jifiche kwenye matokeo ya chelsea usiangalie litim lako bovu uko ujui ata unacheza nn mpaka saivhapa mtu anapoteza kaziView attachment 2724125
Hapo tutakuwa tumesomana vizuri japokuwa ratiba itakuwa ngumu kipindi hicho ila tutatoboahapa mtu anapoteza kaziView attachment 2724125
Reason ya slow build up sHida ipo kw Ghallagar, akipata mipira yote anairudisha kwa beki. Huyu mchezaji angeuzwa tu Man yu akacheze na wabovu wenzie. Mchezaji gani dk.90 hajapga penetration pass hata moja.Chukwuemeka alikuwa anasaidia kuifungua defense ya Westham, ila alipoumia tu, mabeki wakaamua kupasiana mpira wenyewe kwa wenyewe kikonokono halafu eti tunaambiwa Possesion ni 75%
Mpira wa leo baada ya HT ulikuwa mbovu na bado kuna wanachelsea wanausifia sana
Hv bdo Chelsea mnafurahia usajili? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji599]Breaking!
Chinno wanaman to Chelsea, here we go! Verbal agreement reached on €60m release clause fee value, still Toddy is negotiating with marioo, jaivah and papiloo for a possible shocking transfer.View attachment 2724299
Bado mzee hata kama wewe una mtoto au mdogo wako amesuka virasta sisi Chelsea tunamnunuaHv bdo Chelsea mnafurahia usajili? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duuh hii sasa ni hatari, sioni Chelsea ikivuna zaidi ya point 6 hapo kama kocha hataacha tabia ya kuchezea mpira na kuamua kucheza mpira.hapa mtu anapoteza kaziView attachment 2724125
Ukweli ni huu, hata kama Chelsea haitatupa matokeo tuliyotazamia ila Pochettino hatakuwa kama Potter wa "The lads gave it everything, ..."Hapana bhana mapema Sana kusema hivo, msipende Sana kuangalia matokeo angalien progress ya timu , mpeni Poch angalau mechi 5 kwanza atakuwa na first eleven yake ,
Chelsea msimu huu sidhan Kama malengo ni ubingwa ,malengo itakuwa kurudi kwanza UCL , Sasa presha yote ya Nini
Atakayetupa shida hapo ni Mancity tuDuuh hii sasa ni hatari, sioni Chelsea ikivuna zaidi ya point 6 hapo kama kocha hataacha tabia ya kuchezea mpira na kuamua kucheza mpira.
Liverpool alicheza 4-2-3-1Kuna kitu sijakielewa kwa Poch, Kwenye Pre season alikuwa anatumia 4-2-3-1 mechi zote, ila cha ajabu kwenye league anatumia 343 nikitu cha hovyo..
Mpaka sasa progress inaonekana,
Wewe mbona umehamia kwetu, huna kwako au wamejaa kunguni na chawa na virobotoTena??
Miluzi hamumtaki Tena?[emoji1787]
Pre season, Lw mara nyingi alikuwa anamtumia Maatsen na Chilwel alikuwa kama LB.Liverpool alicheza 4-2-3-1
Colwill alicheza kama LB na Chilwell kama winga na ndio. Pochettino alisema hayo akihijiwa na SkySport na akasema alifanya hivyo ili Colwill amdhibiti TAA asiweze kufeed mipira kwa washambuliaji wa Liverpool
-------------Jackson--------------
Chilwell --Chukwuemeka -----Sterling
-----Enzo ------------Gallagher---
Colwill -----Silva -----Disasi ----James
----------------Sanchez ------------
Hii ya Westhamm ndio alijaribu 343 ikabuma, sidhani kama atajaribu tena
Nipo sanaWewe mbona umehamia kwetu, huna kwako au wamejaa kunguni na chawa na viroboto
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bado mzee hata kama wewe una mtoto au mdogo wako amesuka virasta sisi Chelsea tunamnunua