Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 720
- 1,315
Hawa watoto kazi ya kufunga magoli hawaiwezi kabisa. Utoto mwingi sana mbele ya goli.
Mkuu hebu acha vichekesho. Yan mpaka tunaongoza kutengeneza nafasi nyingi ni individual brilliance ya wachezaji no coaching efforts? OKAY SAWA, Sasa kama ni individual kwa nini wasiwe brilliant kwenye kuzimalizia hizo nafasi? Kama ni indiviadual kwa nini bado tunaruhusu magoli kila leo?Ni team effort kama team iliyokuwa coached au ni individual brilliance??
Mkuu ila comment zako huwa zinachekesha sanaMadueke anafuga rasta wakati ana komwe inamlazimu kulifunika na kitambaa





halaf nje una mudryk na Colwil bado unamchezesha LB





Hata Graham Potter alipokua Brighton alifanya mambo mazuri sana lakini nini kilimkumba alipokuja Chelsea? Unataka kuniambia sasa hivi Company ni kocha mzuri kuliko Poch? What a joke is this![]()
Sure mkuuMkuu hebu acha vichekesho. Yan mpaka tunaongoza kutengeneza nafasi nyingi ni individual brilliance ya wachezaji no coaching efforts? OKAY SAWA, Sasa kama ni individual kwa nini wasiwe brilliant kwenye kuzimalizia hizo nafasi? Kama ni indiviadual kwa nini bado tunaruhusu magoli kila leo?
Mkuu hebu acha vichekesho. Yan mpaka tunaongoza kutengeneza nafasi nyingi ni individual brilliance ya wachezaji no coaching efforts? OKAY SAWA, Sasa kama ni individual kwa nini wasiwe brilliant kwenye kuzimalizia hizo nafasi? Kama ni indiviadual kwa nini bado tunaruhusu magoli kila leo?
Wataalamu wa soka wanadai Chelsea ni timu kubwa kocha yeyote au mchezaji yeyote anayekuja hapa anakuwa na presure kubwa mabegani mwake ndio maana hawafanyi vizuriHata Graham Potter alipokua Brighton alifanya mambo mazuri sana lakini nini kilimkumba alipokuja Chelsea? Unataka kuniambia sasa hivi Company ni kocha mzuri kuliko Poch? What a joke is this🤔
Mkuu hebu acha vichekesho. Yan mpaka tunaongoza kutengeneza nafasi nyingi ni individual brilliance ya wachezaji no coaching efforts? OKAY SAWA, Sasa kama ni individual kwa nini wasiwe brilliant kwenye kuzimalizia hizo nafasi? Kama ni indiviadual kwa nini bado tunaruhusu magoli kila leo?
Chief kuna kitu kinaitwa mbinu kwenye mpira, wewe umekariri lazima mchezaji acheze namba yake hiyo hiyo kauka nikuvae.
Hahaha ndio kuforce kila game na bado haileti matunda?
Wewe Chief kitu gani unaita mbinuChief kuna kitu kinaitwa mbinu kwenye mpira, wewe umekariri lazima mchezaji acheze namba yake hiyo hiyo kauka nikuvae.
Sasa hiyo nafasi ya 5 tumeingia kwa individual brilliance ya wachezaji bila effort ya coach? Kwa ufupi wa kikosi na ingia toka ya wachezaji unataka atengeneze pattern ipi ya kuelewekaChances zipi unazozingumzia mkuu,
Maswali mbona huwa hamjibu, kuna pattern yoyote ile inaonekana uwanjani au inshaallah,Mchezaj yupi kaimprove tangu aje Poch, Why anatumia wachezaji nje ya position,
View attachment 2870646
Karudia yaleyale ya mwanzoKwa hiyo Chilwel ndio anacheza LWhalaf nje una mudryk na Colwil bado unamchezesha LB
Halaf lawama wanapewa wachezaji![]()