lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,488
Jackson ni mjanja sana akicheza no. 10
Anajua kuhold mpira na kujenga build up
Chelsea kaonyesha huo uwezo na leo Senegal dhidi ya Cameron kaonyesha hivyo kwenye goli la tatu la Senegal lililofungwa na Sadio Mane katika dakika za majeruhi
lililofungwa na Sadio MAne dakika za majeruhi
Anajua kuhold mpira na kujenga build up
Chelsea kaonyesha huo uwezo na leo Senegal dhidi ya Cameron kaonyesha hivyo kwenye goli la tatu la Senegal lililofungwa na Sadio Mane katika dakika za majeruhi
lililofungwa na Sadio MAne dakika za majeruhi