hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,458
- 27,050
Hapana bhana mapema Sana kusema hivo, msipende Sana kuangalia matokeo angalien progress ya timu , mpeni Poch angalau mechi 5 kwanza atakuwa na first eleven yake ,Nilishawahi kusema humu Brighton ina wachezaji wa kawaida ila inabebwa na mfumo wa kocha sasa huyu Caicedo tuliomchukua tuone uwezo wake pale chelsea isije ikawa tumepigwa tena kama Cucurela
Chelsea msimu huu sidhan Kama malengo ni ubingwa ,malengo itakuwa kurudi kwanza UCL , Sasa presha yote ya Nini


