Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yote Tisa ,kumi chelsea iko na average player bana

Fofana
Cucumber
Mudryk
Madueke ...

Hawa huwezi nambia ni world class player wenye skills ..

Pale kati namuona kante na kovacic ndio wanyumbulifu ,wengine ni sakata twende ....

Nafasi zote alizokuwa anakosa Kai na Felix ni kaz ya kante ....
Hapa unazingua kiuchambuzi hao wote uliyotaja ni wachezaji wazuri ukimuondoa Cucurella sema wamekosa kocha mzuri wakuwachezesha system sahihi
 
Huyu Bruno ni Potter mtupu na wasiwasi ndiye aliyekuwa anampangia kikosi
Kulikua hamna maana kumfukuza potter na kubak na huyu mpuuz mwenzake. mana kila anachofanya ni kile kile cha potter.
Huyu ni potter mwenye upara
 
Kuna shabiki moja hapa alidhihaki Kante kwasbb ya kuumia na kusema Chelsea sio sehemu yawagonjwa aondoke tu. Lakini walio tizama mpira jana ni mashahidi kante ni zaidi ya mchezaji wa kawaida.

Anazidi hata wale walio nunuliwa million 130, ana nguvu ya work rate kuliko wale wenye miaka 23, 22, anazunguka uwanja wote ni attacking middle fielder mzuri pass zote hatari katoa yeye mpaka kocha akaona amtowe ili amlinde mpaka mechi ya Madrid.

Gharagha hafai kucheza katika kikosi cha kwaza yule hana skill yoyote na mwenzia Loftus cheek hao ni mzigo, Chelsea ikipata tactical kocha itatisha sanaa Liverpool angapigwa zaid ya tano ila mpagilio wa kocha ulikua wa hovyo.
 
Tusiyempenda kaja darajani daaah
Screenshot_2023-04-05-11-38-53-02_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
 
Huyu jama mpira wake ni mzuri japo hajawahi kufundisha timu za epl. Ndo chagamoto kubwa hiyo.
Sidhani kama tutakuwa washindani maana filosofi zake ni sawa na za Marcelo Biesla, tutegemee kufungwa kijinga sana kwa timu zisizoremba kwenye kaunta ataki kama Everton, Brighton, Liverpool, nk...
 
Sidhani kama tutakuwa washindani maana filosofi zake ni sawa na za Marcelo Biesla, tutegemee kufungwa kijinga sana kwa timu zisizoremba kwenye kaunta ataki kama Everton, Brighton, Liverpool, nk...
Ni kweli Epl inahitaji kasi intensity kama bundsliga sio kama la liga inabidi abadalike akipewa mkoba hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom