Huu Champions
Member
- Jun 27, 2024
- 54
- 71
Siwakubalii ila mmejipataa
Hatutaki utukubali. Hatuna shida na weweSiwakubalii ila mmejipataa nyie mbwaaaaa...!
Siwakubalii ila mmejipataa
Hatutaki utukubali. Hatuna shida na weweSiwakubalii ila mmejipataa nyie mbwaaaaa...!
Sasa me nashida na timuu bovuuu kama hilii nimepita kuwajulia hali tu kenge mwituHatutaki utukubali. Hatuna shida na wewe
Sisi kazi yetu ni kupiga kimasiahara na kuwaumiza tu.Sasa me nashida na timuu bovuuu kama hilii nimepita kuwajulia hali tu kenge mwitu
Felix goli la tatu linamuhusu 100% alipitika kirahis sana mshenzi yule.Sema huyo Sanchez ni kichwa kigumu hawezi cheza game 2 bila tufanya mistake ni vile tunalindwa na idara ya ushambuliaji
Felix na Madueke wameingia dakika ya 89 lakini wanakaba kama wao ndio walianza in short wanastahili bench ni wachezaji wasiopenda kusuffer kwa ajili ya ushindi
Sifa kedekede zimuendee kocha Chelsea ilikuwa ikitanguliwa kufungwa goli 1 ndio mechi imeisha ila leo kutoka 2-0 mpaka kushinda ni muda sana hatujafanya hivyo
Nkuku nae ajifunze kucheza kwa kuattack space anajificha mno kwenye backline ili jambo linamfanya aendelee kusugua bench licha ya kuwa clinical kuliko Jackson
Umenikumbusha Pochettino, ilikuwa tukitunguliwa kamoja tu, hatuwezi kurudi mchezoniSema huyo Sanchez ni kichwa kigumu hawezi cheza game 2 bila tufanya mistake ni vile tunalindwa na idara ya ushambuliaji
Felix na Madueke wameingia dakika ya 89 lakini wanakaba kama wao ndio walianza in short wanastahili bench ni wachezaji wasiopenda kusuffer kwa ajili ya ushindi
Sifa kedekede zimuendee kocha Chelsea ilikuwa ikitanguliwa kufungwa goli 1 ndio mechi imeisha ila leo kutoka 2-0 mpaka kushinda ni muda sana hatujafanya hivyo
Nkuku nae ajifunze kucheza kwa kuattack space anajificha mno kwenye backline ili jambo linamfanya aendelee kusugua bench licha ya kuwa clinical kuliko Jackson
Tusipomfunga big four moja round ya pili ubingwa sahau..... EPL anayeongoza Hadi Christmas mara nyingi huwa bingwaUnaziona rahisi kisa anashinda? Brentford, Fulham, Tottenham hizi sio mechi rahisi
Nipo safarini. Nimeangalia live score.
HONGERENI THE BLUES KWA USHINDI MNONO.
THE BLUES ikicheza mashabiki wake duniani kote wanapita mtaani kibabe bingwa wa dunia ameshinda mechi.
Kaendelee kula kimasihara mizoga yako huku timu lako bovu likikutoa kamasiSiwakubalii ila mmejipataa nyie mbwaaaaa...!
Kwani ikimfunga unapata point ngapi? na pia ukimfunga wa mwisho unapata point ngapi? Epl haiko hivo funga mechi zako zote hata ukipoteza match 4 za hao bigfour uko tayari unaweza kua bingwa Epl ni kukusanya point sio umemfunga nani?Tusipomfunga big four moja round ya pili ubingwa sahau..... EPL anayeongoza Hadi Christmas mara nyingi huwa bingwa
Hata ivo big four yupo Man City, Liverpool, Arsenal, Tot na Man U hizi ndiyo timu za top six kwa uingereza.Kwani ikimfunga unapata point ngapi? na pia ukimfunga wa mwisho unapata point ngapi? Epl haiko hivo funga mechi zako zote hata ukipoteza match 4 za hao bigfour wako tayari unaweza kua bingwa Epl ni kukusanya point sio umemfunga nani?
Wala hatuna ndoto za ubingwa msimu huu ni just kuimprove na kujaribu kushinda kila mechiTusipomfunga big four moja round ya pili ubingwa sahau..... EPL anayeongoza Hadi Christmas mara nyingi huwa bingwa
Kila game lazima afanye makosa hata Kama kacheza vizuri Ni vile tu wapinzani hawamuadhibu sometime nafikiri ndio maana anavumiliwa Ila Kama makosa yake yangekuwa yanaadhibiwa kocha asingemvumiliaUkitoa mistake ya cucurella ila Sanchez hapa Maresca inabid aanze kufanya maamuzi kwa huyu yani game 1 atacheza vizuri ila inayofuata tegemea tu alete makosa
🤣🤣🤣🤣Kenge ni wewe unayezun guka kwenye magetto ya wanaume na kanga moja iliyolowa maji
Yupo city Liver na Arsenal. Wao waantupa ngapi tukiwafunga halafu timu ndogo zitutumbue. Muhimu kwanza tumalizane na hizi timu ndogo, hao wakubwa tutamalizana kikubwaTusipomfunga big four moja round ya pili ubingwa sahau..... EPL anayeongoza Hadi Christmas mara nyingi huwa bingwa
Mkuu sijui unamanisha nini? Chelsea ni no:2 kwenye table, Chelsea imefunga magoli kuliko timu yoyote Epl, Chelsea ina average timu ya umri mdogo kuliko timu yoyote Epl chelsea ina top players ambao wanapewa numbers timu yoyote Epl, wa kwanza ni 1.palmer 2, Neto 3,canceido 4 Enzo 5. Cuculera 7.Lavia hao wate wana uwezo wakukupa matokeo kwa wakati wowote.Wala hatuna ndoto za ubingwa msimu huu ni just kuimprove na kujaribu kushinda kila mechi
Timu ilikuwa na matatizo mengi ambayo huwezi ya solve kwa msimu 1 zaidi ya hapo ni over expectation
Timu inafunga magoli mengi kitu ambacho ni kizuri lakini bado tuna wachezaji prone to error kwenye first eleven ambayo ni huge setback kwa timu inayojiita title contender
Issue ya defence na goalkeeper ni eneo muhimu sana kwa title contender na hapo ndio tunamapungufu makubwaMkuu sijui unamanisha nini? Chelsea ni no:2 kwenye table, Chelsea imefunga magoli kuliko timu yoyote Epl, Chelsea ina average timu ya umri mdogo kuliko timu yoyote Epl chelsea ina top players ambao wanapewa numbers timu yoyote Epl, wa kwanza ni 1.palmer 2, Neto 3,canceido 4 Enzo 5. Cuculera 7.Lavia hao wate wana uwezo wakukupa matokeo kwa wakati wowote.
Suali langu kwako ni kwamba unanataka timu iwe je ili tuwe trophy contenders mwaka hu?.....nina wakika hatuwezi kumfunga Liverpool kwasbb ya experience na kasi ya wachezaji wake, ila Brighton anaweza kumfunga sisi tuna uwezo wa 100% wa kumfunga Brighton na Newcastle kwahiyo mimi nasema chances za kua mabingwa 2024/5 ni above 50%
Liverpool sio wakuamini sanaa squad yake sio paana ki vile akipata majeruhi ataanza kuboronga, Arsenal kasha jikatia ringi mapema tu jana angepoteza tu, anategemea je, Kei, Rice, Thomas joghinio, Jesus, Matineli hao ni wa choovu fomu yao ni seasonal, timu Tishio ni mancity akijipanga ili dirisha la January kwasbb ya kocha wao ni wa mikakati ya kuchukua kombe.