wachezaji kuna wakati alifanya hivyo spurs vs city 2023/2024 1-0.Sisi chelsea tuna shinda na decorations za kutosha , maana yake tukikutana na team yenye quality na maturity inatuzidi hatuwezi kushinda hiyo mechi.
Leo wengi ni wa akademiTimu iliyosafiri kwa mechi ya leo ya UEFA Conference League hii hapa ikiwa na academy 11
Makipa
Mabeki
- Jorgensen,
- Bergstrom,
- Merrick
Viungo
- Acheampong,
- Olise,
- Disasi,
- Tosin,
- Murray-Campbell,
- Veiga,
- Wilson
Washambuliaji
- Chukwuemeka,
- Dewsbury-Hall,
- Dyer,
- Rak-Sakyi,
- Vale
Natabiri line up itakuwa hivi
- Neto,
- George,
- Guiu
- Ampah,
- Mheuka
----------------Guiu----------------
George ----------Vale--------Neto
--------KDH -------------Carney ------
V eiga --- Tosin ----Disasi ---Asheampong
--------------Jorgensen----------------
Sema timu imewekeza zaidi kwenye mechi ijayo dhidi ya Brentford na kudharau mechi ya leoMcheza kwao hutuzwa na hali ya hewa
Bado ile ya kufuzu moja kwa moja kwenda hatua inayofuata bila kucheza mtoano.Lakini hata tukifungwa leo si tulishafuzu next round?
Neto mechi ijayo ya Epl hachezi ana adhabu, hivyo leo alikuwa hana cha kupoteza lazima achezeHaya mabonanza yanamfaa mudrick neto angepumzishwa
Disasi na Hall bado ni takataka mpaka kwenye mabonanzaGoli la mabeki.
Mabeki 3 wanamtolea macho adui badala ya kumkaba.
Astana 1 - 3 The Blues
Hili ni tatizo kubwa la chelsea Ulinzi ni shida hata akutane na Timu ndogo kiasi gani cleansheet ni ngumu sanaDisasi na Hall bado ni takataka mpaka kwenye mabonanza