Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hili tatizo lilionekana toka kipindi cha Pochettino. Enzo alipopata injury akawa hachezi timu ikabalanse kiasi kwenye midfield. Nadhani Caicedo anacheza vizuri na Lavia kwa kuzingatia mechi dhidi ya Man City walicheza vizuri sana mpaka alipotoka ndio Kova anapita katikati ya wachezaji na kufunga kirahisi.
Ishu inayochalkenge ni kwamba Enzo anaoffer kitu cha kipekee kwenye kupiga pass. Yule kijana pasi zake zina macho na zinabreak lines kadhaa kwenye pitch kitu ambacho Caisedo siyo mzuri sana labda Lavia tatizo la Enzo ni kuwa siyo mzuri defensively. Hata pale Argentina kuna majitu yanamrahisishia kazi akina De Paul
 
Ngoja tusubiri maajabu yake maana sio kwa fagio hilo.

Hivi sera ya Chelsea inasema nini juu ya vijana wanaozalishwa kwenye academy. Tutaanza kupoteza potential nzuri baadaye
Sera tangu zamani academy anaingizwa kwenye timu kama anafit in. Kama haiwezekani anauzwa. Kumtumia mchezaji au kumuuza is part of footbal business
 
Ishu inayochalkenge ni kwamba Enzo anaoffer kitu cha kipekee kwenye kupiga pass. Yule kijana pasi zake zina macho na zinabreak lines kadhaa kwenye pitch kitu ambacho Caisedo siyo mzuri sana labda Lavia tatizo la Enzo ni kuwa siyo mzuri defensively. Hata pale Argentina kuna majitu yanamrahisishia kazi akina De Paul
Kama leo kacheza vizuri sana ukiachilia mbali possesion alisokuwa anapoteza. Mfano ile kichwa iliyoenda kwa Caicedo naye akapiga kichwa kwa Palmer ambey alitoa assits kwa Madueke
Kwenye goli la tatu la Madueke vile viel a Enzo alimyang'anya mpira mchezaji wa Wolves na kumpasia Palmer ambaye naye alimpeleka Madueke.

Kumbuka pia kwenye mechu ya UECL alipingia tu Enzo ndipo pasi za kushambulia zikawa na macho. Hata mimi kuna wakati nataka asipangwe lakini upande wa pili nani atawapa pasi nzuri washambuliaji?
 
Attitude inakuwaje tatizo kwa Noni?
Kuna muda anaamua kubehave anavyojisikia sio kwa sababu hana maarifa husika ila ni negative attitude tu.
Mfano kuna muda anaona timu inashambuliwa na anatakiwa arudi nyuma kuongeza numbers ila anaamua kutembea/kuwa mtazamaji sio kwamba kazidiwa/hana pace ni ile kujiona kwa hadhi yake si ya kukaba
 
Yeah, bila shaka ataimprove defensively na pia aanze kuwa anasogea kwenye box kama akina Lampard ili aweze kuwa anatoa assists na kufunga inapobidi
 
Kuna taarifa nimezisoma sehemu kuwa Noni Madueke atabakia Chelsea Maresca anampenda sana na nadhani atatumiak sana kwenye RW

1724614807863.png
 
Kuna muda anaamua kubehave anavyojisikia sio kwa sababu hana maarifa husika ila ni negative attitude tu.
Mfano kuna muda anaona timu inashambuliwa na anatakiwa arudi nyuma kuongeza numbers ila anaamua kutembea/kuwa mtazamaji sio kwamba kazidiwa/hana pace ni ile kujiona kwa hadhi yake si ya kukaba
Au ppale leo alivyoamua tu kumsukuma mchezaji wa Wolves kwenye eneo la hatari na kusababishga tufungwe
Nimekuelwa sasa na kocha amelitolea hilo la kusababisha free kick. AMesema Noni kacheza vizuri sana ila hakuipenda ule uamuzi wake wa kusababisha free kick
 
Yeah, bila shaka ataimprove defensively na pia aanze kuwa anasogea kwenye box kama akina Lampard ili aweze kuwa anatoa assists na kufunga inapobidi
Madueke akiwa kwenye dfense ni very risk, labda aimprove
 
Kuna taarifa za leo kuwa Chelsea wanajitahidi kumsajili Jadon Sacho huku Chilwell na Raheem Sterling wakiwekwa kwenye hilo dili.

Hao mashetani wakikubali usishangae kumuona Sacho darajani msimu huu
1724615180132.png
1724615192507.png
 
Yeah, bila shaka ataimprove defensively na pia aanze kuwa anasogea kwenye box kama akina Lampard ili aweze kuwa anatoa assists na kufunga inapobidi
Labda damu yake Kipa Petrovick haijaivana na damu ya Kocha Mkuu, kama zile enzi za Shevchenko na Drogber, nani ajuaye?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Pamoja kuwa Petrovic ni shot stopper mzuri, hana footwork
 
Ishu inayochalkenge ni kwamba Enzo anaoffer kitu cha kipekee kwenye kupiga pass. Yule kijana pasi zake zina macho na zinabreak lines kadhaa kwenye pitch kitu ambacho Caisedo siyo mzuri sana labda Lavia tatizo la Enzo ni kuwa siyo mzuri defensively. Hata pale Argentina kuna majitu yanamrahisishia kazi akina De Paul
Kibaya zaidi ni kwamba price tag yake inakukodolea macho ukimpiga bench
 
Cole Palmer ,usajili bora kabisa tuliowahi kufanya miaka ya hivi karibuni ,kiufupi tulilamba dume pale
Goli la pili la Madueke nampa sifa nyingi Caicedo, aliweza kuucheza mpira wa kichwa kwenye mazingira magumu na kumpasia Palmer
Kwenye goli la tatau la Madueke namapa sifa nyingi sana Enzo aliweza kuupokonya mpira na kumpa fundi Palmer na mambo mengine akamalizia Madueke
Cole Palmer na Noni Madueke kila mmoja amehusika kwenye magoli manne leo na ndio leo waliocheza vizuri zaidi
 
Sera tangu zamani academy anaingizwa kwenye timu kama anafit in. Kama haiwezekani anauzwa. Kumtumia mchezaji au kumuuza is part of footbal business
Unachozungumza nakielewa. Mantiki yangu ipo ki financial zaidi, kuna wakati unaweza fanya spending wakati kuna mchezaji unaye ana quality kuzidi yule unayemsaka.
 
Unachozungumza nakielewa. Mantiki yangu ipo ki financial zaidi, kuna wakati unaweza fanya spending wakati kuna mchezaji unaye ana quality kuzidi yule unayemsaka.
Nimekuelewa mkuu. Watu wengi wanaalalamikia Profitability and Sustainability Rules (PSR). Sio tu Chelsea timu nyingi sasa hivi zinatumia njia mbadala kuhakikisha wanakwepa panga la PSR mojawapo ikiwa ni kuuza wachezaji wanaoleta pure profit ili kuwa na sifa ya kufanya usajili wa kuimarisha timu. Labda hizo PSR waziboreshe ili kuzia huo utamaduni wa kuwauza wachezaji wa academy wafidie huo udhaifu ukome
 
Chelsea na Napoli wamefanya maendeleo katika muundo pendekezwa katika siku chache zilizopita kwa Victor Osimhen. Wako tayari kumfanya Osimhen kuwa mchezaji anyelipwa zaidi kuliko wengine hapa Chelsea, lakini lazima alingane na muundo wa mshahara, maana yake Osimhen awe tayari kushusha mahitaji ya mshahara wake kwa misimu ambayo Chelsea haishiriki #UCL
1724617294960.png
 
Binafsi nadhani wafungaji watakuwa wengi hivyo itakuwa ni vigumu kwa mchezaji mmoja kufikisha 20+ goals maana Mudueke, Palmer, Neto, Felix, Nkunku, Jackson, Mudryk watagawana dk za kucheza. Pale mbele ni Palmer tu ana uhakika wa kucheza almost kila mechi

Fs
Madueke namuona kwenye mechi nyingi kwasababu upande wake ule sioni ushindani labda kama atakuwa anachezesha wachezaji out of their position
 
Binafsi nadhani wafungaji watakuwa wengi hivyo itakuwa ni vigumu kwa mchezaji mmoja kufikisha 20+ goals maana Mudueke, Palmer, Neto, Felix, Nkunku, Jackson, Mudryk watagawana dk za kucheza. Pale mbele ni Palmer tu ana uhakika wa kucheza almost kila mechi

Fs
Hili linawezekana ikiwa uchezaji kama huu wa leo utaendelea na akija Osimhen au striker wa kiwango chake
Palmer mabao 20
Osimhen mabao 20
Madueke mabao 20
Nnkunku mabao 15
Jackson mabao 15
Joao Felix mabao 10
Pedro Neto mabao 5
KDH mabao 5
JUMLA = Magoli 110 (Tutashinda ligi ikiwa tu tutaruhusu mabao machache)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom