Madueke unamuonaje? Maana unampingagaTunaua paka hawa wanaojiita mbweha
Madueke unamuonaje? Maana unampingagaTunaua paka hawa wanaojiita mbweha
Hili goal ni namna tunavyopiga pass hakuna kufikiri mara 2, unapokea pass unajua kabisa mwenzangu yuko eneo flan unaachiliaEbu angalia jinsi Neto anavyokimbia kutafuta nafasi, world class
Ebu pia fuatili mtangazaji wa kiarabu, wa bongo haoni ndani
View attachment 3079056
Kocha kasema Mudryk hana shida kwenye quality ya uchezaji ila kwenye maamuzi. kila akitaka kujaribu kitu kipya anaharibu. Kwa nini asibaki na basics za mpira tu. Ana complicate kwa kutaka kufanya ubunifu ambao kwake unatakiwa uje naturally. Kama leo amejitahidi kucheza vizuri, movement zake ni nzuri na zina pace kubwa, very danherous to opponent, ila hizo move anazicomlicate kwa kutaka kufanya ubunifu usiowezekanaMudryk anakitu shida yake ni swala la maamuzi na anacomplicate vitu
Madueke unamuonaje? Maana unampingaga
Zile mechi za mwisho msimu jana tulizoshinda Mudueke alikuwa na mchango mzuri.
Timu zenye kupaki basi Mudueke anaweza kuyafungua hayo mabasi,
anaweza kutoa cross ambayo inavunja mstari wa mabeki,
au akiona fursa anaingia kwenye box na kuwin penalty au kufunga kabisa.
Katika mechi chache za mwisho alizocheza msimu jana aliweza kufunga. Ikumbukwe hakuanza msimu kama alivyomaliza maana mwanzoni ilimlazimu hata Pochetino kumpiga benchi na baada ya kuboresha game yake alianza kupata nafasi.
Katika pre season katumika sana na kafunga magoli 3 na kuonesha improved game.
Sasa sina uhakika kama haya ni vigumu kuyaona. Na ukiona mpira unaenda kasi kiasi kwamba huelewi kinachoendelea, badi baada ya mechi nenda you tube search Mudueke ili ujionee kwamba amefanya nini ktk mechi nzima
Usinichanganye na hao wasioangalia mpiraZile mechi za mwisho msimu jana tulizoshinda Mudueke alikuwa na mchango mzuri.
Timu zenye kupaki basi Mudueke anaweza kuyafungua hayo mabasi,
anaweza kutoa cross ambayo inavunja mstari wa mabeki,
au akiona fursa anaingia kwenye box na kuwin penalty au kufunga kabisa.
Katika mechi chache za mwisho alizocheza msimu jana aliweza kufunga. Ikumbukwe hakuanza msimu kama alivyomaliza maana mwanzoni ilimlazimu hata Pochetino kumpiga benchi na baada ya kuboresha game yake alianza kupata nafasi.
Katika pre season katumika sana na kafunga magoli 3 na kuonesha improved game.
Sasa sina uhakika kama haya ni vigumu kuyaona. Na ukiona mpira unaenda kasi kiasi kwamba huelewi kinachoendelea, badi baada ya mechi nenda you tube search Mudueke ili ujionee kwamba amefanya nini ktk mechi nzima
Kauli hii ya Jackson sio ya kimichezo kwa legend wa Chelsea, huyu dogo afundishwe namna ya kuji behave professionalFunga domo lako kaya wewe Obi Mikel, Acha kuongea utumbo. Tunaua wenyewe kwa ajili ya Afrika
By Nicolas Jackson on Instagram
View attachment 3079069
Mbona umzungumzii MaduekeMwanaume huyo Felix kaanza shughuli
Chelsea tuna namba sita mmoja ambaye ni lavia ,caisedo na enzo hawana habari ya kunusa hatari wala hawako confortable kuchukua mali chini,mechi ya city kabla ya kutoka Lavia mipira ilikuwa ngumu kupita katikati ,Lavia ni six ya boli inachukua mali nyuma ina turn 360 degree comfortable kabisa ,na badala anunuliwe six mwingine ,mngnt imeleta joao.Nilishasema kuwa na Enzo, Caisedo ni uchochoro. Wiki iliyopita Kovacic alipita kati yao kama mazuzu akafunga. Na leo wanaicost timu.
Alafu pia Palmer na Enzo si wakabaji hivyo timu inalemewa kama hatuna mpira. Presha kwa namba 6 na mabeki inakuwa kubwa
Nimejumuisha nikimaanisha taasisi ya Chelsea SC si imejumuisha na timu ya Ke? ila hapa kiusahihi ni Chelsea FC.Ni Chelsea FC sio SC hao sio Simba
Kimbukiko = Mkohoti, usipomwona Mkohoti kwenye JF ujue yupo Kimbukiko and vise versa is true.Mbona umzungumzii Madueke
Hili tatizo lilionekana toka kipindi cha Pochettino. Enzo alipopata injury akawa hachezi timu ikabalanse kiasi kwenye midfield. Nadhani Caicedo anacheza vizuri na Lavia kwa kuzingatia mechi dhidi ya Man City walicheza vizuri sana mpaka alipotoka ndio Kova anapita katikati ya wachezaji na kufunga kirahisi.Naona aina uchezaji wa Enzo na Caicedo wa kutembea na mpira naona kama unaacha gap kubwa nyuma yao ambalo ni advantage kwa timu pinzani.
Solution ni nini? Kuwapanga wa Lavia au au beki zikabie juu kuziba gap?
Kimbukiko = Mkohoti, usipomwona Mkohoti kwenye JF ujue yupo Kimbukiko and vise versa is true.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
😅😅😅😅😅Kimbukiko = Mkohoti, usipomwona Mkohoti kwenye JF ujue yupo Kimbukiko and vise versa is true.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Hawana tofauti na wa hapa bongo wanaotubeza kwa kusajili wachezaji wengiHawa pundits wengine bana ni kwa vile wamepata bahati ya kuongea kwenye platform kubwa kubw akama zile za SkySports
Lavia bana mchokozi sana, ona alichopost kwenye Instagram yake
View attachment 3079164
Naomba tofauti kati ya attitude na kipaji Mzee Baba.Tatizo la Madueke ni attitude sio kipaji