Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Finally nimerudi, hii timu yetu ni kheri tusubiri msimu ujao. Ila ki uhalisia tofauti na kocha tuna wachezaji wa kawaida sana.
Sio kweli kwamba tuna wachezaji wa kawaida sema ni kwamba tu wachezaji waliokata tamaa wacheza ilimradi tu wamalize dk 90 lakini pia chelsea haina mfumo wa uchezaji ndio maana unakuta ubora hauonekani kwa wachezaji
 
Wachezaji wa kawaida wapo kibao kama:-

1. Miss epl
2. Waruwaru
3. Mpira vurugu
4. Paparazi
5. Kwashakoo
6. Mtumishi hewa
7. Ndege John

Labda useme kwamba timu ikiwa na mfumo bora, wale wachezaji bora watawabeba hawa wa kawaida nao waonekane bora, hence timu bora.
Wewe umetaja wachezaji wachache wazuri ni wengi tunazungumzia kwa ujumla Mudryk, Madueke, Bachishile dafro Fofana, Jao felix, Enzo, Kante, Kovacic,Mendy,Fofana,Silva, James,Mount, Chillwel wote hawa ni wachezaji wazuri
 
Wewe umetaja wachezaji wachache wazuri ni wengi tunazungumzia kwa ujumla Mudryk, Madueke, Bachishile dafro Fofana, Jao felix, Enzo, Kante, Kovacic,Mendy,Fofana,Silva, James,Mount, Chillwel wote hawa ni wachezaji wazuri
NAunga mkono, tuna wachezaji wazuri sana. Tukipata kocha anaejua tutasumbua sana.
Kwa wachezaji tuliokua nao, hakuna mchezaji wa kondoo anaeweza kupata namba kwenye kikosi cha chelsea.
 
Wachezaji wazuri ila waliosajiliwa hivi karibuni sio wa utamaduni wetu, sio type yetu, sio style yetu.

Ni wazuri ila sio wazuri kwenye utamaduni/style yetu ya kutupa mafanikio.

Wachezaji waliotupa mafanikio huko nyuma hawakuwa style ya kina:-

Kai, Mudyk, Madueke, Pulisic, Badieshile, Cucurela, Enzo.

Turudi kwenye utamaduni wetu wa kusajili wachezaji wanaume wa kazi, vipaji kazi sio vipaji bleach, tatooes, kudeka.

Vipaji vyenye uchu wa mafanikio, uchu wa upambanaji na kujituma sio vipaji vya bora liende, bora tulipwe mshahara, vipaji mzigo.


Mtasema mpira wa siku hizi umebadila blah blah, ila nawaambia kamwe Chelsea haitabadilika kwenye uchezaji wake, utamaduni wake, sajili za wachezaji wa aina yake, jinsi ya kubeba makombe yake
Hao unaosema wakiume wapo sokoni?
 
Sawa, ngoja tuone uzuri wao chini ya Pochetino.
Kwani Tuchel alipoikuta timu sio ilikuwa na wachezaji wa kawaida tu, mbona aliwainua kiwango na akabeba UCL mbele ya Man City iliyokuwa onfire 2021?

Mimi nadiriki kusema japo tuna baadhi ya wachezaji matakataka ila sehemu kubwa ya ubovu wa Chelsea ni nje ya wachezaji

Uongozi wa Boehly na Kocha mbovu anayeletwa na Boehly
Kuna kitu kibaya Boehly kawakatisha tamaa wachezaji
Wachezaji wanaona hawana future Chelsea kwa sababu hakutakuwa na kuboresha mikataba kama wakati wa Abramovich. Case study ni mkataba wa Mason Mount
Kuna fununu pia zilisikika kuwa wachezaji wenye mishaha mikubwa wataondolewa
Kitu wachezaji wanachoona kuwa kuwa huu utawala mpya hawako tayari kuwaboreshea wachezaji mikataba yao so kwa nini wachezaji wajitoe mhanga wakati matajiri wenyewe hawako tayari kufanya hivyo?
Tendo la Bopehly kwenda dressing room kuwafokea na kuwanyanyapaa wachezaji kinawaumiza wachezaji wapya akiwemo Mudryk na Enzo na wengineo.
Pia kuna wachezaji wengi wameanza kulalamika kuwa waliingizwa chocho na boehly kuwasainisha mikataba ya muda mrefu na huku hawapewi muda wa kucheza
Hizi ni tetesi tu, ukweli utajulikana muda unavyokwenda
So ukiona wachezaji wamejikatia tamaa ni kwa sababu wanaona hawana future nzuri Chelsea
 
Wachezaji wazuri ila waliosajiliwa hivi karibuni sio wa utamaduni wetu, sio type yetu, sio style yetu.

Ni wazuri ila sio wazuri kwenye utamaduni/style yetu ya kutupa mafanikio.

Wachezaji waliotupa mafanikio huko nyuma hawakuwa style ya kina:-

Kai, Mudyk, Madueke, Pulisic, Badieshile, Cucurela, Enzo.

Turudi kwenye utamaduni wetu wa kusajili wachezaji wanaume wa kazi, vipaji kazi sio vipaji bleach, tatooes, kudeka.

Vipaji vyenye uchu wa mafanikio, uchu wa upambanaji na kujituma sio vipaji vya bora liende, bora tulipwe mshahara, vipaji mzigo.


Mtasema mpira wa siku hizi umebadila blah blah, ila nawaambia kamwe Chelsea haitabadilika kwenye uchezaji wake, utamaduni wake, sajili za wachezaji wa aina yake, jinsi ya kubeba makombe yake
Zama zinabadilika, ni ngumu sasa kupata wachezaj aina yakina drogba,terry,ballack,

We angalia hata team zingine zikoje
 
Zama zinabadilika, ni ngumu sasa kupata wachezaj aina yakina drogba,terry,ballack,

We angalia hata team zingine zikoje
Wachezaji wazuri wapo kibao ila scouting dept. Ya chelsea ni mbovu hawawezi kuvumbua mchezaji mpk wasikie anatakiwa na timu nyingine kubwa kitendo kinachopelekea overpricing...

Tunauziwa wachezaji kwa bei kubwa kuliko uhalisia wao!! Ona brighton wanavyosaka wachezaji wazuri kutoka kila pembe ya dunia na wakinunuliwa huwa wana deliver kweli.
 
Zamani chelsea ilikuwa ikinunua wachezaji ambao walikuwa wanataka kupambana kweli ili wawe ma star wakubwa na kweli walikuwa wakiletwa wanapambana ila sasa hivi wanaletwa wachezaji ambao washatengeneza majina makubwa na wameshacheza timu kubwa hivyo wanakuja chelsea kufata pesa tu na sio kuipambania klabu.

Miaka ya tisini na mwanzoni mwa miaka ya 2000 chelsea ilikuwa ikileta kina Zola, tore andre-flo, marcel dessaily, babayaro, andy townsend, denis wise, jimmy floyd hasselbaink, mario melchiot, jasper kronkjaer n.k wachezaji hao walikuwa ni wapambanaji kweli, timu ikifungwa mtu analia.....sio sasa hv mtu anajua tu mpunga wake ushasoma na hana habari na timu.
 
Kwani Tuchel alipoikuta timu sio ilikuwa na wachezaji wa kawaida tu, mbona aliwainua kiwango na akabeba UCL mbele ya Man City iliyokuwa onfire 2021?

Mimi nadiriki kusema japo tuna baadhi ya wachezaji matakataka ila sehemu kubwa ya ubovu wa Chelsea ni nje ya wachezaji

Uongozi wa Boehly na Kocha mbovu anayeletwa na Boehly
Kuna kitu kibaya Boehly kawakatisha tamaa wachezaji
Wachezaji wanaona hawana future Chelsea kwa sababu hakutakuwa na kuboresha mikataba kama wakati wa Abramovich. Case study ni mkataba wa Mason Mount
Kuna fununu pia zilisikika kuwa wachezaji wenye mishaha mikubwa wataondolewa
Kitu wachezaji wanachoona kuwa kuwa huu utawala mpya hawako tayari kuwaboreshea wachezaji mikataba yao so kwa nini wachezaji wajitoe mhanga wakati matajiri wenyewe hawako tayari kufanya hivyo?
Tendo la Bopehly kwenda dressing room kuwafokea na kuwanyanyapaa wachezaji kinawaumiza wachezaji wapya akiwemo Mudryk na Enzo na wengineo.
Pia kuna wachezaji wengi wameanza kulalamika kuwa waliingizwa chocho na boehly kuwasainisha mikataba ya muda mrefu na huku hawapewi muda wa kucheza
Hizi ni tetesi tu, ukweli utajulikana muda unavyokwenda
So ukiona wachezaji wamejikatia tamaa ni kwa sababu wanaona hawana future nzuri Chelsea
Mkuu utaboresha vipi mishahara ya watu kama kina mudryk?? Yaani mchezaji anashijdwa hata kutuliza mpira ,kutoa pasi au kupiga shuti ili hali kasajiliwa karibu euro milioni 100.

Mchezaji kama mount unamlipaje £250k au £300k per week....ana nini cha ajabu anaisaidia chelsea. Akitoka chelsea hakuna klabu kubwa itakayomtaka na kumlipa pesa kama anazolipwa chelsea.

Boss ana haki ya kulalamikia pesa zake , ametoa zaidi ya trilioni moja ya kibongo kusajili wachezaji ambao hawajitumi na hawana uchungu na timu. Kufoka na kugomba ni halali yakr
 
Chelsea 2012/13 season:
  1. Juan Mata: 18 goals 34 assists
  2. Eden Hazard: 13 goals 23 assists
  3. Oscar: 12 goals 12 assists
Fux1-z3WcAEjf2A
Hii trio ilikuwa balaa...ni chelsea ambayo hata tulipokuwa tukifungwa bao mbili nlikuwa sina wasiwasi nilijua magoli yanarudi...nliumia sana tulivyomuacha mata na oscar
 
Ningekuwa Lampard kwa jinsi anavyovurunda na anajua kwamba mwisho msimu anaachia timu

Basi kwa mechi zilizobaki ningepanga kikosi kuwafurahisha mashabiki.

----- Fofana -----

Mudyk - Jao - Madueke

---- Enzo --- Kante ---

Chel - Badi - Silva - Fofana

Sub:- Auba, Mtumishi hewa, waruwaru, mpira vurugu, miss epl, Kova, chuku
Chelsea inatakiwa irudi kwenye utamaduni wa kutumia stikers wawili. Mabeki wa timu pinzani wana relax sana wakiwa wanamkaba striker mmoja ....fikiria msimu wa mwaka 2009/2010...chelsea inaanza na drogba na anelka pale mbele. Mabeki walikuwa hawajui wamkabe nani
 
Mkuu utaboresha vipi mishahara ya watu kama kina mudryk?? Yaani mchezaji anashijdwa hata kutuliza mpira ,kutoa pasi au kupiga shuti ili hali kasajiliwa karibu euro milioni 100.

Mchezaji kama mount unamlipaje £250k au £300k per week....ana nini cha ajabu anaisaidia chelsea. Akitoka chelsea hakuna klabu kubwa itakayomtaka na kumlipa pesa kama anazolipwa chelsea.

Boss ana haki ya kulalamikia pesa zake , ametoa zaidi ya trilioni moja ya kibongo kusajili wachezaji ambao hawajitumi na hawana uchungu na timu. Kufoka na kugomba ni halali yakr
Naomba uelewe maana ya future. Usinitafsiri direct. Tumchukulie Mudryk kwa niaba ya wengine. Hata acheze vizuri baada ya mpria wake kukua may be 5 years to come anahisi hataboreshewa mkataba wake kwa sababu ya kauli zinazotolewa na Boehly huku aliwafungishia mkataba wa miaka mingi. Wanaona career yao imewekwa kifungo cha muda mrefu. Hiyo ndio maana ya andiko langu. Wewe ukaja ukafanya direct transalation bila kujali details za kwenye andiko.
Kuhusu Mount suala siyo 250k suala ni kukubali kuboresha mkataba. Naamini angekuwa ni Abramovich suala la mkataba wa Mount lingeshamalizwa. Penda usipende Mount ni mchezaji mzuri na anastahili 209k+ kwenye mkataba wake kwa sasa
Yes anayo haki ya kulalamika kwa kuzika trilioni bila akili na akiendelea kulalamika ataua timu kabisa.
Huo ubilionea nadhani kapata kwa wizi kwa sababu hajui mbinu za uongozi wala business
 
Kwani Tuchel alipoikuta timu sio ilikuwa na wachezaji wa kawaida tu, mbona aliwainua kiwango na akabeba UCL mbele ya Man City iliyokuwa onfire 2021?

Mimi nadiriki kusema japo tuna baadhi ya wachezaji matakataka ila sehemu kubwa ya ubovu wa Chelsea ni nje ya wachezaji

Uongozi wa Boehly na Kocha mbovu anayeletwa na Boehly
Kuna kitu kibaya Boehly kawakatisha tamaa wachezaji
Wachezaji wanaona hawana future Chelsea kwa sababu hakutakuwa na kuboresha mikataba kama wakati wa Abramovich. Case study ni mkataba wa Mason Mount
Kuna fununu pia zilisikika kuwa wachezaji wenye mishaha mikubwa wataondolewa
Kitu wachezaji wanachoona kuwa kuwa huu utawala mpya hawako tayari kuwaboreshea wachezaji mikataba yao so kwa nini wachezaji wajitoe mhanga wakati matajiri wenyewe hawako tayari kufanya hivyo?
Tendo la Bopehly kwenda dressing room kuwafokea na kuwanyanyapaa wachezaji kinawaumiza wachezaji wapya akiwemo Mudryk na Enzo na wengineo.
Pia kuna wachezaji wengi wameanza kulalamika kuwa waliingizwa chocho na boehly kuwasainisha mikataba ya muda mrefu na huku hawapewi muda wa kucheza
Hizi ni tetesi tu, ukweli utajulikana muda unavyokwenda
So ukiona wachezaji wamejikatia tamaa ni kwa sababu wanaona hawana future nzuri Chelsea
Magumu wanayopitia Liverkuku, Arsepimbi na Mwantesa Utd ndiyo nasi Wana Chelsea tutayapitia tutake au tusitake.

Mimarekani haiko kimpira kwa starehe bali wapo kimasilahi tu tofauti na Waarabu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom