juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Wewe Chief kitu gani unaita mbinu
Chilwell kucheza winga wakati tuna mawinga wazuri?
Colwill kucheza LB wakati Chilwell yupo?
Na wote hawafanyi vizuri kwenye hizo nafasi, bora hata kwa hiyo tacti ingeleta matunda sawa ila Colwill amekuwa mzigo pale kwenye LB na Chilwell tangu acheze winga hakuna alichokifanya
Ukweli ndio huo na ujinga mojawapo wa Pochettino ni hiyo
Tactic isipofanya kazi badili gia angani yeye kakariri tu
Colwill akicheza CB anacheza vizuri
Chilwell akicheza LB anacheza vizuri
Mechi nyingi tunapoteza kwa sababu ya hii foolish tactics
Watu hawataki kuelewa