Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ujinga wa matajiri. Walitaka watu wa kuongozwa na kusema yes sir kwa kila kitu na huyo wamempata sasa. Chelsea ilipaswa kugain momentum baada ya kuanza kupata stability. Ngoja tumpe muda kama atateuliwa.
Hapana, wamiliki wana point mtakuja kuwaelewa baadaye
Kuna mchambuzi mmoja kachambua vizuri
Wameweka structure nzuri sana na falsafa pia
Model waliochukua wamiliki ni timu iongozwe na iadentity of play kutoka kwa uongozi na sio kocha
Hii approach mbona inafuatwa na timu nyingi toka zamani tukianzia na Barcelona, Bayern Munich nk
Model hii inahitaji kocha ndie aweze ku fit in
Model hii haitaki kocha wa kuja na kuanza kulalamika kama Pochettino kuhusu usajili au anamtaka huyu huyu hamtaki
Nawaunga mkono asilimia 100. Kuna makocha tukiwapa mamlaka watatuharibia timu halafu watakimbia na tutakaoumia ni sisi
Mfano
TT alitaka magarasha mengi yakaletwa, baadaye hayakufaa kitu ikabidi yauzwe kwa beo poa

Building from SD naona ina uendelevu fulani mzuri kuliko timu ikijengwa kutokea kwa kocha
 
Profile yake ina match na wachezaj tulionao based na source nilizopitia kumsoma .

Ngoja tuone kipi atakileta
Kilichowavutia SD na wamiliki ni kwamba anajua nguvu na udhaifu wa wachezaji wengi wa Chelsea tofauti na makocha wengine
 
Ila haimechi na standards za Chelsea. Ni unproven. No EPL experience ila tutalazimika kumback up as long as atakuwa a Chelsea coach
Hao makocha wazoefu wengi wao ni vichwa ngumu, wagumu kubadilika kulingana na wakati na m,pinzani. Mfano mzuri Pochettino, angekuwa ni mrahisi wa kubadilika leo Chelsea tungekuwa UCL. Kocha pekee mzoefu ambaye angematch hii timu ni Acceloti na hapatikani, wacha tufanye gamble na hawa wasio na uzoefu
 
Hapana, wamiliki wana point mtakuja kuwaelewa baadaye
Kuna mchambuzi mmoja kachambua vizuri
Wameweka structure nzuri sana na falsafa pia
Model waliochukua wamiliki ni timu iongozwe na iadentity of play kutoka kwa uongozi na sio kocha
Hii approach mbona inafuatwa na timu nyingi toka zamani tukianzia na Barcelona, Bayern Munich nk
Model hii inahitaji kocha ndie aweze ku fit in
Model hii haitaki kocha wa kuja na kuanza kulalamika kama Pochettino kuhusu usajili au anamtaka huyu huyu hamtaki
Nawaunga mkono asilimia 100. Kuna makocha tukiwapa mamlaka watatuharibia timu halafu watakimbia na tutakaoumia ni sisi
Mfano
TT alitaka magarasha mengi yakaletwa, baadaye hayakufaa kitu ikabidi yauzwe kwa beo poa

Building from SD naona ina uendelevu fulani mzuri kuliko timu ikijengwa kutokea kwa kocha
Kitu nachoimani nacho siku hii kitu ikikubali nadhani tutakuwa na uwezo wa kutawala soka la uingereza kwa mda mrefu.

Tumeshindwa tawala epl kwa sababu ya kutokuwa na mwendelezo mzuri tunapata kombe msim mmoja msim wapili kocha akifanya vibaya badala ya kuangalia shida nini tunajikuta tunamtimua kocha anakuja mwingine cycle inajirudia.

poch ameacha msingi na stability ndani ya team Maresca sidhan kama atapata shida sana.

Ps.
Tusimuunderrate Enzo Maresca huenda akafanya makubwa kuliko hata hao tuliokuwa na matumaini nao.
Tuissupport team sasa
 
Chelsea wanatarajia kumteua Maresca ndani ya saa 72 zijazo. Maresca anataka kuleta wafanyakazi 5 pamoja naye. Willy Caballero anatarajiwa kuwa mmoja.
1716836321388.png
 
Kuhusu Enzo Maresca ikiwa unatazama mtindo wa kucheza wa Leicester msimu huu.

Formation: 4-3-3. Lakini ni zaidi ya 3-2-4-1 (au 3-2-5)

Hutumia inverted fulbacks sana na kuwahimiza No.8 kushambulia kila mara

Natarajia line up yake itakuwa hivi

3-2-4-1 (3-2-5) tweaked 3-4-3

----------------Striker---------------

Chilwell ----Nkunku -----Palmer -----James

----------Lavia --------Caicedo-----------

---Collwill ------CB mpya ------Fofana----

--------------Petrovic------------------

4-3-3

Nkunku---------Striker---------Palmer

Enzo-----------Lavia ---------Caicedo

Chilwell----Collwill ----Fofana---- James

---------------Petrovic----------------
 
Hapana, wamiliki wana point mtakuja kuwaelewa baadaye
Kuna mchambuzi mmoja kachambua vizuri
Wameweka structure nzuri sana na falsafa pia
Model waliochukua wamiliki ni timu iongozwe na iadentity of play kutoka kwa uongozi na sio kocha
Hii approach mbona inafuatwa na timu nyingi toka zamani tukianzia na Barcelona, Bayern Munich nk
Model hii inahitaji kocha ndie aweze ku fit in
Model hii haitaki kocha wa kuja na kuanza kulalamika kama Pochettino kuhusu usajili au anamtaka huyu huyu hamtaki
Nawaunga mkono asilimia 100. Kuna makocha tukiwapa mamlaka watatuharibia timu halafu watakimbia na tutakaoumia ni sisi
Mfano
TT alitaka magarasha mengi yakaletwa, baadaye hayakufaa kitu ikabidi yauzwe kwa beo poa

Building from SD naona ina uendelevu fulani mzuri kuliko timu ikijengwa kutokea kwa kocha
Huwezi kubuid kwa kuteua makocha na kuwafukuza kila msimu. Utakosa continuity.
 
Kitu nachoimani nacho siku hii kitu ikikubali nadhani tutakuwa na uwezo wa kutawala soka la uingereza kwa mda mrefu.

Tumeshindwa tawala epl kwa sababu ya kutokuwa na mwendelezo mzuri tunapata kombe msim mmoja msim wapili kocha akifanya vibaya badala ya kuangalia shida nini tunajikuta tunamtimua kocha anakuja mwingine cycle inajirudia.

poch ameacha msingi na stability ndani ya team Maresca sidhan kama atapata shida sana.

Ps.
Tusimuunderrate Enzo Maresca huenda akafanya makubwa kuliko hata hao tuliokuwa na matumaini nao.
Tuissupport team sasa
Hakuna tajiri atakuja kumatch mafanikio ya Abramovich. That guy had a very high football passion
 
Huwezi kubuid kwa kuteua makocha na kuwafukuza kila msimu. Utakosa continuity.
Huwezi pia baki na kocha asiyeweza kushirikiana na wenzake. kuchimbana kwenye vyombo vya habari. kulalamika kila wiki kwenye press conference. huwezi jenga ngome kwa mentality hiyo hata kama wewe ni kocha mzuri. Kocha mzuri ni yule anayefit in kwenye timu na anaielewa squad na anao uwezo wa kuifundisha ikawa timu nzuri huku akiwa anashirikiana na wenzake. Hiyo match ni ya lazima na ndio protocols za leadership na good governance
 
Chelsea ilikataliwa na Kieran McKenna na akaamua kusaini mkataba mpya na Ispich Town.
Sasa kuna ripoti mpya zilizotoka kwenye vyanzo vya karibu na Maresca vimesema kuwa hana haraka na anaweza kuamua kubaki Leicester City ikiwa ucheleweshwaji wowote wa kujiunga Chelsea utampa chuki na wasiwasi.
@JacobSteinberg
 
Chelsea tayari wameweka ofa ya mkataba mezani kwa Tosin Adarabioyo ili kuwapiku Newcastle United ambao bado wako kwenye mazungumzo naye.
Maoni yako
1716842803506.png
 
Pia ukifatilia mijadara utaelewa kuwa mimi nasapoti yeyote atakayechaguliwa ambacho nasisitiza ni kuwa inexperience isn't healthy for bigger clubs as ours
Hata angewekwa jiwe, alimradi Mashavu anaondoka, it is OK 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom