Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kule Munich Tuchel hafanyi vizuri
  1. Bayern imetolewa UEFA
  2. Leo kakung'utwa 3-1 na Mainz
  3. Kwenye Table wamerudi namba 2 kama alivyoacha Julian
  4. Wachezaji wanacheza individually tofauti na wakati wa Julian
  5. Bodi sasa wanatafutana mchawi
Tuchel anaweza asiendelee msimu ujao kuifundisha Bayern Munich kwa sababu kwa sasa tension ni kubwa dressing room kuliko wakati wa Julian
Mbinu za tuchel zimepitwa na wakati,

Bayern Ni ile ile
ila Ukiiangalia bayern ya tuchel na Bayern ya Julian Ni vitu viwili tofauti.

Bayern ya tuchel inacheza soka la kipumbavu Sana utadhan Chelsea ya lampard
 
Mat Law ndie anayefuatilia kwa karibu sakata la kocha mpya Chelsea
Anasema Julian hakuwahi kuwa favourite kwa hiyo kazi ya ukocha pamoja na vyombo vingi kumtaja kuwa ndie yeye anapewa chapuo
Anasema Mauricio Potechino ndie mambo yanamuelekea na anaweza kuwa kocha mpya wa chelsea
View attachment 2596681
View attachment 2596684
Chelsea wangempata Enrique time ingekua POA sana, soka la kikatalunya lingeleta ushindana pale EPL Kama guardiola na arteta wanavofanya vzur Apo epl
 
Chelsea wana mpango wa kuwauza wachezaji hawa bei nzuri ikipatikana
  1. Kepa,
  2. Mendy,
  3. Azpilicueta,
  4. Koulibally
  5. Maatsen,
  6. Kovacic,
  7. Ampadu,
  8. Gallagher,
  9. Cheek,
  10. Mount,
  11. Havertz,
  12. CHO,
  13. Sterling,
  14. Pulisic,
  15. Ziyech,
  16. Broja na
  17. Aubameyang
Wanaamini pia Cucurella atakuja kuwa mchezaji mzuri ila maoni ya kocha mpya itabadili upepo
Wauze wote tu,tushachoka kuchaniwa mikeka na timu lenu Hilo halieleweki
 
Boehly ana mkosi, aache kwenda kutazama mpira timu inapocheza, Jana walienda kuitazama Chelsea wakicheza na Barcelona nyumbani darajani na Chelsea ikafungwa 1-0. Sasa Chelsea wanayo kazi ya kuifunga Barcelona Nyumbani kwao Cam nou
Chelsea ya sahv ni kichapo kila mechi
 
Mfungaji wa magoli mengi wa siku zote pale darajani (All time top goal scorers) Frank Lampard akipeana 1, 2, 3 na mfungaji wa pili wa magoli kwa siku zote pale darajani Boby Tambling alipotembelea uwanja wa mazoezi kuwatia moyop vijana.

Fuk4HLiXwBYqEJl


Kwaiyo sahivi Chelsea ili ishinde Ni lazima itiwe Moyo
 
Mbinu za tuchel zimepitwa na wakati,

Bayern Ni ile ile
ila Ukiiangalia bayern ya tuchel na Bayern ya Julian Ni vitu viwili tofauti.

Bayern ya tuchel inacheza soka la kipumbavu Sana utadhan Chelsea ya lampard
Mapema sana kumuhukumu TT ambaye bado hajamaliza nayo Buyern Munich hata mwezi mmoja tu
 
Lawama FC
Lialia FC
Mbuzi wenu wa kafara kwa sasa ni Lampard!
Mnacheza tu na nyakati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom