Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Breaking:

Chelsea wamewasiliana na Hansi Flick kuhusu nafasi ya muda ya miezi 6. Iwapo Pochettino atashindwa kuifunga Fulham au Middlesbrough, nafasi yake itachukuliwa.

[Der Untergang] Chanzo hiki sio ya uihakika, nahisi hizi taarifa ni za kupika

Chelsea have contacted Hansi Flick about a 6 month interim position. If Pochettino fails to beat Fulham or Middlesbrough, he will be replaced. [Der Untergang]

View attachment 2869259
Mimi ni mmoja kati y ambao nitaombea chelsea ifungwe hizo mechi mbili. Mtanisamehe kwa huto tumechi tuwili tu.
 
Chelsea kesho ndyo tunaanza ligi sasa
Hatuachi kombe lolote msimu huu
Kesho tusipofunga goli 3 mniite mbwa jike
Chelsea pride of ENGLAND 🔥🔥🔥
 
1705073251151.png
 
Pochettino amekuwa akifanyia kazi kujibu kichapo cha Middlesbrough kwenye mazoezi lakini hii inaashiria mojawapo ya matatizo. Kumekuwa na hali ya kufadhaika na ugumu wa jinsi hii hatua inavyopokelewa na wachezaji wake, na jinsi inavyoonekana kila wakati kuna hatua moja ya kurudi nyuma.
\
1705073860436.png
 
Sababu zote zilizotajwa hapo chanzo ni MAAMUZI MABOVU YA DIRECTORS & OWNERS, wamepelekea:-

Poor selection ya kocha
Poor scouting ya wachezaji wenye viwango duni, kindergarten & injuries players

Me sidhan kama wachezaj wanaviwango duni au kocha ndio kashindwa

Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama tunawachezaj wenye viwango duni,

Tuna kocha mbovu tu. Tukipata kocha mzuri ndio utaona ubora wao kwa kocha kam Poch ambae kigezo cha kwanza kucheza ni kukimbia ujue hamna kitu hapo
 
Chief tunao wachezaji wengi wakawaida sanaaa, tupo hapa atakuja kocha mwingine itakuwa the same story.
Hii mbona umeikariri kama sala ya Bwana!
Wachezaji wote ni wa viwango vya juu, tukifika wakati wa kubadilisha kocha ndio utajua
Tuliamini sana tunakikosi mbovu wakati wa Lampard 2020/21. Alipokuja TT January ile ya 2021 ndani ya miezi sita tu, Chelsea ilionekana bonge la timu na ikabeba UEFA mbele ya akina Porto, RM, ATM, City na wengineo kibao
Tofauti na TT hii timu ina makinda wengi ambao watahitaji kocha muafaka ili kuondoa inconsistency hadi ya akina Raheem Sterling
 
Breaking:

Chelsea wamewasiliana na Hansi Flick kuhusu nafasi ya muda ya miezi 6. Iwapo Pochettino atashindwa kuifunga Fulham au Middlesbrough, nafasi yake itachukuliwa.

[Der Untergang] Chanzo hiki sio ya uihakika, nahisi hizi taarifa ni za kupika

Chelsea have contacted Hansi Flick about a 6 month interim position. If Pochettino fails to beat Fulham or Middlesbrough, he will be replaced. [Der Untergang]

View attachment 2869259

Matumaini yangu Chelsea itashinda mechi zote mbili hili
 
Sababu zote zilizotajwa hapo chanzo ni MAAMUZI MABOVU YA DIRECTORS & OWNERS, wamepelekea:-

Poor selection ya kocha
Poor scouting ya wachezaji wenye viwango duni, kindergarten & injuries players
Nop
Umesoma maoni ya mashabiki
Asilimia kubwa ni Majeruhi na ubovu wa kocha
 
Mimi ni mmoja kati y ambao nitaombea chelsea ifungwe hizo mechi mbili. Mtanisamehe kwa huto tumechi tuwili tu.
Tunamhitaji Hans Flick
Naamini huyu jamaa anaweza fanya kitu kwenye hii timu ,na si Pochetino ,mjinga mjinga yule
 
  • Hakuna mifumo ya kushambulia
  • Hakuna mfumo wa kujilinda
  • Inatumia vibaya wachezaji wengi
  • usimamizi mbaya wa mechi
  • Hakuna mbinu
  • Upangaji mbovu wa timu
  • Sub za kutisha
  • Hutoa visingizio 101
  • Hakuna uwajibikaji
  • Hakuna dalili za maendeleo
Na sasa anadanganya katika mkutano ya waandishi wa habari eti kwamba Brighton walipoteza msimu uliopita kwa Middlesbrough, wakati ukweli walishinda 5-1, lakini alisema hivyo kana kwamba ilikuwa sababu ya kupoteza kwetu.

1705094944747.png
 
Nipo naangalia Burnley Vs Luton, wapo mkiani ila wanacheza mpira wakueleweka kuliko chelsea. Vicent Company amempita vitu vingi sana Poch.
Nasikitika tulimtoa Ross Barley ambae anajitahidi kupga hata pass za maana tukabaki na kilaza Gallager ambae anatumia energy kubwa,wkt kupga hata pass moja ya maana hajui.
 
Hii mbona umeikariri kama sala ya Bwana!
Wachezaji wote ni wa viwango vya juu, tukifika wakati wa kubadilisha kocha ndio utajua
Tuliamini sana tunakikosi mbovu wakati wa Lampard 2020/21. Alipokuja TT January ile ya 2021 ndani ya miezi sita tu, Chelsea ilionekana bonge la timu na ikabeba UEFA mbele ya akina Porto, RM, ATM, City na wengineo kibao
Tofauti na TT hii timu ina makinda wengi ambao watahitaji kocha muafaka ili kuondoa inconsistency hadi ya akina Raheem Sterling
Kwanza kocha anayekuja kuchukua kandarasi baada ya Poche anakuja kula mshahara bure hawezi kupata mafanikio makubwa kwa muda mfupi na hawa makinda.

Hao makinda mpaka waje kupata experience ya Epl ni miaka 3 mpaka 5 ijayo.

Tutegemee THE BLUES itaendelea kuwa mid table team kwa miaka mingine 5.
 
Hata akija kocha world class kama PEP lazima asijili experienced players wengi watakaompa matokeo EPL.

Hivi mnadhani tukimpata kocha kama De Zerbi muumini wa makinda ndio tutachukua ubingwa?

Mnajidanganya De Zerbi hata apewe city au Liverpool hawezi kuchukua ubingwa, nafasi yake itakuwa 5, 6 & 7.

Hizi timu kubwa zina presha wazee Brighton itafungwa mechi 5 mfululizo sio story wala hakuna presha kocha anapata space ya kutulia na kujipanga na kufanya maboresho.

Poche mwenyewe akiwa spurs alikuwa hana presha na Poche ni slow learner kwenye kuboresha timu. Ameenda PSG amekutana na presha kubwa ya UCL kavurunda, hivyo hivyo Chelsea.
 
Nipo naangalia Burnley Vs Luton, wapo mkiani ila wanacheza mpira wakueleweka kuliko chelsea. Vicent Company amempita vitu vingi sana Poch.
Nasikitika tulimtoa Ross Barley ambae anajitahidi kupga hata pass za maana tukabaki na kilaza Gallager ambae anatumia energy kubwa,wkt kupga hata pass moja ya maana hajui.
Huyo tulikuwa tukimuita mwoka mikate, anajitahidi sasa hivi ila huku alikuwa mzembe sana, hajitumi saa nyingine anasinzia uwanjani akiwaachiua wengine wahangaike
 
Kwanza kocha anayekuja kuchukua kandarasi baada ya Poche anakuja kula mshahara bure hawezi kupata mafanikio makubwa kwa muda mfupi na hawa makinda.

Hao makinda mpaka waje kupata experience ya Epl ni miaka 3 mpaka 5 ijayo.

Tutegemee THE BLUES itaendelea kuwa mid table team kwa miaka mingine 5.
Ngoja tutapendekeza jina lako maana naona unajua soka kuliko makocha wengi
 
Hata akija kocha world class kama PEP lazima asijili experienced players wengi watakaompa matokeo EPL.

Hivi mnadhani tukimpata kocha kama De Zerbi muumini wa makinda ndio tutachukua ubingwa?

Mnajidanganya De Zerbi hata apewe city au Liverpool hawezi kuchukua ubingwa, nafasi yake itakuwa 5, 6 & 7.

Hizi timu kubwa zina presha wazee Brighton itafungwa mechi 5 mfululizo sio story wala hakuna presha kocha anapata space ya kutulia na kujipanga na kufanya maboresho.

Poche mwenyewe akiwa spurs alikuwa hana presha na Poche ni slow learner kwenye kuboresha timu. Ameenda PSG amekutana na presha kubwa ya UCL kavurunda, hivyo hivyo Chelsea.
Unajua chief kuna kitu unamiss hapa
Hatuhitaji sasa hivi ubingwa, tunachohitaji timu iwe na progress, kwa pochettino ubora wa timu unarudi nyuma, unadidimia. mwisho tutateremshwa daraja, wewe unaona tofauti na mashabiki wengi wa Chelsea wanavyoona

Hata akija PEP hatuhitaji ubingwa na hii timu ya watoto, ila tutahitaji obvious development. Mudryk haendelai kukua, Caicedo na enzo wanadidimia kimchezo. na wengine

Kocha hana mbinu wala mkakati
Anapanga timu hovyo
Anafanya sub za kipumbavu
Anawachezesha wachezaji nje ya nafasi zao bila sababu yeyeote na pia hata pale anpoona wachezaji wanakuwa mizigo nje ya nafasi zao, mfano mzuri Colwill, Chilwell akija utaona atamchezesha winga
 
Toddy anayo vision yake anayotembelea ambayo ni kujenga team kupitia vijana wadogo.

Mafanikio ya huu mpango ni ya muda mrefu.

Chini ya huu mpango Toddy ataendelea kuajiri makocha ambao watatembea na vision yake kulelea na kuwajenga vijana.

Matamanio ya mashabiki ni kuona THE BLUES inarudi kwenye njia za Ubingwa, kama enzi za Roman Abramovich

1. Aletwe kocha world class
2. Wasajiliwe exprienced players

Mashabiki wanaamini pesa za ovyo anazomwaga Toddy zinaweza kujenga team ya makombe endapo atafanya maamuzi sahihi.

Kwahiyo kwa sasa Vision ya Toddy inatofautiana na matamanio ya mashabiki.

Kwa sasa Makocha world class wanaiangalia project ya Chelsea hawafurahishwi jinsi inavyoondeshwa Toddy na wengi watakataa kandarasi ya kuja kuifundisha Chelsea.

Toddy ataendelea kuitisha interview za makocha uchwara.
Kwa yaliyotokea nyuma, Tod nadhani atajifunza kumsikiliza kocha
Soka la ULaya ukijenga timu ya baadaye na kuacha hii ya sasa utajikuta umeshuhswa daraja hadi National Legue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom