Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1724596634752.png
 
Joao Felix ni winger hajawahi kuwa namba 10 toka ameanza mpira. Wing preferably kwa Felix ni left na ndio maana Sterling kaondoka, Mudryk ni swala la muda tu.
Nilipost hapa video akicheza Benefica ni natural striker, Felix alichependewa na Maresca ndio huo uwezo wake wa kucheza nafasi nyingi
Juzi kama ulimsikiliza Maresca alisema Felix anaweza kucheza
Attacking midfielder, Na. 10, Winger na Striker role
Infact msimu wake mzuri wa Felix ni alipocheza striker pale Benefika akiwa na umri wa miaka 18 mwaka 2018
Alipkuja Atleti ndio mambo yake yakaharibika kwanza alichezeshwa kama winga badala ya striker na pili mfumo wa Simeone hauruhusu mipira uende mbele mara kwa mara ndio maana Felix akawa haelewani na Simeoni

So kwa kusema hayo Felix ni
LW, RW, Na. 10, CAM na False no. 9
 
Ni system ya uchezaji iendelee kuwa hivi kwenye ushambuliaji. Ila mudyk awe anabaki kwenye uwanja wa mazoezi kufyeka nyasi
Kilaza madueke leo kaniprove wrong ,ngoja tuone kama form hii ataendelea nayo mpaka mwisho wa msimu ,
Mudryk ndio maiti ambayo hamna matumaini ya kufufuka ,sijui alilogwa na nani huyu dogo .
Improvement sioni kabisa
 
Kilaza madueke leo kaniprove wrong ,ngoja tuone kama form hii ataendelea nayo mpaka mwisho wa msimu ,
Mudryk ndio maiti ambayo hamna matumaini ya kufufuka ,sijui alilogwa na nani huyu dogo .
Improvement sioni kabisa
Mudyk atolewe mkopo haraka Kabla dirisha halijafungwa, Tena mkopo wenye masharti nafuu wakopaji wasije wakatuachia.
 
Kilaza madueke leo kaniprove wrong ,ngoja tuone kama form hii ataendelea nayo mpaka mwisho wa msimu ,
Mudryk ndio maiti ambayo hamna matumaini ya kufufuka ,sijui alilogwa na nani huyu dogo .
Improvement sioni kabisa
Kilaza aliyeonekana ana kitu cha ziada kwa Makocha wote waliowahi kuifundisha Chelsea SC akiwepo na bado anaendelea kupangwa first squard, una tatizo mahali si bure.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Chelsea SC bado tunalazimika kutafuta striker no 9 maana hii mechi ilipaswa Chelsea SC itandike Wolverhampton SC hata goli 8.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Mimi naomba kuuliza, ni kwasababu gani mara nyingi Jackson akicheza mpira lazima adondoke? Na kwanini Fofana anapenda sana kuruka mpira? Kuna technical behind?
 
Naona aina uchezaji wa Enzo na Caicedo wa kutembea na mpira naona kama unaacha gap kubwa nyuma yao ambalo ni advantage kwa timu pinzani.

Solution ni nini? Kuwapanga wa Lavia au au beki zikabie juu kuziba gap?
 
Goli la pili la Madueke nampa sifa nyingi Caicedo, aliweza kuucheza mpira wa kichwa kwenye mazingira magumu na kumpasia Palmer
Kwenye goli la tatau la Madueke namapa sifa nyingi sana Enzo aliweza kuupokonya mpira na kumpa fundi Palmer na mambo mengine akamalizia Madueke
Cole Palmer na Noni Madueke kila mmoja amehusika kwenye magoli manne leo na ndio leo waliocheza vizuri zaidi
 
Ni furaha kupata ushindi wakati timu bado inajitafuta.
Upande wa kujilinda kuna udhaifu mkubwa pivot ya Enzo na Caseido ni uchochoro inapitwa kama cone za mazoezi
Kiwango cha Mudryk hata Azam anakuwa sub
Tukifanyia kazi matatizo ya kiulinzi na kuepuka injuries tunaweza anza kuwazia top 4
 
Ebu angalia jinsi Neto anavyokimbia kutafuta nafasi, world class
Ebu pia fuatili mtangazaji wa kiarabu, wa bongo haoni ndani

View attachment 3079056
Hawa ndo mawinga sasa. Winger kama havezi kucheza 1v1 vizruti basi awe na pace.

Kuna watu wanamcrticize Mudryk ila binafsi nafikiri ana kitu, ni vile anahitaji tu muda. Afundishwe zaidi na apewe minutes kati ya 30-60?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom