Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu Madueke namjua toka anacheza league ya uholanzi, ni mchezaji wa kawaida mno kucheza Chelsea labda let's hope miaka mitatu ijayo awe amejifunza mpira lakn kwa Sasa hapa he's too low for Chelsea.
Kama ulimfuatilia huko ulitakiwa pia kujau alikuwa na miak 18/19 na kumhukumu mchezaji wa umri huo ni ukatili mkubwa kwa mtu anayejinasibu kuwa anaujua mpira
Hapa Chelsea mwaka huu ndio kwanza ameanza miaka 22 bado dunia yote iko mbele yake
Preseason ni moja wa wachezaji walioonyesha uwezo mkubwa sana na akipata muda hapa Chelsea au nje ya Chelsea na moto huu huu ataenda mbali sana
 
Noni watano twanga na sterling wawili weka na mchuuzi wa mykalo ndipo Joao mmoja mkuu.
Noni ni wa kucheza team kama crystal palace au Everton lakn sio Chelsea, nikimuangalia noni anacheza najisemea pengine ningekua Ulaya saiv yawezekana ningekua mchezaji wa premier kwa sababu akili ya mpira yangu ya kucheza mpira ilikua ni mara 5 ya akili ya noni.
Huwa nashikwa na butwaa napoambiwa Madueke ni zaid felix, wakat madueke akili ya mpira ipo kwenye rasta, anachojua ni kukimbia na mpira tu kama mwehu.
 
Huwa nashikwa na butwaa napoambiwa Madueke ni zaid felix, wakat madueke akili ya mpira ipo kwenye rasta, anachojua ni kukimbia na mpira tu kama

Zile mechi za mwisho msimu jana tulizoshinda Mudueke alikuwa na mchango mzuri.

Timu zenye kupaki basi Mudueke anaweza kuyafungua hayo mabasi,

anaweza kutoa cross ambayo inavunja mstari wa mabeki,

au akiona fursa anaingia kwenye box na kuwin penalty au kufunga kabisa.

Katika mechi chache za mwisho alizocheza msimu jana aliweza kufunga. Ikumbukwe hakuanza msimu kama alivyomaliza maana mwanzoni ilimlazimu hata Pochetino kumpiga benchi na baada ya kuboresha game yake alianza kupata nafasi.

Katika pre season katumika sana na kafunga magoli 3 na kuonesha improved game.


Sasa sina uhakika kama haya ni vigumu kuyaona. Na ukiona mpira unaenda kasi kiasi kwamba huelewi kinachoendelea, badi baada ya mechi nenda you tube search Mudueke ili ujionee kwamba amefanya nini ktk mechi nzima
 
Huwa nashikwa na butwaa napoambiwa Madueke ni zaid felix, wakat madueke akili ya mpira ipo kwenye rasta, anachojua ni kukimbia na mpira tu kama

Zile mechi za mwisho msimu jana tulizoshinda Mudueke alikuwa na mchango mzuri.

Timu zenye kupaki basi Mudueke anaweza kuyafungua hayo mabasi,

anaweza kutoa cross ambayo inavunja mstari wa mabeki,

au akiona fursa anaingia kwenye box na kuwin penalty au kufunga kabisa.

Katika mechi chache za mwisho alizocheza msimu jana aliweza kufunga. Ikumbukwe hakuanza msimu kama alivyomaliza maana mwanzoni ilimlazimu hata Pochetino kumpiga benchi na baada ya kuboresha game yake alianza kupata nafasi.

Katika pre season katumika sana na kafunga magoli 3 na kuonesha improved game.


Sasa sina uhakika kama haya ni vigumu kuyaona. Na ukiona mpira unaenda kasi kiasi kwamba huelewi kinachoendelea, badi baada ya mechi nenda you tube search Mudueke ili ujionee kwamba amefanya nini ktk mechi nzima
 
Zile mechi za mwisho msimu jana tulizoshinda Mudueke alikuwa na mchango mzuri.

Timu zenye kupaki basi Mudueke anaweza kuyafungua hayo mabasi,

anaweza kutoa cross ambayo inavunja mstari wa mabeki,

au akiona fursa anaingia kwenye box na kuwin penalty au kufunga kabisa.

Katika mechi chache za mwisho alizocheza msimu jana aliweza kufunga. Ikumbukwe hakuanza msimu kama alivyomaliza maana mwanzoni ilimlazimu hata Pochetino kumpiga benchi na baada ya kuboresha game yake alianza kupata nafasi.

Katika pre season katumika sana na kafunga magoli 3 na kuonesha improved game.


Sasa sina uhakika kama haya ni vigumu kuyaona. Na ukiona mpira unaenda kasi kiasi kwamba huelewi kinachoendelea, badi baada ya mechi nenda you tube search Mudueke ili ujionee kwamba amefanya nini ktk mechi nzima
Mimi siom mfuasi mkubwa wa Madueke ila pia siwezi kujifanya kipofu wa kutoona juhudi anayofanya kucheza vizuri, hata kama tutamuuza lakini Madueke sio disgrace kabisa kwenye hii timu ya Chelsea kama ilivyokuwa kwa Sterling. Uchezaji wake unaweza usiwavutie wengi lakini mentality yake na performance yake ina impack. Ni moja ya sub ambaye akiingia anaweka juhudi hadi inaonekana. Sio ajabu jhata juzi kwa city angeingia sub tungesawazisha
 
Zile mechi za mwisho msimu jana tulizoshinda Mudueke alikuwa na mchango mzuri.

Timu zenye kupaki basi Mudueke anaweza kuyafungua hayo mabasi,

anaweza kutoa cross ambayo inavunja mstari wa mabeki,

au akiona fursa anaingia kwenye box na kuwin penalty au kufunga kabisa.

Katika mechi chache za mwisho alizocheza msimu jana aliweza kufunga. Ikumbukwe hakuanza msimu kama alivyomaliza maana mwanzoni ilimlazimu hata Pochetino kumpiga benchi na baada ya kuboresha game yake alianza kupata nafasi.

Katika pre season katumika sana na kafunga magoli 3 na kuonesha improved game.


Sasa sina uhakika kama haya ni vigumu kuyaona. Na ukiona mpira unaenda kasi kiasi kwamba huelewi kinachoendelea, badi baada ya mechi nenda you tube search Mudueke ili ujionee kwamba amefanya nini ktk mechi nzima
Mkuu, noni katika mechi 12 za mwisho epl msimu uliopita kafunga magoli matatu na assist moja, tuweke kumbukumbu sawa. Huo ndio mchango mkubwa kwako???
 
Huwa nashikwa na butwaa napoambiwa Madueke ni zaid felix, wakat madueke akili ya mpira ipo kwenye rasta, anachojua ni kukimbia na mpira tu kama mwehu.
Madueke sio zaidi ya Felix, sio rahisi kuwalinganisha kwa sababu uchezaji wao tofauti. Felix ana akili ya mpira zaidi ya Madueke ial kwa upande wake madueke ana mentality na pace ya kuleta machafuko kwenye goli la mpinzani na hiyo nayo ni hazina kwenye wachezaji, Felix yeye kwa maoni yangu inayomp ujiko ni uwezo wa kufanya dribling na kuwachezesha wenzake huku Madueke ni mnyimi akiwa na mpira. Madueke anataka awe na mpira muda mrefu zaidi kitu ambacho pia sio falsafa ya Maresca
 
.
 

Attachments

  • 20240820_185205.jpg
    20240820_185205.jpg
    385.9 KB · Views: 14
Confirmed: Chelsea's UEFA A-list for the Conference League play-off tie vs Servette:

Goalkeepers:

1) Sanchez,
2) Jorgensen,
3) Bettinelli

Defenders:
4) Disasi,
5) Cucurella,
6) Badiashile,
7) James,
8) Gusto,
9) Veiga

Midfielders:

10) Fernandez,
11) Madueke,
12) Chukwuemeka,
13) Nkunku,
14) Palmer,
15) Dewsbury-Hall,
16) Caicedo,
17) Lavia

Forwards:

18) Mudryk,
19) Jackson,
20) Neto,
21) Guiu
 
Owners ndio hawamtaki kwa hiyo sioni kocha akimrudisha
Taarifa zilizoenea ni kwamba Owner walimlazimisha Kocha asimuweke kwenye kikosi ili imshinikize kutafuta timu nyingine maana walijaribu kumuuza akawa anangángánia akidai ataisadia timu chini ya Maresca.

Issue ya Sterling ni kama ya Garagher, mabosi walitaka kumuuza yeye akang''ang''ania ndipo kocha akaambiwa aseme hafai kwenye mfumo ili tu alazimishwe kuuzwa.

Hii mbinu utaona itatumika kwa wachezaji wengi wanaongángánia kubaki Chelsea huku hawatakiwi
Hizi ni propaganda tu, yani kama wamiliki or sporting director wangekuwa hawamtaki sidhan kama hata angeenda kwend pre season.


Anyway ukwel wanaujua wenyewe
 
Hizi ni propaganda tu, yani kama wamiliki or sporting director wangekuwa hawamtaki sidhan kama hata angeenda kwend pre season.


Anyway ukwel wanaujua wenyewe
Pre season walimuachia wakidhani atabadilika lakini hakutumia hiyo fursa kuhalalisha mshahara wake wa 300k+/wiki na alicheza kama kinda wa miaka 15 anayelipwa 1.5K/wiki
 
Madueke sio zaidi ya Felix, sio rahisi kuwalinganisha kwa sababu uchezaji wao tofauti. Felix ana akili ya mpira zaidi ya Madueke ial kwa upande wake madueke ana mentality na pace ya kuleta machafuko kwenye goli la mpinzani na hiyo nayo ni hazina kwenye wachezaji, Felix yeye kwa maoni yangu inayomp ujiko ni uwezo wa kufanya dribling na kuwachezesha wenzake huku Madueke ni mnyimi akiwa na mpira. Madueke anataka awe na mpira muda mrefu zaidi kitu ambacho pia sio falsafa ya Maresca
Umemaliza kila kitu.
 
Joao Felix alipokuwa akicheza kama mshambuliaji wakati alipokuwa Benfica msimu wa 2018/19, alifunga mabao 15 na kutoa pasi za mabao 7 akiwa na umri wa miaka 18 pekee, hadi akafananishwa na Cristiano Ronaldo ajaye. Hata alimshinda Erling Haaland kwa mabao na asisti katika umri huo huo. Walakini, maendeleo yake yalipigwa chini na Atletico Madrid, ambapo mara nyingi alichezeshwa nje ya nafasi yake na katika mfumo usiomfaa. Sasa, akiwa na umri wa miaka 24, Chelsea wamemleta darajani. Ikiwa watachagua kumtumia kama namb 9, je anaweza kurudi tena fomu yake nzuri ya kufunga mabao?

 
Sterling alivyofanywa itwafanya na hao waliobaki wajue kuwa fagio la chuma lipo na linafanya kazi bila kubagua
Unapewa muda unachezea, unakula tu mshahara wa bure
Mudryk nadhani ameshanyoa na kutia maji
 
Zile mechi za mwisho msimu jana tulizoshinda Mudueke alikuwa na mchango mzuri.

Timu zenye kupaki basi Mudueke anaweza kuyafungua hayo mabasi,

anaweza kutoa cross ambayo inavunja mstari wa mabeki,

au akiona fursa anaingia kwenye box na kuwin penalty au kufunga kabisa.

Katika mechi chache za mwisho alizocheza msimu jana aliweza kufunga. Ikumbukwe hakuanza msimu kama alivyomaliza maana mwanzoni ilimlazimu hata Pochetino kumpiga benchi na baada ya kuboresha game yake alianza kupata nafasi.

Katika pre season katumika sana na kafunga magoli 3 na kuonesha improved game.


Sasa sina uhakika kama haya ni vigumu kuyaona. Na ukiona mpira unaenda kasi kiasi kwamba huelewi kinachoendelea, badi baada ya mechi nenda you tube search Mudueke ili ujionee kwamba amefanya nini ktk mechi nzima
Kuna timu hivi sasa inapaki Basi kwa Chelsea ???
 
Confirmed: Chelsea's UEFA A-list for the Conference League play-off tie vs Servette:

Goalkeepers:

1) Sanchez,
2) Jorgensen,
3) Bettinelli

Defenders:
4) Disasi,
5) Cucurella,
6) Badiashile,
7) James,
8) Gusto,
9) Veiga

Midfielders:

10) Fernandez,
11) Madueke,
12) Chukwuemeka,
13) Nkunku,
14) Palmer,
15) Dewsbury-Hall,
16) Caicedo,
17) Lavia

Forwards:

18) Mudryk,
19) Jackson,
20) Neto,
21) Guiu
Colwill, Fofana na yule aliyetokea Fulham? Wako wapi
 
Colwill, Fofana na yule aliyetokea Fulham? Wako wapi
Hawa wote wameachwa
Colwill, Sterling, Tosin, Chilwell and Wesley Fofana
Colwill anaweza kuwekwa kwenye B-list
Sterling analazimishwa kuhama
Chilwell naye analazimishwa kuhama
Wesley Fofana na Tosin sijui masaibu yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom