Kocha hataki kumrisk, haumwiLavia hata sub hayupo
James ni injury?
Hana kifungo ni kumpumzisha tu kwa sababu katoka kwenye long injury, ndivyo kocha kasemaInjury ndogo pia anakifungo nadhan kinaisha mechi ya leo
Madueke anazidi kuwa beast, ila kuna watu watakuja kusema anabahatisha au kumfananisha na Doku ni ukichaaHivi mambo anafanya Mudueke mnayaona? Au mnasubiri kula kuhukumu mtu bila kujua hata anafanya nini uwanjani
Ni kuwa biased tuMadueke anazidi kuwa beast, ila kuna watu watakuja kusema anabahatisha au kumfananisha na Doku ni ukichaa
Hakuna mwenye uwezo wa kusoma mchezo, kunusa hatari zaidi hakuna beki kiongozi.Beki line yetu Inachekesha sana
Partnership ya Enzo na Caicedo ni sawa na kuchanganya betri na gunzi kuwasha tochi.Caisedo mistake
Enzo alipaswa kuwin mpira baada ya Caisedo kufanya makosa na huu udhaifu wa Enzo,
Fofana hajui kama yeye ni beki anamark hewa,
Angalia goli lililokataliwa la Wovles, na haya mawili, tunashida kwenye namna ya kukaba sana. Kocha kafanikiwa tu kwenye kutenegeneza movmemenht za kushambulia na kupigiana pasi ila tukiwa hatuna mpira tuna udhaiofu mkubwa na huu naona tutaenda nao hadi mwisho wa msimuCaisedo mistake
Enzo alipaswa kuwin mpira baada ya Caisedo kufanya makosa na huu udhaifu wa Enzo,
Fofana hajui kama yeye ni beki anamark hewa,
Shida hapo ni EnzoKiungo yetu Caicedo & Enzo ni lango wa walanguzi
Nilishasema kuwa na Enzo, Caisedo ni uchochoro. Wiki iliyopita Kovacic alipita kati yao kama mazuzu akafunga. Na leo wanaicost timu.Partnership ya Enzo na Caicedo ni sawa na kuchanganya betri na gunzi kuwasha tochi.
Mkuu Felix sio namba 10 wala hajawahi kuwa namba 10. Felix ni winger tena hasa LWHili deal la Felix sidhan kama lilikuwa linahaja
hatuna haja ya no 10 kwa sasa,
LW na CF hizo ndio sehem tulizozihitaji tho Pedro anaweza cheza LW
CF
Neto palmer madueke
Halaf mwakan unawaongeza Estevao na Paez