IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,751
- 7,124
Chelsea hii December yote mpaka January 24 kapangiwa Mechi rahisi. Mfululizo.
Bahati mbaya kabisa ile, Cucurela kateleza kwa sababu ya viatu vibovu, baadaye alipobadilsiha akatuliaMamaee ,tumefungwaje kifala hivi ?,hebu anayecheki game hii atupe mrejesho game inaendaje wazee
Yaani goali tulifungwa kihalali kabisa ni la tatu.Cucurella viiatu vilmponza, sijui vile viatu vilitengenezwa kwa madafu
Kifirwembwa unahangaika sana aisee🤣🤣🤣Mtapigwa na Spurs,,,,Save hiii comment !
Hii ya leo haikuwa rahisi kwanza ni derbyChelsea hii December yote mpaka January 24 kapangiwa Mechi rahisi. Mfululizo.
Wale waliosema Enzo Fernandez abadilishwe na Aurélien Tchouaméni au auzwe lazima wafungwe jela mara moja.Kocha afanyie kazi defence , naona hata Enzo kashaanza kuclick kwenye mfumo , naona central mildfield sio nafasi yake ,ndio maana labda alikuwa anazurura tu uwanjani siku za nyuma
Hamna game rahisi mkuu hizi timu ndogo ni ngumu sana kuzifungaChelsea hii December yote mpaka January 24 kapangiwa Mechi rahisi. Mfululizo.
Tulianza na ngumu na tutamalizia na Ngumu, ratiba ya Aprili na May ni ngumu sana kwetu. Hizi m,echi rahisi ni lazima tushinde zote angalau tuwe na uhakika wa top 4Chelsea hii December yote mpaka January 24 kapangiwa Mechi rahisi. Mfululizo.
Hamna game rahisi mkuu hizi timu ndogo ni ngumu sana kuzifungaChelsea hii December yote mpaka January 24 kapangiwa Mechi rahisi. Mfululizo.
Nipo safarini. Nimeangalia live score.
HONGERENI THE BLUES KWA USHINDI MNONO.
THE BLUES ikicheza mashabiki wake duniani kote wanapita mtaani kibabe bingwa wa dunia ameshinda mechi.
Nipo safarini. Nimeangalia live score.
HONGERENI THE BLUES KWA USHINDI MNONO.
THE BLUES ikicheza mashabiki wake duniani kote wanapita mtaani kibabe bingwa wa dunia ameshinda mechi.
Tot 3 vs Chelsea 4 nani amepigwaMtapigwa na Spurs,,,,Save hiii comment !
Unaziona rahisi kisa anashinda? Brentford, Fulham, Tottenham hizi sio mechi rahisiChelsea hii December yote mpaka January 24 kapangiwa Mechi rahisi. Mfululizo.
HAwafai huyo....ni golden kwetuNamtaka mchezaji wangu Sancho haiwezekani afunge Gori tamu kiasi hichi
Unaumia ukiwa wapi mkuu....Man u yupo nafasi ya 17 huko...hii chelsea siyo level yakoSon anakosaje Goli la wazi ivi
Kama kuna kosa Marinyo aliwahi kufanya ni kuwauza de brune na Salaa....Palmer ni mchezaji na nusu.....palmer 1 ni sawa na wachezaji wa Man u 9Kama kuna mistake Guardiola aliwahi fanya ni kumuuza huyu dogo
Maneno ya mkosaji.....mlitudhihaki sana wacha tutembeze mkongoto....wewe umeshindwa kumfunga newcasto tulia najua kuna mtu atakupiga kimoko utashindwa kurudishaChelsea hii December yote mpaka January 24 kapangiwa Mechi rahisi. Mfululizo.