Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

BREAKING NEWS:
Chelsea wako kwenye mazungumzo ya juu zaidi kumsajili Frank Lampard kushikilia timu hadi msimu uishe. Atakuwa kama Care Taker
Taarifa zinasema Lampard atakuwepo kwenye mechi na Wolve jumamosi ijayo
Habari hizi ni za kweli
 
Tuna imani na Todd

Welcome home Super Frankie
20230119_125346.jpg
 
Karibu Frank, sisi Chelsea hatuna shaka na uwezo wako.

Kaza tushiriki Europa Conference msimu ijao ili mabosi wakiongozwa na Todd Boehl wakupe mkataba wa moja kwa moja wa miaka 8.

Hakuna cha Nagelsman wala Enrique, Anko Frank unatoshaa! Mitano tena babaaa!😁
 
Karibu Frank, sisi Chelsea hatuna shaka na uwezo wako.

Kaza tushiriki Europa Conference msimu ijao ili mabosi wakiongozwa na Todd Boehl wakupe mkataba wa moja kwa moja wa miaka 8.

Hakuna cha Nagelsman wala Enrique, Anko Frank unatoshaa! Mitano tena babaaa!
Interim
 
Acha tumalize msim kinyonge na Super Frank.

Huku mchakato wa kupata kocha mwingine tukiufanya kwa makini na bilq kukurupuka. Ni vizuri kuanza na msim mpya tukiwa na kocha mpya ambae atakuwa na mda wa kuandaa mbinu zake wakat wa pre season na wachezaj kuelewa nini anataka.
 
Kuna shabiki moja hapa alidhihaki Kante kwasbb ya kuumia na kusema Chelsea sio sehemu yawagonjwa aondoke tu. Lakini walio tizama mpira jana ni mashahidi kante ni zaidi ya mchezaji wa kawaida.

Anazidi hata wale walio nunuliwa million 130, ana nguvu ya work rate kuliko wale wenye miaka 23, 22, anazunguka uwanja wote ni attacking middle fielder mzuri pass zote hatari katoa yeye mpaka kocha akaona amtowe ili amlinde mpaka mechi ya Madrid.

Gharagha hafai kucheza katika kikosi cha kwaza yule hana skill yoyote na mwenzia Loftus cheek hao ni mzigo, Chelsea ikipata tactical kocha itatisha sanaa Liverpool angapigwa zaid ya tano ila mpagilio wa kocha ulikua wa hovyo.
lembu ujumbe wako Huu njoo uone
 
Kmuulize Eric ten hag kama pesa inasaidia kama kocha huna uwezo ....


Hakuna timu yenye pesa kama chelsea ,potter kapewa kila aina ya mchezaji anayetaka lakin Kiko wapi ..

Sajili za pep ni average player kabisa ...

Akanji
Ake
Stone
Dias
Phillips
Laporte
.
.
Hao wote ni average player ambao hata wachezaji wa chelsea wanawazidi ,Tena wanasugua bench ,ake kawatransformed na pep.....

mfumo wa pep ndio unawabeba ....

PESA KAMA KOCHA NI KILAZA KAMA POTTER HAZISAIDII KITU .....

Chelsea imetumia mpaka Sasa mabillion ya pesa lakin hawana hata mfumo kuwachezesha ,wanakundi kubwa la wachezaji kiasi kwamba kocha hana mfumo na mbinu za kuwatumia......

Sasa hapo utasema nin ...
Ukweli mtupu
 
Kai Havertz ndio chanzo cha Tuchel na Potter kufukuzwa huyu mpuuzi ni hajui nini anatakiwa kufanya akiwa uwanjani. Ata kocha atakaye kuja akiendelea kumkumbatia yatamkuta ya watangulizi wake.
Sio kwamba Kai ajui nini chakufanya akiwa uwanjani kama unavyosema sema hajui nini chakufanya akiwa kwenye 18 ya mpinzani, jamaa mambo ya msingi anafanya akiwa nje ya box kama kuchezesha team au kutengeneza nafasi ila akifika golini ndio tatizo linaanza kuwepo kwake
 
Hata mimi ninashangaa sana ,kuna mambo yanakera ,yule dogo Datro Fofana hawampi hata nafasi ,ujinga gani huu ?
Uefa champions anacheza dk 90 huku kwenye ligi napo hivyo hivyo mpaka nashangaa sasa akiumia nani atacheza UEFA? Ukizingatia hayupo Fofana wala Auba
 
Kmuulize Eric ten hag kama pesa inasaidia kama kocha huna uwezo ....


Hakuna timu yenye pesa kama chelsea ,potter kapewa kila aina ya mchezaji anayetaka lakin Kiko wapi ..

Sajili za pep ni average player kabisa ...

Akanji
Ake
Stone
Dias
Phillips
Laporte
.
.
Hao wote ni average player ambao hata wachezaji wa chelsea wanawazidi ,Tena wanasugua bench ,ake kawatransformed na pep.....

mfumo wa pep ndio unawabeba ....

PESA KAMA KOCHA NI KILAZA KAMA POTTER HAZISAIDII KITU .....

Chelsea imetumia mpaka Sasa mabillion ya pesa lakin hawana hata mfumo kuwachezesha ,wanakundi kubwa la wachezaji kiasi kwamba kocha hana mfumo na mbinu za kuwatumia......

Sasa hapo utasema nin ...
Leo umeongea point kubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom