lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,492
Sidhani kama Pochettino kaondoka kwa sababu ya performance based.Mauricio Pochetno kaondoka Chelsea
Kulikuwa na mvutano mkubwa kati ya wamiliki, wakurugenzi na kocha mkuu. Ni kwa manufaa ya klabu.
