Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wataalamu wa soka wanadai Chelsea ni timu kubwa kocha yeyote au mchezaji yeyote anayekuja hapa anakuwa na presure kubwa mabegani mwake ndio maana hawafanyi vizuri
OFcourse ni point lakini tunarudi pale pale hata kocha we mzuri vip bila kuwa na wachezaji wazuri watakao endana na falsafa zake hawezi kufanikiwa.
 
Huyu Anthony Taylor kuna mda kama mliona alikuwa anafosi kuwapa goli Fulham
 
OFcourse ni point lakini tunarudi pale pale hata kocha we mzuri vip bila kuwa na wachezaji wazuri watakao endana na falsafa zake hawezi kufanikiwa.
TT aliwakuta wachezaji wa makocha kama watatu hivi, mchuzi mix, maharage, biringanyi makande akabeba UCL, hapo viti
Kocha bora anawafinyanga wachezaji wenye talent wawe wake labda wazee
Kuwa na vijana wenye vipaji Chelse ani fursa kwa kocha yeyote mzuri, wanafinganyika, wanatengenezeka, sio kama wale wazee TT aliwakuta na bado akawakokota hadi kubeba UCL
 
Ndio maana nakwambia jinsi tunavyoattack o kuzuia hakuna chochote tunachokifanya

Team inayofundishwa vizuri utaona tu jinsi wanavyoshambulia jinsi wanavyojilinda.
Am sorry kilichokua kinazungumzwa ni big chances missed ndio tupo juu. Kama tunatengeneza nafasi obvious inabaki ni uwezo wa mchezaji mwenyewe kumalizia. Yan haiwezekani kuwe na pattern ya kutengeneza nafasi halafu hapo hapo kuwe na pattern ya kamalizia hizo nafasi. Nadhani point yangu unaielewa.

Yan tumetengeneza nafasi nzuri halafu mchezaji anakosa. Hilo ni tatizo la kocha?
 
Petrovic ni mzuri kumzidi Sanchez ila kwa kuwa Poch akili zake ziko kwenye mashavu utaona Petrovic anasugua bench kipindi sanchez amepona
Huyu dogo hata mimi ni.emuona ana potential kubwa sana ukizingatia na umri wake. The only thing kitakachomuangusha ni experience hasa siku atakapo chomesha game hata moja tu. Refer case ya Christensen alianza vizuri sana alipoxhomesha game ya Barca ndio ikamuathiri kisaikolojia
 
TT aliwakuta wachezaji wa makocha kama watatu hivi, mchuzi mix, maharage, biringanyi makande akabeba UCL, hapo viti
Kocha bora anawafinyanga wachezaji wenye talent wawe wake labda wazee
Kuwa na vijana wenye vipaji Chelse ani fursa kwa kocha yeyote mzuri, wanafinganyika, wanatengenezeka, sio kama wale wazee TT aliwakuta na bado akawakokota hadi kubeba UCL
Huyu TT alikuja kipindi tuna Cesar kama captain, tuna Giroud front, tuna experienced Rudiger, the might Ngolo Kante, a brilliant Kovacic. Ukiwa na wachezaji hao tu atleast kuna jambo unaweza fanya. Sasa leo James ingia toka majeruhi kama yote, Chilwell vilevile, front line Jackson. Unategemea maajabu ya Tuchel yaje hapa?
 
Huyu TT alikuja kipindi tuna Cesar kama captain, tuna Giroud front, tuna experienced Rudiger, the might Ngolo Kante, a brilliant Kovacic. Ukiwa na wachezaji hao tu atleast kuna jambo unaweza fanya. Sasa leo James ingia toka majeruhi kama yote, Chilwell vilevile, front line Jackson. Unategemea maajabu ya Tuchel yaje hapa?
Wote hao walikuwa takataka wakiwa chini ya Lampard, Nachotaka kuongelea hapa ni kwamba wachezaji wanaweza kuwa wa hovyo chini ya kocha huyu na hapo hapo wakawa wazuri chini ya kocha yule.
 
Leo Gallagher kawauzi wengi hadi kocha wake mpendwa
Kapewa pasi nzuri alikuwa atengeneza build up nzuri halafu akapiga kama chenga mbili au tatu kumtafuta Disasi nyuma mashabiki wakamgunia kwa hasira. Naanza kuungana na wanaomponda Gallagher, wakati anatakiwa kufanya vitu kama za Palmer ndio anharibu gamu kabisa, infacvt hata Madueke anamucha mbali sana kwenye attacking
1705161365387.png
 
Huyu dogo hata mimi ni.emuona ana potential kubwa sana ukizingatia na umri wake. The only thing kitakachomuangusha ni experience hasa siku atakapo chomesha game hata moja tu. Refer case ya Christensen alianza vizuri sana alipoxhomesha game ya Barca ndio ikamuathiri kisaikolojia
Akirudi tu Pochettino wenu asivyo na akili sawasawa atamrudisha Sanchez na kumuweka huyo dogo Bechi kisa uzoefu hana. Habari ndio hiyo. Namtegea tu. Kweli Pochettino akimuacha Petrovic aendelee kudaka hata kama Sachez ni mzima nitaanza kumuamini
 
Wote hao walikuwa takataka wakiwa chini ya Lampard, Nachotaka kuongelea hapa ni kwamba wachezaji wanaweza kuwa wa hovyo chini ya kocha huyu na hapo hapo wakawa wazuri chini ya kocha yule.
Mkuu yule Lampard kwenye coaching ni mpuuzi tu. Ila sasa wakati wake Tammy Abraham ndio akawa mkombozi wake
 
Conor Gallagher na back passes amuudhi TT

 
Lampard leo kaonekana akiangalia mechi darajani. Ni adimu sana kuja ila kwa sababu.
Ameonekan akiwa na baadhi ya viongozi wa ngazi ya juu wa Chelsea
Je anaandaliwa kuwa kocha wa mpito kama msimu uliopita?
1705162998899.png
 
Cheki makocha wengine wanavyomwamini na kumdhamini Ian Maatsen
Yupo kwenye kikosi cha kwanza kati ya Darmstadt vs Dortmund leo saa 2 na nusu
Na anachezeshwa proper position yake ya LB, sio hizi mbinu uchwara za Pochettino za kumfanya winga
1705164620078.png

1705164385422.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom