Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nilishasema kuwa na Enzo, Caisedo ni uchochoro. Wiki iliyopita Kovacic alipita kati yao kama mazuzu akafunga. Na leo wanaicost timu.

Alafu pia Palmer na Enzo si wakabaji hivyo timu inalemewa kama hatuna mpira. Presha kwa namba 6 na mabeki inakuwa kubwa
Timu yenye Safu bora ya ushambuliaji hushinda mechi lakini timu yenye Safu bora ya ulinzi hushinda kombe.

Vyote kwa pamoja ni muhimu sana.
 
Nilishasema kuwa na Enzo, Caisedo ni uchochoro. Wiki iliyopita Kovacic alipita kati yao kama mazuzu akafunga. Na leo wanaicost timu.

Alafu pia Palmer na Enzo si wakabaji hivyo timu inalemewa kama hatuna mpira. Presha kwa namba 6 na mabeki inakuwa kubwa
Tatizo la Caicedo ni anachukua muda kufit in kwenye mfumo, hata kwa Pochettino ilikuwa hivi hivi ila baadaye alikuja kutulia. Enzo sijui ni nini kimempata kwa kweli, siko confortabloe akichez ana Caicedo. Enzo anafaa asipewe majukumu makubwa ya kukaba. Akiwepo Lavia inaweza kumpunguzia hayo majukumu
 
Kama timu inakuwa aggressive kutafuta mpira inabidi angalau namba 10 na 8 wawe wanawin mipira back basi kama haizekani basi mmoja wao aweze kuwin back mipira. Na Tuchel alianza kuset standard defensively kwa kumuweka Kante na Kovacic double namba 8. Kwa hiyo team ilikuwa well balanced defensively kitu ambacho kinampa namba 6 utulivu kwenye kufanya kazi zake. So CB wanafanya kazi zao kwa utulivu pia.
Tatizo la Caicedo ni anachukua muda kufit in kwenye mfumo, hata kwa Pochettino ilikuwa hivi hivi ila baadaye alikuja kutulia. Enzo sijui ni nini kimempata kwa kweli, siko confortabloe akichez ana Caicedo. Enzo anafaa asipewe majukumu makubwa ya kukaba. Akiwepo Lavia inaweza kumpunguzia hayo majukumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom