Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hawa wamiliki ni wehu ,bora Dezerbi au Ange Yule kocha wa spurs ,
Ila Ndio hivyo ,sidhani kama wana nature ya kuwa slaves
Tunawaamiliki wa ajabu sana

Kweli Kocha wa Championship,Na Brentford yan mnawajadili ffs yani unamfukuza Poch ili ulete kocha wa Brentford😭😭😭 Wallah tumerogwa
 
Watuletee tu yoyote ata wakichukua kocha wa basket, ilimradi sio Poch. Inatosha.
Poch amenifanya nimekua mnyonge sana kitaa manina.
 
MJADALA WAFUNGWA
Conor Gallagher vs Declan Rice katika msimu wa 2023/2024.
Nani ni bora zaidi?
Wanakaribiana katika nyanja nyingi za soka kama vile kugonga, kuachia, kubonyeza, kupiga pasi, kukatiza, kutengeneza nafasi, kulinda na mengine mengi, isipokuwa Gallagher ni bora zaidi kuliko Declan Rice katika pasi za nyuma na faulo alizofanya.

1716380619374.png
 
MJADALA WAFUNGWA
Conor Gallagher vs Declan Rice katika msimu wa 2023/2024.
Nani ni bora zaidi?
Wanakaribiana katika nyanja nyingi za soka kama vile kugonga, kuachia, kubonyeza, kupiga pasi, kukatiza, kutengeneza nafasi, kulinda na mengine mengi, isipokuwa Gallagher ni bora zaidi kuliko Declan Rice katika pasi za nyuma na faulo alizofanya.

View attachment 2996744
Gallagher hajawa complete midfielder hiyo ndio tofauti iliyopo hapo sio Mzuri kwenye kumiliki mpira pamoja na kucontrol mchezo akivifanyia hivi vitu atakuwa bonge la midfilder
 
Enzo Maresca anaibuka mgombea mkuu kuchukua nafasi ya Mauricio Pochettino kama kocha mkuu wa Chelsea kwa sababu anazo sifa kama za PEP.
• Upara kama Pep
• Muonekana kama Pep
• Alifanya kazi na Pep
• Alishinda Championship akiwa na Leicester
• Alishinda PL 2 na Lavia na Palmer
1716381848415.png
 
Habari za ndani zimedai uongozi wa Chelsea unataka ‘kocha mkuu’ ambaye atazingatia kuinua viwango vya wachezaji anaopewa, tofauti na ‘meneja’ ambaye atatinga pande nyingine za biashara.

Chanzo kimoja ambacho hakikubaliani na kuondoka kwa Pochettino Jumanne usiku kilieleza kuwa ni ‘kibaraka’.

Hii sifa inamuangukia Robert De Zerbi kwa 100%

Hawa wamiliki wanataka kocha atakayeinua viwango vya wachezaji ili wauzwe wapate faida. Hata kama kocha hatabeba makombe

Kumbuka pia kuwa waliwahi kusema wanapenda sana model ya Brighton ya mid-table team lakini wamilki wanakula faida vizuri

Tuombe Mungu isiwe hivi nilivyodhania
 
Habari za ndani zimedai uongozi wa Chelsea unataka ‘kocha mkuu’ ambaye atazingatia kuinua viwango vya wachezaji anaopewa, tofauti na ‘meneja’ ambaye atatinga pande nyingine za biashara.

Chanzo kimoja ambacho hakikubaliani na kuondoka kwa Pochettino Jumanne usiku kilieleza kuwa ni ‘kibaraka’.

Hii sifa inamuangukia Robert De Zerbi kwa 100%

Hawa wamiliki wanataka kocha atakayeinua viwango vya wachezaji ili wauzwe wapate faida. Hata kama kocha hatabeba makombe

Kumbuka pia kuwa waliwahi kusema wanapenda sana model ya Brighton ya mid-table team lakini wamilki wanakula faida vizuri

Tuombe Mungu isiwe hivi nilivyodhania
Wewe unampenda Robert De Zebri aje chelseafc au upendi tuanzie hapo kwanza
 
Tuchel alimkataa Cristian Ronaldo akafukuzwa
Pochettino alimkataa Bernardo Cueva kama specialist wa set pieces Macrh 2024 akatimuliwa
Hawa makocha wanaotaka kibarua cha kuifundisha Chelsea hawawezi kujifunza kutoka kwa hawa wamiliki wapya?
1716382941595.png
 
Majina yanayohusishwa na kocha mpya wa Chelsea.

Kabla hatujampata kocha mpya tutasikia mengi sana

  • Kieran Mckenna
  • Thomas Frank
  • Eddie Howe
  • Michel
  • Enzo Maresca
  • Sebastien HoeneB
  • Wayne Rooney
Nadhani Rooney anawafaa sana kwanza anaijua EPL vizuri pili ni mzalendo kweli kweli 😁😁
 
Tuchel alimkataa Cristian Ronaldo akafukuzwa
Pochettino alimkataa Bernardo Cueva kama specialist wa set pieces Macrh 2024 akatimuliwa
Hawa makocha wanaotaka kibarua cha kuifundisha Chelsea hawawezi kujifunza kutoka kwa hawa wamiliki wapya?
View attachment 2996783
Poch nae hana akili kwenye hilo team imekuwa hovyo kwenye mipira ya juu,
Sahiv club nying zinaajir makocha wa set pieces
 
Sidhani kama Pochettino kaondoka kwa sababu ya performance based.
Kulikuwa na mvutano mkubwa kati ya wamiliki, wakurugenzi na kocha mkuu. Ni kwa manufaa ya klabu.
Poch hakutaka baadhi ya wachezaji wauzwe kama Galagher na Chaloba ila maboss wanataka kumake profit.

Poch alitaka power zaidi ktk transfer windows ila mabosi wanataka kocha aletewe wachezaji wanaowataka wao maboss.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Huyo pochetino hana rekodi ya maana.

Ni average coach. Kuna coaches wapo average teams ila ni talented na promising.

Pochetino ameshakuwa kwenye game na hana matokeo ya maana.

Huu ushindi wa mwishoni ni zuga tu.

Mtu yoyote ambaye ameshawahi simamia any successful project anajua kuwa pochetino kama angebakia lazima angezengua mno next season.

Hao matajiri wa timu sio wajinga wanajua mambo ndio maana ni matajiri.

Na hawawezi kuwa na maamuzi ya kawaida kama sisi.
Na wakati wanamleta Potter hawakujua?

Hivi Chelsea ni ya kuwa coached na makocha kama McKenna ambaye siyo elite coach au Kompany ambaye ameishusha daraja Burnley?

Au Thoma Frank wa Brentford?

Ndo maana Drogba akasema "I no longer recognize my club"

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
70% ya mashabiki hawakupenda Pochettino kuondoka. Wengi wa hao walizugwa na matokeo ya mechi za mwishoni na Chelsea kushika na. 6
Vipi kuhusu improvement ya Timu? Au umeshasahau jinsi Lampard?

Angalia improvement ya wachezaji kama Jackson, Palmer, Galagher, angalia Caisedo alivyojengewa kujiamini na kurudi katk ubora wake.

Angalia stability ya timu.

Ninashangaa sana ninapoona mtu hayaoni hayo wakati akina Potter walishindwa

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom