Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mauricio Pochetno kaondoka Chelsea
Sidhani kama Pochettino kaondoka kwa sababu ya performance based.
Kulikuwa na mvutano mkubwa kati ya wamiliki, wakurugenzi na kocha mkuu. Ni kwa manufaa ya klabu.
 
Umeona wanayemtaka? Kocha wa Ipswich Town Kieran Mckenna
Huyo pochetino hana rekodi ya maana.

Ni average coach. Kuna coaches wapo average teams ila ni talented na promising.

Pochetino ameshakuwa kwenye game na hana matokeo ya maana.

Huu ushindi wa mwishoni ni zuga tu.

Mtu yoyote ambaye ameshawahi simamia any successful project anajua kuwa pochetino kama angebakia lazima angezengua mno next season.

Hao matajiri wa timu sio wajinga wanajua mambo ndio maana ni matajiri.

Na hawawezi kuwa na maamuzi ya kawaida kama sisi.
 
Changamoto KUBWA ni atakayefuata sasa
Tutegemee a very BIG mistake tena tukaletewa kocha wa kurudi nyuma hadi nyuma ya Potter
 
Mbona huwa mna comment kama hamna vichwa jamani?

Maurizio Sarri na Sarriball yake wakati anakuja alikua ameshinda kombe gani?

Jama hatuko enzi zile hebu tuwe watulivu. Tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini
Nilikwambia bwana mdogo usiwe unapenda kutukana kila mtu.

Ona sasa.

Huna akili na sote tumeshuhudia hilo.
 
Ila kiukweli Pochettino alituumiza sana sisi mashabiki wengine wenye hisia kali na hii timu.

Kuna ubishi fulani alifanya tukapoteza mechi kijinga tu
It is better ameondoka

1716319402932.png
 
70% ya mashabiki hawakupenda Pochettino kuondoka. Wengi wa hao walizugwa na matokeo ya mechi za mwishoni na Chelsea kushika na. 6
 
Hakuna hali ya hofu wala fujo ndani ya Chelsea. Paul Winstanley na Laurence Stewart wataongoza mchakato wa kumteua kocha mkuu kijana ajaye wa klabu, ambaye wanataka kuwa na
  1. Chelsea icheze mpira wa possesion football
  2. Mchezo wa kudhibiti mpira (Ball control) na
  3. Solid Defense.
 
Chochote kitakachofuata wamiliki na wakurugenzi wanapaswa kufanya maamuzi sahihi !!!
Hakuna maajabu ya msimu mmoja tena!! Au wasimamizi wanaoahidi uongo.
Ttunahitaji mshindi, meneja ambaye anaweza kuleta mabadiliko kwa timu yetu yenye vipaji.
Ikibidi wamlete kwa gharama yeyote Xabi Alonso hapa darajani
 
Sporting director wasifanye same mistake now
Kuna kitu kinanighasi kwenye akili yangu kuwa isije kuwa timu iliyomuondoa RDZ Brighton ni Chelsea.
Paul Winstanley ana ukaribu sana na Dizerbi, naomba akili yangu isije kuwa inasema uongo

Klabu isiyojulikana iliilipa Brighton pauni mil 4.3 kama fidia ya kumwachilia Robert De Zerbi.
Mkataba umeshasainiwa tayari na kumekuwepo usiri mkubwa sana kwenye hili sakata.
Tunasubiri tu muda muafaka ufike ili tuweze kujua hiyo klabu ni ipi.
Kumbuka RDZ alishasema angependa kuendelea kuifundisha timu England
????
????
View attachment 2995501
 
Galagher ameimprove sana, hata kitakwimu amemzidi Rice. Chalobah ni beki na anapimwa kwenye kukaba
wachezaji ambao kwa kweli hatutaweza kuwa nao ni
• Disasi - slow
• Sarr - hajitambui
• Gallagher - best lakini pure profit sake
• Chilwell - majeruhi
• Kepa - hafai
• Broja - hafai
• Lukaku - hafai
• Casadei - punguza mzigo, viungo wako wengi???
• Maatsen hatuna namna
• Datro Fofana - auzwe tu
• Hutchinson - auzwe tu
• Chilwell - majeruhi
• Sterling, anaishia huyo
• Lesley Ugochwuku
Ghallager ni mzur ila sio level y chelsea aisee, miguvu miiingi akili y mpira kisoda, naomba kueleweshwa kampita Rice kwa kitu gani????
Halafu mbona mpira sahiv umebadilika tofauti na zamani, sio eti kisa beki ndio upimwe kwa kuzuia tu, likija kwnye swala la build up, beki inaanza kutetemeka na kurudsha kwa kipa. Kuna mambo ya kuinvert pia ,ataweza?
Golikipa mwenyewe tu hapimwi kwa kudaka peke yake, miguuni lazima awe vizur pia
 
Yani huyu Poch alinifanya nisiwe nafuatilia chelsea yangu baada ile fainal ya carabao iliniuma sana hizi mechi za mwisho zilikuwa danganya toto tulipaswa kuwa top 4
 
Halaf bado tunamjadili Thomas Frank wallah tumerogwa.
SD na Wamiliki linapokuja swala la kutafuta kocha kunamahali fuse inafyatuka
 

Attachments

  • IMG_3065.jpeg
    IMG_3065.jpeg
    152.3 KB · Views: 9
Chelsea inataka kocha mkuu ambaye ataingia kwenye mazungumzo kuhusu usajili na mauzo yanayoweza kutokea bila kutaka kulazimisha mikakati yake ifuatwe au kuweka madai nataka hiki au kile, na awe tayari kujitolea kufanya kazi na vipaji vilivyokusanywa na timu ya usajili.
-Simon Philips
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom