Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yule jamaa alipata jina Chelsea kwa kuwakuta vijana wako kwenye moto ila sio kwa mbinu zake. Tuch ni Jasusi la Ujerumani pale Munich
Na ael atafukuzwa TU msimu hauishi,
Bayern tayar nafas ya pili,ubingwa wa ligi nao anapoteza
 
THE BLUES FIXTURES

Arsenal vs Chel - TUNAFUNGWA

Bournemouth vs Chel - SARE/KUFUNGWA

Chel vs N. Forest - SARE/KUFUNGWA

City vs Chel - TUNAULIWA

Man utd vs Chel - PIPA NA MFUNIKO/SARE

Chel vs Newcastle - TUNAFUNGWA
Kwa hiyo unamaanisha tukijikaza sana tunaambulia point 3 tu kwenye points 18? Chelsea Kwishinei
Mimi nahisi msimu ujao utakuwa ndio mbaya zaidi, bora msimu huu tumesingizia ugeni wa wachezaji, wamiliki na bodi
 
Yule jamaa alipata jina Chelsea kwa kuwakuta vijana wako kwenye moto ila sio kwa mbinu zake. Tuch ni Jasusi la Ujerumani pale Munich
Msimseme vibaya, wakati anakuja Chelsea ni Silva na Zouma pale nyuma alikuwa kwenye form tu
Aliweza kutransform defense ikawa ngome imara
Alichokosa TT na ndio ilikuwa concern ya wengi ni falsafa na mfumo wa uchezaji. Yeye alitegemea zaidi mbinu mbinu za hapa na pale ambazo sio kila ligi inafanya kazi
Kwenye UEFA mbinu zake zilifanya kazi kwa sababu mechi za UEFA ni chache
Kwenye ligi asingetoboa kwa sababu ligi inahitaji falsafa na wachezaji wanaoendana na hiyo falsafa
 
FuqwxsWWwAgDA-v
 
Huyu naye hajaichezea Chelsea lakini naye majeruhi
Marcus Bettinelli
 
Nimeingia gharama ya kulipia king'amuzi na internet huku timu yangu pendwa ya Chelsea inacheza utumbo. Sitaweza tena angalia timu yangu pendwa ikishiriki UEFA
Kwa sababu ya hawa masifa wa Kimarekani. Ndio maana wanachukiwa kila kona
 
Huyo Boehly ananikumbusha vita vya Marekani na Vietnam 1967, it was a disaster, wezao hawana silaha kali za gharama, wao wamarekani wakaja na silaha za gharama lakini walichinjwa hovyo na kijinga kweli kweli
 
Boehly hakuna mwenye uchungu zaidi yako kaza baba ni timu ni yako
Hakikisha unapata kocha unayemudu WASIKUPANGIE TIMU NI YAKO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom