Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

EPL title contenders ni Arsenal na Mancity ila Top 4 contenders hakuna
Timtable mimi naona itabaki hivyo hivyo hadi mwisho, kitakachobadilika ni nani awe wa kwanza kati ya Arsenal na city na nani awe wa tatu kati ya Man U na Newcastle, end of EPL top 4 kwa mwaka huu
 
Moussa Dembele anaondoka Lyon msimu huu wa kiangazi kama free agent
Ana miaka 26 tu
Kuna wakati alikuwa kwenye radar za Chelsea sijui kama hiyo imebadilika
 
Chelsea wana mpango wa kuwauza wachezaji hawa bei nzuri ikipatikana
  1. Kepa,
  2. Mendy,
  3. Azpilicueta,
  4. Koulibally
  5. Maatsen,
  6. Kovacic,
  7. Ampadu,
  8. Gallagher,
  9. Cheek,
  10. Mount,
  11. Havertz,
  12. CHO,
  13. Sterling,
  14. Pulisic,
  15. Ziyech,
  16. Broja na
  17. Aubameyang
Wanaamini pia Cucurella atakuja kuwa mchezaji mzuri ila maoni ya kocha mpya itabadili upepo
Chelsea wana mpango wa kuwauza wachezaji hawa bei nzuri ikipatikana
  1. Kepa,
  2. Mendy,
  3. Azpilicueta,
  4. Koulibally
  5. Maatsen,
  6. Kovacic,
  7. Ampadu,
  8. Gallagher,
  9. Cheek,
  10. Mount,
  11. Havertz,
  12. CHO,
  13. Sterling,
  14. Pulisic,
  15. Ziyech,
  16. Broja na
  17. Aubameyang
Wanaamini pia Cucurella atakuja kuwa mchezaji mzuri ila maoni ya kocha mpya itabadili upepo
Ila Chelsea ina takataka nyingi aisee , hebu angalia hiyo list
 
IMG_7771.jpg


Asikwambie mtu.
 
Potechinno anataka Mount abaki na anamuona kama mchezaji wa dhamani sana
Boehly ametoka kuongea naye ijumaa iliyopita na kumuambia anatamani yeye Mount abaki Chelsea
FudteKIXgAEATU8
 
Tujikumbushe UEFA Semi final ya 2012 baina ya Chelsea na Barcelona 2nd leg kule Campnou
Ashley cole akiwa kwenye line ya mwsho kabisa ya mabeki wa Chelsea alipata mpira uliokuwa unazurura na kumpasia Torres kwa haraka na yeye bila ajizi akamhadaa kipa wa Barcelona na kufunga kilaini katika dk ya 90+1
Wakati tunacheza nao kwao tukiwa pungufu baada ya Terry kutolewa dk ya 37 kwa red card
Spirit ya timu ilikuwa juu sana, na hiyo spirit siku hizi imepotea sijui nani kailoga Chelsea yetu
1682325965039.png


PN-erq0jrWtV8DgjdfmkO8ChoqVc4DuIuHCuGuFsYVs.png

5XUHIWE6EZNZTCT3UKXE6LMRK4.jpg
 
Todd - Mwenyekiti wa Timu

Toddy - Mkurugenzi wa uendeshaji

Toddy - Mkurugenzi wa Bodi

Toddy - Mkurugenzi wa Scouting

Toddy - Mkurugenzi wa usajili

Toddy - Dalali wa soko la usajili

Toddy - Kocha wa dressing room

Toddy - Mkurugenzi wa fedha

Toddy - Mchambuzi wa mpira

Toddy - Mkosi ndani ya Chelsea
Ni timu yake lakini jamani na yeye ndio mwenye uchungu nayo
 
Sijawahi kumkubali Tuchel
Kule Munich Tuchel hafanyi vizuri
  1. Bayern imetolewa UEFA
  2. Leo kakung'utwa 3-1 na Mainz
  3. Kwenye Table wamerudi namba 2 kama alivyoacha Julian
  4. Wachezaji wanacheza individually tofauti na wakati wa Julian
  5. Bodi sasa wanatafutana mchawi
Tuchel anaweza asiendelee msimu ujao kuifundisha Bayern Munich kwa sababu kwa sasa tension ni kubwa dressing room kuliko wakati wa Julian
 
Tujikumbushe UEFA Semi final ya 2012 baina ya Chelsea na Barcelona 2nd leg kule Campnou
Ashley cole akiwa kwenye line ya mwsho kabisa ya mabeki wa Chelsea alipata mpira uliokuwa unazurura na kumpasia Torres kwa haraka na yeye bila ajizi akamhadaa kipa wa Barcelona na kufunga kilaini katika dk ya 90+1
Wakati tunacheza nao kwao tukiwa nusu baada ya Terry kutolewa dk ya 37 kwa red card
Spirit ya timu ilikuwa juu sana, na hiyo spirit siku hizi imepotea sijui nani kailoga Chelsea yetu
View attachment 2597959

PN-erq0jrWtV8DgjdfmkO8ChoqVc4DuIuHCuGuFsYVs.png

5XUHIWE6EZNZTCT3UKXE6LMRK4.jpg
Hatukuwa nusu sema tulikuwa pungufu kwa mchezaji mmoja. Wachezaji 11 akitolewa mmoja hao 10 waliobaki siyo nusu.. Barikiwa sana
 
Pochettino sasa yuko ndani ya 18 kuwa kocha wa Chelsea, bado refa boehly kupuliza tu kipenga ili awe kocha kamili
Taarifa zinadai kuwa approach ya kwanza aliyofanya Boehly mwaka jana Pochetino aliikataa kwa sababu haikumpa udhibiti kocha, hii ya sasa naona kocha atakuwa na udhibiti wa timu zaidi
1682418703162.png
 
Poch atakuwa na mafanikio darajani kwa sababu ana wachezaji wazuri na klabu haina tabia ya kuuza wachezaj wake hovyo kama Tottenham...
Akihitaj mchezaji anapewa.
PSG ile team ina shda kidogo mastar ndio wanaomuongoza coach ndo maana hakufanikiwa nikifikiria alivyowatengeneza kina Walker, Barley, Delle Ali na Kane nahisi atafanikiwa
 
Poch atakuwa na mafanikio darajani kwa sababu ana wachezaji wazuri na klabu haina tabia ya kuuza wachezaj wake hovyo kama Tottenham...
Akihitaj mchezaji anapewa.
PSG ile team ina shda kidogo mastar ndio wanaomuongoza coach ndo maana hakufanikiwa nikifikiria alivyowatengeneza kina Walker, Barley, Delle Ali na Kane nahisi atafanikiwa
Unachosema ni kweli, PSG is a bad experience kwa kocha yeyote, wananunua wachezaji holela
Ila cha kushangaza, hata sisi Chelsea tunaelekea kufuata nyayo za PSG, kila kocha akija hapa hataweza kumudu hii hali ya kununua wachezaji holela
Cha pili, sidhani kama Todd Boehly ataacha tabia ya kuingilia majukumu ya kocha na wengineo
Wasiwasi wangu mkubwa kwa sasa Chelsea ni style ya uongozi aliyo nayo Boehly hadi dressing room anaingilia anavyotaka
Anguko la makocha wengi liko hapo
 
Unachosema ni kweli, PSG is a bad experience kwa kocha yeyote, wananunua wachezaji holela
Ila cha kushangaza, hata sisi Chelsea tunaelekea kufuata nyayo za PSG, kila kocha akija hapa hataweza kumudu hii hali ya kununua wachezaji holela
Cha pili, sidhani kama Todd Boehly ataacha tabia ya kuingilia majukumu ya kocha na wengineo
Wasiwasi wangu mkubwa kwa sasa Chelsea ni style ya uongozi aliyo nayo Boehly hadi dressing room anaingilia anavyotaka
Anguko la makocha wengi liko hapo
We nani kakwambia kaingilia dressing room? Kwa hiyo matokeo mabaya yanayoikumba chelsea ni kwa kuwa Boehly kaingilia dressing room?
 
We nani kakwambia kaingilia dressing room? Kwa hiyo matokeo mabaya yanayoikumba chelsea ni kwa kuwa Boehly kaingilia dressing room?
Nasikitika kama hutaona Mmiliki au tuite bosi wa bodi akiingilia kufanya kazi aliyotakiwa kufanya Kocha. Dressing room is a sacred place for players and their coach. wazungumze mambo yao, wakemeane, waonyane, wapongezane. Kama kuna bosi anataka kwenda huko anaomba na anakwenda kwa ajili ya kwenda kupongeza tu tena mara chache
Kama Dressing room atakuwa akienda mtu yeyote kwa muda wowote atakayo kwenda kuwakemea na kuwaondoa kwenye mood wachezaji na Kocha mwenyewe ndipo Chelsea yetu pendwa itakuwa kwishinei kabisa
Hii ni kutoka kwenye leadership ethics and protocols
Buy it or leave it
 
Wachezaji wa Chelsea nao wafuate hatua waliochukua wenzao wa Tottenham Hot Spurs ya kuwarudishia gharama za tickets mashabiki kwa mchezo mchafu waliouonyesha dhidi ya New castle.

Fuj9j6qWcAIMtU3
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom