Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Here we go!

Ni kweli sasa Djordje Petrović atasaini mkataba Jumatano kama mchezaji mpya wa Chelsea - itakuwa ni mkataba wa miaka 7 hadi 2030 🔵

Nimeambiwa itajumuisha chaguo la mwaka mmoja zaidi hadi 2031.

Ada kamili ya $17.5m pamoja na nyongeza za $2.2m kwa timu ya New England Revolution

-Fabrizio Romano


View: https://youtu.be/csE-nux29w0

1692663223280.png
 
Kenge FC ukweli ni kwamba ligi inazidi kuwa ngumu
Jana Crysta palace ilibaki kidogo atuvunjie heshima
Kiutu uzima tukaamua game

Mnahitaji muda wa kujenga timu, usajiri Jambo moja timu kuunda chemistry Jambo lingine. Mmesikia nyie KENGE

swali ni hili hapa pochetino aliefeli psg ile yenye kila kitu
Ndio pochetino huyo huyo inabidi atuoneshe ubora wa mudryk, caicedo, Sterling, Enzo, fofana, Hadi cucurela

Mtagundua kuwa ni swala la muda tu for things to fall apart
 
Ukweli ni huu, hata kama Chelsea haitatupa matokeo tuliyotazamia ila Pochettino hatakuwa kama Potter wa "The lads gave it everything, ..."
Hivi Westham mnaichuliaje? West ham ni team ngumu sana kucheza nayo Arsenal imeshindwa kuchukua ubingwa baada ya kuharibiwa na Westham nashangaa mnavyokuwa na mihemko ya kijinga kwa game 1 tu.Pochettino ni kocha mzuri sana anahitaji muda kujenga team huwezi kumpima kwa game hii tu au umlaumu Caicedo wakati hajacheza hata game 1 tu ya preseason
Cash Money Forever
juan david
 
Here we go!

Ni kweli sasa Djordje Petrović atasaini mkataba Jumatano kama mchezaji mpya wa Chelsea - itakuwa ni mkataba wa miaka 7 hadi 2030 🔵

Nimeambiwa itajumuisha chaguo la mwaka mmoja zaidi hadi 2031.

Ada kamili ya $17.5m pamoja na nyongeza za $2.2m kwa timu ya New England Revolution

-Fabrizio Romano


View: https://youtu.be/csE-nux29w0

View attachment 2724737

Nimemcheki ni kipa mzuri sana huyu Ndio kipa anaenda kuwa no 1
 
Kenge FC ukweli ni kwamba ligi inazidi kuwa ngumu
Jana Crysta palace ilibaki kidogo atuvunjie heshima
Kiutu uzima tukaamua game

Mnahitaji muda wa kujenga timu, usajiri Jambo moja timu kuunda chemistry Jambo lingine. Mmesikia nyie KENGE

swali ni hili hapa pochetino aliefeli psg ile yenye kila kitu
Ndio pochetino huyo huyo inabidi atuoneshe ubora wa mudryk, caicedo, Sterling, Enzo, fofana, Hadi cucurela

Mtagundua kuwa ni swala la muda tu for things to fall apart
Ujui mpira kijana
 
Chelsea mnanini lakini? 😂😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20230823-174147.png
    Screenshot_20230823-174147.png
    195.4 KB · Views: 10
Wafuata upepo FC
Gundu FC Kila chezaji wanalonyapia nyuma nyuma linaenda kuflop
Kuna watu wa aina tatu duniani
  1. Matajiri FC - wao wanazungumzia mambo yao, madhaifu yao na namna ya kuondokana nayo, nguvu zao na jinsi ya kuzitumia kwenye kujiletea maendeleo.
  2. Middle Class FC - Wao wanazungumzia matukio tu kwenye sehemu kubwa ya muda wao na kupoteza muda kwenye kujiletea maendeleo
  3. Mafukara FC - Wao ni kuwaongelea wenzao tu, kusengenya, kuona wivu, kuloga na kila siku kwa waganga ili wenzao na majirani zao wasifanikiwe
Je wewe uko kwenye kundi lipi?
 
Wafuata upepo FC
Gundu FC Kila chezaji wanalonyapia nyuma nyuma linaenda kuflop
Ndio mana Caicedo nae akaflop😂😂
Hakuna kitu tutafurahi sisi liva kama Caicedo kuflop, tutafanya sherehe. Haiwezekani mchezaji atukatae wazi wazi.
 
Ndio mana Caicedo nae akaflop😂😂
Hakuna kitu tutafurahi sisi liva kama Caicedo kuflop, tutafanya sherehe. Haiwezekani mchezaji atukatae wazi wazi.
Aflop mara ngapi Mkuu
Amekuja kuwaongezea gundu
 
Aflop mara ngapi Mkuu
Amekuja kuwaongezea gundu
Chelsea wangekaa kimya mngetoa hizo pesa mil 111. Mngezitoa wapi? FSG hawana pesa wanasubiri Liverpool irudi UCL ili waweze angalau kununua wachezaji kwa 2024/25.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom