Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,672
Tajiri miluzi akisikia mchezaji fulani anatafutwa yeye anapandia dau.Sina tatizo na Poch kuna kitu anacho ila hili swala la kubeba kila mchezaji linanipa mashaka coz hatujui kama wanaweza kufit ktk mfumo wake


