Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Roman empire haikujengwa kwa siku moja lakini matokeo mema yalianza kuonekana day one
Boehly Empire nayo haitajengwa kwa siku moja ila matokeo mabaya ya day one ni dalili kuwa mwisho wake sio mzuri
 
Hizo timu 5 za mwisho hazina uwezo wa kubeba point 10 kwenye mechi 6 zilizobakia
Chelsea msimu umeisha tugange yajayo
Hofu na zimwi lililoko mbele yetu sasa ni wachezaji
Hata aje kocha mzuri hatapewa hafanye kazi na Boehly

1682192662902.png
 
Mat Law ndie anayefuatilia kwa karibu sakata la kocha mpya Chelsea
Anasema Julian hakuwahi kuwa favourite kwa hiyo kazi ya ukocha pamoja na vyombo vingi kumtaja kuwa ndie yeye anapewa chapuo
Anasema Mauricio Potechino ndie mambo yanamuelekea na anaweza kuwa kocha mpya wa chelsea
1682193584466.png

1682193660436.png
 
Ben Jacobs anasema Mauricio Potechino amewavutia bodi ya Chelsea na anaweza kuchaguliwa kuwa the next Chelsea Head Coach

1682194271870.png
 
Chelsea wana mpango wa kuwauza wachezaji hawa bei nzuri ikipatikana
  1. Kepa,
  2. Mendy,
  3. Azpilicueta,
  4. Koulibally
  5. Maatsen,
  6. Kovacic,
  7. Ampadu,
  8. Gallagher,
  9. Cheek,
  10. Mount,
  11. Havertz,
  12. CHO,
  13. Sterling,
  14. Pulisic,
  15. Ziyech,
  16. Broja na
  17. Aubameyang
Wanaamini pia Cucurella atakuja kuwa mchezaji mzuri ila maoni ya kocha mpya itabadili upepo
 
Boehly ana mkosi, aache kwenda kutazama mpira timu inapocheza, Jana walienda kuitazama Chelsea wakicheza na Barcelona nyumbani darajani na Chelsea ikafungwa 1-0. Sasa Chelsea wanayo kazi ya kuifunga Barcelona Nyumbani kwao Cam nou
 
Chelsea wana mpango wa kuwauza wachezaji hawa bei nzuri ikipatikana
  1. Kepa,
  2. Mendy,
  3. Azpilicueta,
  4. Koulibally
  5. Maatsen,
  6. Kovacic,
  7. Ampadu,
  8. Gallagher,
  9. Cheek,
  10. Mount,
  11. Havertz,
  12. CHO,
  13. Sterling,
  14. Pulisic,
  15. Ziyech,
  16. Broja na
  17. Aubameyang
Wanaamini pia Cucurella atakuja kuwa mchezaji mzuri ila maoni ya kocha mpya itabadili upepo
Kovacic Tena? Kuna ukweli kwenye Hili?
 
Kova kachuja huyu sie yule wa misimu iliyopita miwili/mitatu
Hata kwa Kante ulisema hivi hivi so sikushangai Kovacic ni mchezaji mwenye experience yakutosha so kudrop kiwango ni normal issue huwezi ukawa Bora muda wote na ukizingatia pia team yetu overall haipo stable haina define structure ya uchezaji ila ni suala la muda tu atarudi kwenye ubora wake
 
Hata kwa Kante ulisema hivi hivi so sikushangai Kovacic ni mchezaji mwenye experience yakutosha so kudrop kiwango ni normal issue huwezi ukawa Bora muda wote na ukizingatia pia team yetu overall haipo stable haina define structure ya uchezaji ila ni suala la muda tu atarudi kwenye ubora wake
Huyu jamaa ni mduanzi, hajua kitu kuhusu mpira. anachojua ni kucopy na kupaste.
 
Hata kwa Kante ulisema hivi hivi so sikushangai Kovacic ni mchezaji mwenye experience yakutosha so kudrop kiwango ni normal issue huwezi ukawa Bora muda wote na ukizingatia pia team yetu overall haipo stable haina define structure ya uchezaji ila ni suala la muda tu atarudi kwenye ubora wake
Hiyo nimesema tu ila sababu kubwa ni
  1. Nia ya wamiliki kuweka damu mpya lakini pia
  2. Issue ya mkataba kama ilivyo kwa Mount na tajiri kasheonyesha waziwazi hapendi kulipa wachezaji mishahara mikubwa
 
Kule Munich Tuchel hafanyi vizuri
  1. Bayern imetolewa UEFA
  2. Leo kakung'utwa 3-1 na Mainz
  3. Kwenye Table wamerudi namba 2 kama alivyoacha Julian
  4. Wachezaji wanacheza individually tofauti na wakati wa Julian
  5. Bodi sasa wanatafutana mchawi
Tuchel anaweza asiendelee msimu ujao kuifundisha Bayern Munich kwa sababu kwa sasa tension ni kubwa dressing room kuliko wakati wa Julian
Anaelaumiwa bayern now ni Oliver Kahn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom