Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pia ukifatilia mijadara utaelewa kuwa mimi nasapoti yeyote atakayechaguliwa ambacho nasisitiza ni kuwa inexperience isn't healthy for bigger clubs as ours
Bayern nao wameenda Kwa Kompany mjue sahiv soka lishsbadilika watu hawataki tu majina ya kocha bali waangalia unanini je kweny sehem ambazo kuna resource nyingi kuna chance unaweza ukafanikiwa.

Na kingine kocha anaeweza fit ndani ya mfumo wa team kuanzia management mpk kwa wachezaji.

Team zote sasa hiv zinamifumo ishawekwa na ishakuwa stable .

Nilikupa mfano mzuri wa Klopp na Edward mwishon walishindwa elewana mwisho wa siku Edward akaondoka,Now Klopp anaondoka Edward karudi.

Jiulize why hata Liverpool,Bayern hawajaenda kwa makocha ambao wako tayar na mafanikio??

Why hata leo hii Man Utd ukifatilia hata makocha wanaowataka utaona 90% bado hawajawa na mafanikio na ni inexperience kwenye vilabu vikubwa.

Ni either sisi mashabiki ndio hatutak kukubali kuwa soka la sasa haliangalii majina na lishabadilika au ni vile tu tumeamua kuwa nachuki kwa kukihisi kila kitu tunakijua.
 
Hata angewekwa jiwe, alimradi Mashavu anaondoka, it is OK 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Poch sikumkubali kabla hajachaguliwa ila baada ya kuteuliwa nilikubaliana naye. Na amejitahidi kaacha timu inaeleweka ni swala la kumanage injury situations na kununua wachazaji ktk nafasi kadhaa. Tuchel alituachia akina Koulibaly, Aubameyang na Sterling. Na hawajasaidia timu
 
Poch sikumkubali kabla hajachaguliwa ila baada ya kuteuliwa nilikubaliana naye. Na amejitahidi kaacha timu inaeleweka ni swala la kumanage injury situations na kununua wachazaji ktk nafasi kadhaa. Tuchel alituachia akina Koulibaly, Aubameyang na Sterling. Na hawajasaidia timu
Poche kawa mkrofi kuanzia kwenye kupanga timu hadi kwenye mahusiano na uongozi
Kilichomuondoa Poche 80% alikuwa akiwapiga vijembe owners na uongozi wake
Wee fikria wewe ni mchungaji tu wa ng'ombe halafu unaanza kuwadhiaki wenye ng'mbe. eti unataka mamlaka ya kuuza na kununua ng'mbe. ebo!
 
Chelsea wanatarajia kumteua Maresca ndani ya saa 72 zijazo. Maresca anataka kuleta wafanyakazi 5 pamoja naye. Willy Caballero anatarajiwa kuwa mmoja.
View attachment 3001175
Tumshukuru mungu tumempata mitaliano tena hao atakua ndo mtailiano watano hao waitaliano hawajawahi kutuangusha lazima abebe kombe tena bado mdogo miaka 44 atakua flexible kulingana na aina ya wachezaji, kapewa mkataba wa miaka miwili na watatu akiperform vuzuri........hayo uote nime yatoa kwenye mtandao wa sports uingereza.
 
Tumshukuru mungu tumempata mitaliano tena hao atakua ndo mtailiano watano hao waitaliano hawajawahi kutuangusha lazima abebe kombe tena bado mdogo miaka 44 atakua flexible kulingana na aina ya wachezaji, kapewa mkataba wa miaka miwili na watatu akiperform vuzuri........hayo uote nime yatoa kwenye mtandao wa sports uingereza.
Makocha wa kiitaliano huwa ni wazuri hasa kwetu. Tukianza na Don Carlo Ancelloti, Vialli, Conte, Di Matteo.
 
Poche kawa mkrofi kuanzia kwenye kupanga timu hadi kwenye mahusiano na uongozi
Kilichomuondoa Poche 80% alikuwa akiwapiga vijembe owners na uongozi wake
Wee fikria wewe ni mchungaji tu wa ng'ombe halafu unaanza kuwadhiaki wenye ng'mbe. eti unataka mamlaka ya kuuza na kununua ng'mbe. ebo!
Kocha lazima awe na mamlaka ya kununua wachezaji anaowataka ili akifeli umlaumu yeye. Sasa wamiliki wanamnunulia wachezaji mizigo halafu wanataka matokeo mazuri wewe unaona hiyo inaingia akilini? Huoni kuwa wanamtega mocha? Acha hizo mkuu.
 
Kocha lazima awe na mamlaka ya kununua wachezaji anaowataka ili akifeli umlaumu yeye. Sasa wamiliki wanamnunulia wachezaji mizigo halafu wanataka matokeo mazuri wewe unaona hiyo inaingia akilini? Huoni kuwa wanamtega mocha? Acha hizo mkuu.
Siku hizi hakuna club inayojielewa inayofanya hivyo makocha wanakuja na kuondoka. ila wachezaji wanabaki,
Unaweza jikuta ndani ya miaka 4 unawachezaji tofauti based na makocha waliopita. Na kocha anaekuja nayeye akawa na wachezaji wake mwisho wa siku unakuwa na kikosi kibovu.

Perez kila siku anawaonyesha,
 
Kocha lazima awe na mamlaka ya kununua wachezaji anaowataka ili akifeli umlaumu yeye. Sasa wamiliki wanamnunulia wachezaji mizigo halafu wanataka matokeo mazuri wewe unaona hiyo inaingia akilini? Huoni kuwa wanamtega mocha? Acha hizo mkuu.
Hiyo ni one model, sio lazima kila timu ifuate huo mfumo
 
Enzo Maresca juu ya yeye kushindwa akiwa kocha wa Parma:

"Walinipa mkataba wa miaka mitatu, na unapofanya mkataba wa miaka mingi ni kwa sababu kuna wazo la mradi nyuma yake na matarajio yasiyo ya kweli"

"Hakuna mtu aliyewahi kuniambia kuwa katika mwaka wa kwanza tulipaswa kwenda Serie A, zaidi sana wakati wachezaji 15 au hivyo wapya wanapowasili katika majira ya joto. Parma wangeweza kucheza mechi za mtoano kama wachezaji watatu tuliowaainisha kusajiliwa kwenye dirisha la usajili la Januari wangesajiliwa."
 
Arteta alipochukuliwa na Arsenal watu walikebehi sana na wengi wetu hatukuchukulia maanani kwa vile Arsenal ilihsajifia siku nyingi.

Arteta alipobadili gia katikati ya ligi baada ya kuwa mkiani muda mrefu kwenye msimu wake wa kwanza bado wengi wetu hatukuamini.

Sasa Arteta, mbegu ya kipara ameifanya Arsenal kuwa timu inayoogopwa EPL na sio ile kichwa cha mwenda wazimu tena, mfupa uliomshinda Arsene Wenga na Unai Emery.

Enzo Maresca ni ile ile mbegu ya Kipara, na yeye akiwa na kipara kama cha PEP, asili ya Italia, akiwa na miaka 44, miaka miwili zaidi ya Arteta. Tunategemea ataleta kandanda safi Chelsea na lenye kuvutia. Kandanda la pasi 30 hadi 50 lakini goli linapatikana. Changamoto aliyonayo Enzo ni kuzoez EPL tu. Kama ni kocha mzuri basi nategemea atazoez ndani ya muda mfupi na kwa kuwa ana kikosi ambacho kimeshazoea ligi kidogo sio kama Pochettino alivyoipokea hii timu

Tumuombee tu azoeane na wachezaji ambao walishazoeana na Pochettino na pia kubwa zaidi asizozane na uongozi na wamiliki il naye asije akaonyeshwa mlango ule ule wa kutokea alioupita Pochettino
 
Kaveh Solhekol reports that the leading candidates are Thomas Frank, Enzo Maresca, Kieran McKenna along with a 'high-profile mystery name'

Kwenye hawa candidates sidhani kama watawafaa. Kabla HansFlick haja saini kule barca mnaweza ku hijack ila mkishindwa kabisa Mourinho is Jobless ni bora kuliko hao makocha wa brentford, Leicester na Ipswitch ni makocha wa timu ndogo na walishafelikina Potter why hamjifunzi wakuu?
Ndg sisi ni washabiki tu mbona unatulaumu kama ndio wamiliki wa team 😂😂😂😂😂😂
 
Hatimaye...🤷
Screenshot_2024-05-28-15-14-40-90_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom