Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kelvin De Bruyne amerudi tu kutoka majeruhi na kuleta impact, kafunga goli zuri la kusawazisha na kutoa assist bora kabisa kwa goli la ushindi. wachezaji majeruhi wa Chelsea wakirudi wanahitaji kuadapt na kuwa fit kwa wiki mbili na zaidi

 
Ikiwa Pochettino atamruhusu Petrovic kuwa golkipa no. 1 hata baada ya Sanchez kurejea nitaanza kumuunga mkono na nitaheshimu maamuzi yake kuanzia hapo, iwapo ataanza kumchezesha Chilwell kwenye nafasi yake, basi nitamuunga mkono 100%.
 
Mkuu basi game zetu huwa huwaangalii
Ndio maana nikakwambia tunatofautiana namna tunavyoangalia na kuutafsiri. Ila Enzo huwa hachezi namba 10. Mtu wa mwisho kucheza namba 10 vizuri alikua ni Mount. Sasa hivi tuna ingia toka za mara Galagher, Nkunku, Palmer hata Sterling. Sisi hatuna namba 10 mzuri anayeweza kupiga pass za kueleweka hatuna huyo
 
Kelvin De Bruyne amerudi tu kutoka majeruhi na kuleta impact, kafunga goli zuri la kusawazisha na kutoa assist bora kabisa kwa goli la ushindi. wachezaji majeruhi wa Chelsea wakirudi wanahitaji kuadapt na kuwa fit kwa wiki mbili na zaidi

View attachment 2870971
Class is permanent. Sisi hatuna wachezaji wenye class hiyo lakini pia madaktari ni tatizo kubwa pale. Leo hii Pulisic na RLC kule Milan husikii wakiwa majeruhi wanacheza kila leo
 
Kwa hiyo Chilwel ndio anacheza LW halaf nje una mudryk na Colwil bado unamchezesha LB


Halaf lawama wanapewa wachezaji




Chelsea won EPL Title with Mourinho in 2014

Chelsea won EPL Title with Conte in 2016

Chelsea beat Man utd in 2018 to lift FA cup

Chelsea beat Arsenal in 2019 to lift EUROPA League 2019

Chelsea beat giants including Man City to lift UEFA Champions League in 2021

Chelsea beat Villarreal to lift UEFA super cup 2021 edition

Chelsea won Club world cup in 2021

Tell me any other EPL Club apart from Liverpool has done that

The reason why I like my Chelsea despite the poor results...am sure SMILES WILL FIND THEIR WAY BACK TO OUR FACES AS CHELSEA FANS

I now challenge Arsenal to tell us what they have achieved, including the year

Poch must Go

Poch Out
 
Class is permanent. Sisi hatuna wachezaji wenye class hiyo lakini pia madaktari ni tatizo kubwa pale. Leo hii Pulisic na RLC kule Milan husikii wakiwa majeruhi wanacheza kila leo

Nahisi kwa Seria A inaweza kuwa tofauti Sidhan kama wanakutana na purukushan kama ambazo zipo Premier league

Pulisic tangu BVB alikuwa ni injury,

Kingine inawezekana kweli medical department yetu ikawa na shida
 
Hiv mnaona Jinsi Spurs wanavyocheza ??? Kocha wao anamiez 6 kama yule mashavu

No Son,Kulisevski,Madison,Bisouma,Sarr sisi japa kila siku tunalalamila majeruhi je wachezaj ulionao umewatumiaje
 
Hiv mnaona Jinsi Spurs wanavyocheza ??? Kocha wao anamiez 6 kama yule mashavu

No Son,Kulisevski,Madison,Bisouma,Sarr sisi japa kila siku tunalalamila majeruhi je wachezaj ulionao umewatumiaje
Na hata hao majeruhi wakirud bado tutajamba jamba tu.
 
Enzo huwa hachezi kama namba 10
Kuna mechi kadhaa kama mbili au tatu hivi Enzo alicheza kama namba 10 na Gallagher akarudishwa nyuma kucheza pivot na aidha Caicedo au Lesley. Na katika hizo mechi ndio Enzo aliboronga ile mbaya, hata baada ya kurudishwa kwenye pivot na Caicedo bado aliendelea kucheza vibaya na majeruhi yakaingia hapo hapo naona hii ya Fulam ndio Enzo anarudi kwenye form
 
Hiv mnaona Jinsi Spurs wanavyocheza ??? Kocha wao anamiez 6 kama yule mashavu

No Son,Kulisevski,Madison,Bisouma,Sarr sisi japa kila siku tunalalamila majeruhi je wachezaj ulionao umewatumiaje
Majeruhi imechangia ila na ubovu wa kocha humo hump 50/50
 
Toddy anavyopenda kuajiri na kufukuza medical department ingekuwa na shida angeshafukuza wote na kuajiri upya.

Amwage mahela kibao ya usajili halafu wakashinde vitandani? Sio kwa Toddy.

Changamoto ya majeruhi chanzo chake kikuu ni usajili wa injury prone players.
Aliunda tume ya kuchunguza na hadi leo hatukupewa majibu ya tume
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom