Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa hiyo na Enzo hutomwongelea kwa sababu ni word cup winner na best you player of tournament sio bob
 
Mtafutieni Psychologist haraka sana dogo wa watu muokoe kipaji chake, dogo anaenda kuwa flop huyo.

Yani alivyokuwa benchi, kidogo Chelsea walikuwa threat, ila alivyoingia yeye sasa kabutua, katoa Boko, penati
Tatizo yeye mdogo bei KUBWA,anacheza Kwa presha KUBWA...kuhusu kipaji aisee CAISEDO NI MTU..MTU HASWAAA,KUSABABISHA PENAT SIYO TATIZO...NAKUBALIANA NAWE,ATAFUTIWE PSYCHOLOGIST HARAKA
 
Na Mac-allister tusimsahau
Mc allister ???huyuhuyu au yule babu aliyekuwa Coventry city akaja lfc?
MAANA kama ni huyu wa ajentinangoja nikucheke TU,pia kumbuka ni£35 Milion TU...ila shughuli yake natumai umeiona
 
Nyie Kenge, angalieni msimu huu msije shuka daraja...kwa hili litimu lenu...hakuna mechi mtashinda, labda mshinde njaa....
 
Et ooh Mudryk kaongeza confidence atatisha sana, mara ooh mgoli wa Mudryk unaombea mkopo benki. We mchezaji wa 100 M anakaa benchi, hata kupiga shuti hajui, akipata 1v1 ujue faulo hiyo
Kwanini caicedo hawakumuingiza awapelekee moto westham?
 
Tangu Enzo aje Chelsea ameshuhudia Chelsea ikishinda mechi 3 tuu za ligi
 

Attachments

  • 20230820_192314.jpg
    20230820_192314.jpg
    43.6 KB · Views: 3
Kwa hiyo Caicedo ni flop kisa ametoa penalt? Wabongo bhana kha! hahahaha .....
Na Enzo pia ni flop amekosa penalt.
Bila kwenda kumpigia magoti Thomas Tuchel hii laana haitaisha kenge nyie, tena mkitoka kwa Tuchel mpitie na Trafford kuomba radhi kwa utapeli mliotufanyia kwa yule Freemason halafu mrejeshe na £60m yetu wajaa laana nyie.
 
Tatizo la hii timu hata sio wachezaji. Tatizo ni culture ya uchezaji. Timu ni mwendo wa slow buildup na slow transformation kutoka nyuma kwenda mbele (huu ndio mtihani mkubwa kwa pochettino) mpira wa sasa bila identity hata tutengeneze timu ya all stars bado mambo yatakuwa hayahaya. All in all toka mwanzo nilisema tunapambania kuanzia nafasi ya sita kushuka chini na hili halitabadilika hata tukishinda game 5 mfululizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom