Watuletee tu yoyote ata wakichukua kocha wa basket, ilimradi sio Poch. Inatosha.
Poch amenifanya nimekua mnyonge sana kitaa manina.
Shida club ya Chelsea mashabiki wengi wanaendeshwa na hisia kuliko akili. Msimu huu kuna wachezaji wameletwa kutoka league nje ya epl mfano Gusto, Disasi, Badiashire, Jackson, Mudryk, Mudueke, lakini ndani ya nusu msimu ameweza kutengeneza timu kutokana na hao wachezaji wasio na uzoefu na EPL.
2. Timu ya Chelsea imefunga magoli mengi sana msimu huu na hata forward walianza kufunga magoli kitu ambacho kilishindikana hapo nyuma tangu aondoke Hazard.
3. Mpira wa Poch ni direct football kuelekea goli. Angalia timu zilizotengeneza nafasi nyingi za kufunga utaikuta Chelsea top 4.
4. Mtu anasema eti nafasi wazi hazikufungwa. Hili ni kosa la kocha? Yaani Nunez asipofunga nafasi ambayo imetengenezwa kwake ni kosa la Klop!?
5. Kulikuwa na mgawanyiko katika dressing room, lakini Poch kaleta stability. Kuanzia Desemba mwaka jana you can sense the spirit of togetherness.
6. Angalia idadi ya injuries katika kikosi chetu alafu linganisha na injuries zilizowapata Man U na Newcastle na uone wako nafasi gani.
7. Poch is highly respected na wachezaji wanaobaki na imeleta shock.
8. Eddie Howe anayekusihwa na Chelsea kamaliza msimu nyuma ya Poch na ana misimu mitatu yuko na timu. Ten Hag ana misimu miwili akiwa na timu .
9. Mwisho tambua kuwa Chelsea siyo Brighton, Brentford au Iptswich. Pressure ya kudeliver ni kubwa na makocha wasio na uzoefu hawawezi kuderiver.
Hivyo alipaswa kupewa msimu kesho na kupewa lengo la kuchallenge Man City na Arsenal then kama angefanikiwa kushika nafasi 3 za juu angepewa lengo la kubabe ubingwa kwenye msimu wake wa tatu.
Watu hasa wanachelsea sijui ni kwa nini hawana uwezo wa kuangalia details za uwanjani?
Sent from my SM-A225F using
JamiiForums mobile app