Ferguson united
Member
- Aug 20, 2024
- 68
- 146
Jamani mnacheza nini huko naona live score tunawambwa msalab
Chelsea hii game anashinda vizuri tuNa bado
Jamani mnacheza nini huko naona live score tunawambwa msalab
Chelsea hii game anashinda vizuri tuNa bado
Twende kaz,,,, !Solanke kashawafweka
Kocha wa Chelsea msenge we unamchezeshaje caicedo kama full beki na unajua spurs kati Wana sarr,bissuma na uyu dogo muitaliano udogie Yuko anaenda kushambulia kwenye eneo la kati Hilo Hilo caicedo inabidi aingie kati lavia atachoka mapema sana leoTwende kaz,,,,
Magoli mawili yote amechoma cucurela.Mamaee ,tumefungwaje kifala hivi ?,hebu anayecheki game hii atupe mrejesho game inaendaje wazee
We jiandae tu kiakili hii game ipo open sana mnaweza mkafa Goli nyingi au mkashinda vile vile ila beki zako zinafanya sana makosa ya kitoto sana pia ata spurs nyuma wanavuja ovyoMamaee ,tumefungwaje kifala hivi ?,hebu anayecheki game hii atupe mrejesho game inaendaje wazee
Spurs wajanja sana Kuna mda wanarudi nyuma wote afu Kuna mda wanaifungua game kweli kweliKina neto wanahangaika kusaka matokeo huku nyuma kuna takataka zinafanya upuuzi sanchez na genge lake kumbaf hawa hatuna kipa humu
Mahaba niue ujanja wa spurs hapa ni nini wakati wanaacha matundu mengi ni vile huko mbele wanakosa chancesSpurs wajanja sana Kuna mda wanarudi nyuma wote afu Kuna mda wanaifungua game kweli kweli
inaonekana spurs umeaza kuwangilia Jana Moja kati ya tatizo kubwa alinalo spurs msimu huu ni kuruhusu sana magoli na hii inatokana na style ya mpira wao wanaopenda kucheza spurs akiamua kuja kukushambulia anakuja mzima mzima ndio maana unakuta hata beki Yao kama van de veen na Pedro polo wameusika kwenye magoli mengi sana msimu huu ayo mashimo unayo yaona sio kwenye hii mechi yenu tu rejea kwenye mechi aliyocheza na Galatasaray kwenye Europa league victor osimeh alimanusa awafunge Goli Tano pekee akeMahaba niue ujanja wa spurs hapa ni nini wakati wanaacha matundu mengi ni vile huko mbele wanakosa chances
Na individual mistake za Chelsea ndio zitakazowabeba mechi hii wala sio tactical approach ya kocha