Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hata Pep wakati anapewa City mlisema hivyo lakini now katawala Epl
Pia Pep katawala kutumia mahela mengi sana kuliko makocha wote waliofundisha soka EPL, mlete Pep na Klopp nitamchukua Klopp nitamuacha Pep maana kajifichia kwenye kichaka cha mahela mengi
 
.
Screenshot_20230405_141308_Twitter.jpg
 
Pia Pep katawala kutumia mahela mengi sana kuliko makocha wote waliofundisha soka EPL, mlete Pep na Klopp nitamchukua Klopp nitamuacha Pep maana kajifichia kwenye kichaka cha mahela mengi
Kmuulize Eric ten hag kama pesa inasaidia kama kocha huna uwezo ....


Hakuna timu yenye pesa kama chelsea ,potter kapewa kila aina ya mchezaji anayetaka lakin Kiko wapi ..

Sajili za pep ni average player kabisa ...

Akanji
Ake
Stone
Dias
Phillips
Laporte
.
.
Hao wote ni average player ambao hata wachezaji wa chelsea wanawazidi ,Tena wanasugua bench ,ake kawatransformed na pep.....

mfumo wa pep ndio unawabeba ....

PESA KAMA KOCHA NI KILAZA KAMA POTTER HAZISAIDII KITU .....

Chelsea imetumia mpaka Sasa mabillion ya pesa lakin hawana hata mfumo kuwachezesha ,wanakundi kubwa la wachezaji kiasi kwamba kocha hana mfumo na mbinu za kuwatumia......

Sasa hapo utasema nin ...
 
Kmuulize Eric ten hag kama pesa inasaidia kama kocha huna uwezo ....


Hakuna timu yenye pesa kama chelsea ,potter kapewa kila aina ya mchezaji anayetaka lakin Kiko wapi ..

Sajili za pep ni average player kabisa ...

Akanji
Ake
Stone
Dias
Phillips
Laporte
.
.
Hao wote ni average player ambao hata wachezaji wa chelsea wanawazidi ,Tena wanasugua bench ,ake kawatransformed na pep.....

mfumo wa pep ndio unawabeba ....

PESA KAMA KOCHA NI KILAZA KAMA POTTER HAZISAIDII KITU .....

Chelsea imetumia mpaka Sasa mabillion ya pesa lakin hawana hata mfumo kuwachezesha ,wanakundi kubwa la wachezaji kiasi kwamba kocha hana mfumo na mbinu za kuwatumia......

Sasa hapo utasema nin ...
Hadi sasa nimeshinda 3-0 maana si kwa povu hili.

Hujaangalia mikataba ambayo Chelsea imesainisha Wachezaji wapya ilivyo mirefu au unadhani financial fair play regulations zinamilikiwa na Chelsea FC?

Kwanini Man City walishawahi kuchunguzwa na FIFA?

Kwanini sasa hivi FA inachunguza tuhuma za makosa 100 ya Man City?

Pep bila mahela = Hakuna Kocha.
 
Hadi sasa nimeshinda 3-0 maana si kwa povu hili.

Hujaangalia mikataba ambayo Chelsea imesainisha Wachezaji wapya ilivyo mirefu au unadhani financial fair play regulations zinamilikiwa na Chelsea FC?

Kwanini Man City walishawahi kuchunguzwa na FIFA?

Kwanini sasa hivi FA inachunguza tuhuma za makosa 100 ya Man City?

Pep bila mahela = Hakuna Kocha.
Kubishana na wewe ni matumizi mabaya ya akili ...
 
Kumiliki mpira ndio aina ya sasa ya soka mpira wa ujanja siku hizi hauna nafasi kabisa
Chelsea ya Lampard, Potter zilikuwa zinamiliki mpira hadi 80% lakini ukimiiki mpira unatakiwa kujua uufanyie nini, hasa kuweza kuuchukua huo mpira na kuutumbukiza kimiani.

Mimi sio mshabiki sasa wa kumiliki mpira kwa sababu timu nyingi zinazomiliki mp[ira sana zina soka la kuboa labda iwe kwenye kumiliki mpira unafunga magoli, hapo sawa
 
Huyu jama mpira wake ni mzuri japo hajawahi kufundisha timu za epl. Ndo chagamoto kubwa hiyo.
Kwan Guardiola wakata anaenda city kwani alikuwa ashawah fundisha team ya EPL, o Klopp?
Au wakat Ancellot,Mourinho,Tuchel wakat wanakuja kuifundisha Chelsea walikuwa washawah fundisha team nyingine ya EPL?
 
Chelsea ya Lampard, Potter zilikuwa zinamiliki mpira hadi 80% lakini ukimiiki mpira unatakiwa kujua uufanyie nini, hasa kuweza kuuchukua huo mpira na kuutumbukiza kimiani.

Mimi sio mshabiki sasa wa kumiliki mpira kwa sababu timu nyingi zinazomiliki mp[ira sana zina soka la kuboa labda iwe kwenye kumiliki mpira unafunga magoli, hapo sawa
Mpira kama wa Arteta ,pasi nyingi+ kasi + ukatili kwenye kufunga + ubunifu wa kumfungua opponent kwenye defence yake na kumlazimisha kufanya mistake ,mi ndio aina ya mpira ninaotaka ,unashangaa Chelsea siku hizi hata mashoot hatupigi ,sasa aina gani ya timu hii . ?
Zamani tulikuwa na complete package , wachezaji wenye nguvu ,kasi ,ubunifu na ukatili kwenye kumalizia nafasi za kufunga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom