Huu sasa ni muda wa kumkaribisha kocha mpya na kumpa ushirikiano kwa angalau tuone atafanyia nini hii squad yetu nzuri. Kumkosoa ije baadaye sana
Mbona kaanza lawama kabla ya kazi sasa?Enzo Maresca juu ya yeye kushindwa akiwa kocha wa Parma:
"Walinipa mkataba wa miaka mitatu, na unapofanya mkataba wa miaka mingi ni kwa sababu kuna wazo la mradi nyuma yake na matarajio yasiyo ya kweli"
"Hakuna mtu aliyewahi kuniambia kuwa katika mwaka wa kwanza tulipaswa kwenda Serie A, zaidi sana wakati wachezaji 15 au hivyo wapya wanapowasili katika majira ya joto. Parma wangeweza kucheza mechi za mtoano kama wachezaji watatu tuliowaainisha kusajiliwa kwenye dirisha la usajili la Januari wangesajiliwa."
De Zerbi amefanya nn EPL ambacho Poch hajafanya? Na kwanini kaachwa De Zerbi kachukuliwa Maresca?De Zebri amemzidi Mashavu vitu vingi sana.
Hiyo quote ni ya mda mrefu sio ya leo au jana au juziMbona kaanza lawama kabla ya kazi sasa?
Uza Disasi hapa, huyu mda wote anachomaKwa mfumo wa Enzo Maresca wachezaji hawa wakiwa fit watatumika sana na watafaa sana kwenye formation na pattern ya uchezaji wake msimu ujao
Gusto ni mzuri ila atatakiwa kuadapt kwenye posession footabll
- Reece James - Wings back wa kuingia na kucheza kiungo
- Cucurella - kama james
- Lavia
- Caicedo
- Jackson
- Palmer
- Enzo
- Santos kama atabaki
- Disasi
- Badiashile
- Colwill
- Fofana
- Chukwuemeka
Pia Madueke, Mudryk, Petrovic anatakiwa kuobresha footwork yake,
Mfumo unaweza kumlinda, kama Enzo akimpliment mfumo wake wa inverted LB maana kwenye defense wanakuwepo walinzi wanane kabla ya mabeki hawajafikiwa. Tatizo la Disasi ni slow kureact na huo uslow wake unaweza funikwa na akwa CB bora.Uza Disasi hapa, huyu mda wote anachoma
Kwa hiyo ghalagher na Chalobah wanauzwa au ?Mfumo unaweza kumlinda, kama ENzo akimpliment mfumo wake wa inverted LB maana kwenye defense wanakuwepo walinzi wanane kabla ya mabeki hawajafikiwa. Tatizo la Disasi ni slow kureact na huo uslow wake unaweza funikwa na akwa CB bora. Maoni yangu na p[ia itakuwa na risky kubwa. Ikitokea akauzwa itakuwa bora zaidi
Mizigo hiyo bora iuzwe tu, ipatikane pesa ya kununua wachezaji wanaoweza kupiga pasi.Kwa hiyo ghalagher na Chalobah wanauzwa au ?
Kuna chance kubwa wakauzwa kwa sababu ni pure profit.Kwa hiyo ghalagher na Chalobah wanauzwa au ?
Huyu mzee nilimsahauPamoja sarri na yule mzee wa kwanza kabisa kabla ya mourinho....wote wanaleta mafanikio kwetu.
Kama nini kamzidi?De Zebri amemzidi Mashavu vitu vingi sana.
Ondoa Badiashile na Disasi weka Chalobah plus new CB, Cucullera isn't reliable as well due to his inconsistency. Hao Disasi na Badiashile wakae na Chalobah awafundishe namna ya kufanya build up na kudefend one vs oneKwa mfumo wa Enzo Maresca wachezaji hawa wakiwa fit watatumika sana na watafaa sana kwenye formation na pattern ya uchezaji wake msimu ujao
Gusto ni mzuri ila atatakiwa kuadapt kwenye posession footabll
- Reece James - Wings back wa kuingia na kucheza kiungo
- Cucurella - kama james
- Lavia
- Caicedo
- Jackson
- Palmer
- Enzo
- Santos kama atabaki
- Disasi
- Badiashile
- Colwill
- Fofana
- Chukwuemeka
Pia Madueke, Mudryk, Petrovic anatakiwa kuobresha footwork yake,
Si ndiyo nasema kapata ajira mpya vinaongelewa vitu vya ajabu ajabu. Vinashusha molari yaaniHiyo quote ni ya mda mrefu sio ya leo au jana au juzi
Challabor na build up wap na wap jamani acha kumsingizia.Ondoa Badiashile na Disasi weka Chalobah plus new CB, Cucullera isn't reliable as well due to his inconsistency. Hao Disasi na Badiashile wakae na Chalobah awafundishe namna ya kufanya build up na kudefend one vs one