Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Timu ilikua ishajipata tayari chini ya Poch ila Ghafla habari ya kuondoka imewadia, ngoja tuone kocha gani ataenda pale
Yaani nimeshangaa sana. Hatujamaliza ligi vibaya sana kihivyo.. ilikuwa mwanzo mzuri kuelekea msimu mpya.
 
Halaf bado tunamjadili Thomas Frank wallah tumerogwa.
SD na Wamiliki linapokuja swala la kutafuta kocha kunamahali fuse inafyatuka
Usisahau pia kuwa media nyingi kwenye tesnion kama hii wanapitisha nao rumours zao ili kuuza habari zao
Haya majina yote sidhani kama yametoka kwa SD
 
Usisahau pia kuwa media nyingi kwenye tesnion kama hii wanapitisha nao rumours zao ili kuuza habari zao
Haya majina yote sidhani kama yametoka kwa SD
Ukiona hadi Fabrizio kamzungumzia jua kuna kaukweli😂😂😂
 
Enzo Maresca,Keran McKena,Michel hizi zote ni red flag

Tukijichanganya hapa tu tutaharibu hata hicho poch alichotengeneza
 
Nilikwambia bwana mdogo usiwe unapenda kutukana kila mtu.

Ona sasa.

Huna akili na sote tumeshuhudia hilo.
Jibu swali langu. Wakati Sarri anafika alikua amebeba kombe gani hapo kabla.?

Kwa taarifa yako Poch hajaondolewa kwa swala perfomance ya timu. Kutokuelewa kwenye swala la usajili ndio imepelekea kushindwana. Rudisha kichwa usirudie tena ku comment kama hauna kichwa
 
Makocha wanne ndani ya miaka miwili. Tunategemea wa 5 very soon.

Real tired of this team na uongozi wake
 

Attachments

  • Screenshot_20240522_032938_Instagram.jpg
    Screenshot_20240522_032938_Instagram.jpg
    256.9 KB · Views: 9
HATUA MBILI MBELE MOJA NYUMA, TATU MBELE TATU NYUMA, NNE MBELE TATU NYUMA. TUTAFIKA ILE NCHI YA AHADI TUMEZEEKA
 
Pamoja na kutimua kocha wafukuzeni wafuatao
Caicedo
Lavia
Sterling
Fisadi
Sare
Chalobah
Chillwell
Reece James

Hawa ni mizigo kwenu leteni wachezaji wa kueleweka
 
Bodi na wamiliki hawakupenda vitu hivi kwa Pochettino
  1. Sio kocha wa kuposses mpira
  2. Mazoezi na aina ya mafunzo aliyowapa wachezaji ni za kizamani
  3. Mbinu zake zilikuwa zinatia mashaka
  4. Hakuwa na muunganiko na mashabiki
  5. Hawakukubaliana kuhusu mchezaji gani asajiliwe na nani auzwe
  6. Nafasi nyingi zilizokuwa zinakoswa na wachezaji
  7. Uduni kwenye kuweza kucheza set pieces - yaani kuzuia na kufunga magoli
  8. Kumkataa kocha wa set pieces kutoka Brentford
  9. Malalamiko kwenye press conferences na media kuhusu uchanga wa kikosi, ukosefu wa uzoefu nk
 
Mkuu unauhakika na ulichokiandika
Potter
Lampard
Poch

Hao wa 5 ni wakinanani?
Kuna mmoja alishikilia kabla hajaja Lampad nadhani wa nne, akija huyu ambaye haitapita wiki tutamjua atakuwa wa tano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom