Kamzid uwezo yaan kila kitu, poch labda mashavu tu ndio kamzid. Kama huamini wampe poch Brighton asipoishusha daraja.Kama nini kamzidi?
Kamzid uwezo yaan kila kitu, poch labda mashavu tu ndio kamzid. Kama huamini wampe poch Brighton asipoishusha daraja.Kama nini kamzidi?
Kama unaelewa mpira angalau kidogo utagundua kuwa baada ya Chalobah kupona na kuanza kucheza ndipo defence yetu ilianzakukaa sawa.Challabor na build up wap na wap jamani acha kumsingizia.
Sasa mimi nimeongelea defence au build up? Kaangalie hat mechi moja tu aliyocheza dk. zote alizocheza alikua akipewa mpira anaupeleka wapi, tena kwa mpira wa huyo kocha ndio haumfai kabisa huyo kisoda. Mtampa lawama bureKama unaelewa mpira angalau kidogo utagundua kuwa baada ya Chalobah kupona na kuanza kucheza ndipo defence yetu ilianzakukaa sawa.
Chalobah anajua kusoma mchezo na ni mwepesi na hiyo ndio anayowazidi CB wengi pale Chelsea. CB mdogo mwenye kujua kusoma mchezo na kufannya timing tackle angalau zaidi ya Badiashile na DisasiKama unaelewa mpira angalau kidogo utagundua kuwa baada ya Chalobah kupona na kuanza kucheza ndipo defence yetu ilianzakukaa sawa.
Nilichogundua mashabiki wengi wanamchukulia Chalobah poa sana.Kama unaelewa mpira angalau kidogo utagundua kuwa baada ya Chalobah kupona na kuanza kucheza ndipo defence yetu ilianzakukaa sawa.
Brighton ni team yenye muundo Mzuri ndio maana makocha wengi wanafanikiwa hicho sio kigezo chakusema amemzidi pocheKamzid uwezo yaan kila kitu, poch labda mashavu tu ndio kamzid. Kama huamini wampe poch Brighton asipoishusha daraja.
Ina wachezaji makapi sana, kocha atakayekuaj hiyo Brighton itashuka darajaBrighton ni team yenye muundo Mzuri ndio maana makocha wengi wanafanikiwa hicho sio kigezo chakusema amemzidi poche
Chalobah anauzwa, CB mpya wa nini? mada ilibase kwenye wachezaji waliopo, soma vizuriOndoa Badiashile na Disasi weka Chalobah plus new CB, Cucullera isn't reliable as well due to his inconsistency. Hao Disasi na Badiashile wakae na Chalobah awafundishe namna ya kufanya build up na kudefend one vs one
Na kila mara hutu tunawaambia mfumo wa uendeshaji inaotaka kuutumia Chelsea haupaswi kuwa wa fukuza fukuza fukuza kama zamani. Ila kuna watu vichwa ngumu zinakaza fuvu.Brighton ni team yenye muundo Mzuri ndio maana makocha wengi wanafanikiwa hicho sio kigezo chakusema amemzidi poche
Nani kakwambia Chalobah anauzwa? Tusubiri kocha mpya aseme hamuhitajiChalobah anauzwa, CB mpya wa nini? mada ilibase kwenye wachezaji waliopo, soma vizuri
Na kila mara hutu tunawaambia mfumo wa uendeshaji inaotaka kuutumia Chelsea haupaswi kuwa wa fukuza fukuza fukuza kama zamani. Ila kuna watu vichwa ngumu zinakaza fuvu.
C tumekubaliana viongozi wa timu ndio wenye maamuzi juu ya wachezaji na sio kocha, kwahy kwa mfumo huo kama n kufukuzwa au kubaki itakuwa n maamuzi ya viongozi na sio kocha.Nani kakwambia Chalobah anauzwa? Tusubiri kocha mpya aseme hamuhitaji
Akileta kidomodomo atatimuliwaNani kakwambia Chalobah anauzwa? Tusubiri kocha mpya aseme hamuhitaji
Chalobah akipata namba kw huyo kocha, niitwe mbwa nimekaa paleeNilichogundua mashabiki wengi wanamchukulia Chalobah poa sana.
Ni heri niwe na chalobah kulikl kuwa na disasi
Here we go with Barcelona SC.Kama nini kamzidi?