juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Unahis Keran McKena anamzidi Poch??????Poch ni takataka huwezi kuutafuta ubingwa ukiw na huyo kilaza.
Tusijidanganye hapo ni kama tutakuwa tunaanza upya
Unahis Keran McKena anamzidi Poch??????Poch ni takataka huwezi kuutafuta ubingwa ukiw na huyo kilaza.
Unahis Keran McKena anamzidi Poch??????
Tusijidanganye hapo ni kama tutakuwa tunaanza upya
Unahis Keran McKena anamzidi Poch??????
Tusijidanganye hapo ni kama tutakuwa tunaanza upya
Wamiliki sio wanamtafuta kocha anayemzidi Poche, wanataka kocha anayekubaliana na mambo hayaUnahis Keran McKena anamzidi Poch??????
Tusijidanganye hapo ni kama tutakuwa tunaanza upya
Makocha wanaobashiriwa niHuyo McKenna sidhani kama anapigiwa upate, kocha anae pewa nafasi zaidi ni RDZ huyu nae bado sana. Kwani Hans Dieter Flick si hana timu?
Makocha wanaobashiriwa ni
- Ruben Amorim wa Sporting Lisborn na
- Kieran McKenna wa Ipswich Town
Sipo upande wa Pochetino,Wamiliki sio wanamtafuta kocha anayemzidi Poche, wanataka kocha anayekubaliana na mambo haya
Wanadhibiti approach ya utekelezaji wa mradi ni sporting directors na wamiliki
- Maono ya project
- Approach ya utekelezaji wake
Sio kocha aje aanze kusema anataka control ya usajili na kitakachomuondoa Pochettino ni hiyo na ametangaza sana kwenye media hadi wamiliki wamechukia
Huu ujumbe kwa Kimombo
The reasons for Pochettino's sacking (If it this happen) are far greater than what we see, hear, and imagine. It is a matter of a conflict of interest between the coach and the owners. It is a matter of differing project vision. These owners are very strict in the way they want this project to be implemented. It is an owner-controlled project, and any coach who comes in must comply with the owner's terms of reference for project implementation and not otherwise.
Kiswahili
Sababu za kutimuliwa kwa Pochettino (Ikiwa hii itatokea) ni kubwa zaidi kuliko kile tunachoona, kusikia na kufikiria. Ni suala la mgongano wa kimaslahi kati ya kocha na wamiliki. Ni suala la kutofautiana kwa dira ya mradi. Wamiliki hawa ni wakali sana katika namna wanavyotaka mradi huu utekelezwe. Ni mradi unaodhibitiwa na mmiliki, na kocha yeyote anayekuja lazima azingatie masharti ya rejea ya mmiliki kwa ajili ya utekelezaji wa mradi na si vinginevyo.
Amorin nae ashasema anabakiMakocha wanaobashiriwa ni
- Ruben Amorim wa Sporting Lisborn na
- Kieran McKenna wa Ipswich Town
Ni heri nibakie na Chalobah kuliko DisasiKuna wachezaji bado pia ni matakataka yakuuza, huwezi ukategemea mchezaji kama Ghallagar au Challabar wanachojua kuzuia tu, hat kupga pass moja hawawezi.
Bora tutusa kuliko kuletewa kocha wa Ipswich au Thom Frank😂😂😂Kwahiyo haijajulikana huyu tutusa anaondoka au anasalia ?
Galagher ameimprove sana, hata kitakwimu amemzidi Rice. Chalobah ni beki na anapimwa kwenye kukabaKuna wachezaji bado pia ni matakataka yakuuza, huwezi ukategemea mchezaji kama Ghallagar au Challabar wanachojua kuzuia tu, hat kupga pass moja hawawezi.
Galagher ameimprove sana, hata kitakwimu amemzidi Rice. Chalobah ni beki na anapimwa kwenye kukaba
wachezaji ambao kwa kweli hatutaweza kuwa nao ni
• Disasi - slow
• Sarr - hajitambui
• Gallagher - best lakini pure profit sake
• Chilwell - majeruhi
• Kepa - hafai
• Broja - hafai
• Lukaku - hafai
• Casadei - punguza mzigo, viungo wako wengi???
• Maatsen hatuna namna
• Datro Fofana - auzwe tu
• Hutchinson - auzwe tu
• Chilwell - majeruhi
• Sterling, anaishia huyo
• Lesley Ugochwuku
Maamuzi sahihi.Mauricio Pochetno kaondoka Chelsea
Umeona wanayemtaka? Kocha wa Ipswich Town Kieran MckennaMaamuzi sahihi.
Usajili ulifanyika kiholela na kwa fujo, noway lazima waondolewe!Ni ipi faida ya kusajili hovyo hovyo kila dirisha? Asilimia kubwa ya hao wachezaji hatujawatumia ipasavyo alafu mara hii wauzwe, inasikitisha sana!