Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kiukweli kocha huwezi kumshortlist au kumhoji sana kwa sababu profile zao zinajulikana mpaka personalities zao zinajulikana.
Na hii ndi sababu kuu hawamleti kocha anayefaa. Wanamfanyia usaili kama muuza duka

Too much analysis leads to paralysis
Uchambuzi mwingi huza mapooza
Tuna wakurugenzi wa michezo wa ajabu sana linapokuja swala la kutafuta kocha.
 
Remember when €120M 'Flop' Enzo Fernandez taunted Mason Mount earlier this season for leaving Chelsea? Fast forward...

— Mason Mount WON the FA CUP with United while Enzo lost the Carabao Cup with Chelsea and he'll be playing conference league next season.

We had the last laugh 😂View attachment 3000389
Mwanaume unaitwa ally pipi, ww n mzima kwel ww au ww sio riziki.?
 
Kuna waliokuwa wanamkandia sana na kulinganisha uwezo wake na matokeo ya Brighton
Aslimia zaidi ya 60% anaweza akachukua yeye ila bado yuko pia Enzo Maresca
Chelsea standards have dropped massively.
 
Maresca kafanya kazi na makocha kama Ancellot, Manuel Pellegrim, Pep Guardiola. Challenge kubwa kwake itakuwa ni uzoefu wa EPL as a Head coach. Ila ni bora kuliko DeZerbi mbabaishaji.
 
Chelsea ni Certified midtable team
Ujinga wa matajiri. Walitaka watu wa kuongozwa na kusema yes sir kwa kila kitu na huyo wamempata sasa. Chelsea ilipaswa kugain momentum baada ya kuanza kupata stability. Ngoja tumpe muda kama atateuliwa.
 
Kocha anaekuja hopeful kila kitu kiende sawa ila tukiregress na hapa alipotuacha poch,

Sporting Directors + Wamiliki wajitafakari tusipomake hata top 4 msim ujao
 
Maresca kafanya kazi na makocha kama Ancellot, Manuel Pellegrim, Pep Guardiola. Challenge kubwa kwake itakuwa ni uzoefu wa EPL as a Head coach. Ila ni bora kuliko DeZerbi mbabaishaji.
Kufanya kazi na makocha wakubwa hakukufanyi uwe bora,

kila kitu kiende sawa ila tofauti na hivyo tutaonekana ni team ya ajabu.

Tusipofuzu UCL msimu ujao tutakuwa nahali mbaya sana
 
Ujinga wa matajiri. Walitaka watu wa kuongozwa na kusema yes sir kwa kila kitu na huyo wamempata sasa. Chelsea ilipaswa kugain momentum baada ya kuanza kupata stability. Ngoja tumpe muda kama atateuliwa.
Big Carlo ancelotti ni Yes sir
 
Hii Bet waliyoifanya Sporting director n Owner ilipe tu ila mambo yakienda ndivyo sivyo kila mtu atawatolea macho wenyewe.

Ni huge risk hii waliyoichukuwa.
 
Kufanya kazi na makocha wakubwa hakukufanyi uwe bora,

kila kitu kiende sawa ila tofauti na hivyo tutaonekana ni team ya ajabu.

Tusipofuzu UCL msimu ujao tutakuwa nahali mbaya sana
Ndo maana nilisema makocha wote waliotajwa it was a downgrade on Pochetinho. Japo tunaweza kupata a good gamble.
 
Ila haimechi na standards za Chelsea. Ni unproven. No EPL experience ila tutalazimika kumback up as long as atakuwa a Chelsea coach
Amekuwa kwa Pep msim waliochukua treble ila ilo halitoshi.

Now pressure iko kwa wamiliki na wakurugenz.
 
Kutokana na hizi tetesi za Enzo Maresca kutakiwa Chelsea sasa ndio naanza kuelewa kwa nini hatusikii hata tetesi za wachezaji matured kutakiwa. Kwa aina ya kikosi chetu na profile ya wachezaji anawamudu na kupenda naona ni perfect match.

Tusubiri tuone
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom