Kushuka hatushuki, milima ya kupanda zile timu tano za mwisho ni mkubwa sana kuliko uwezo waoNi afadhali angebaki Potter au yule jamaa Bruno.
Bado tupo kwenye zone ya kushuka Daraja kiukweli.



Hata Tuchel angekuwepo mambo yangekuwa hivi hiviKosa kubwa ni kumfukuza Tuchel, kosa kubwa zaidi ni Toddy kuchukua timu.
Tupigwe ila tusishuke daraja, atleast tuwe namba 17 nitafurahi sana
Hahahaha ameenMungu saidia sisi man U tukicheza na Chelsea kocha awe Lampard
maana anatoa tuzopoints
Wakati tunashuka darajaWiki ijayo tunategemea Club Annoucement kuwa
Mauricio Pochettinoi ndiye kocha wa Chelsea na ataanza kazi rasmi mwenzi wa sita tarehe 1
Kuna wachezaji wanamuhujumu anatakiwa awapige bench first eleven yote aingize sura mpya ambazo hatujawahi zionaHivi kumbe na wazungu wanaweza kuwa ma failure kiasi hiki? Yaani Lampard kashindwa kabisa kushinda mechi hata moja hata kama kaletwa pale kumalizia msimu! Binafsi mi nashangaa sana