Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kaka Lampard nimekuona ukipiga story na Todd Boehl.. najua wewe ni legend na umekuja wakati sahihi, usiruhusu hii timu ikapotea kwa mjerumani aliyetimuliwa.

Chukua tenda hiyo babaa, tunakutegemea.😂

Picha haina uhusiano na ujumbe.
Screenshot_20230403-145948.jpg
 
Yote Tisa ,kumi chelsea iko na average player bana

Fofana
Cucumber
Mudryk
Madueke ...

Hawa huwezi nambia ni world class player wenye skills ..

Pale kati namuona kante na kovacic ndio wanyumbulifu ,wengine ni sakata twende ....

Nafasi zote alizokuwa anakosa Kai na Felix ni kaz ya kante ....
 
Yote Tisa ,kumi chelsea iko na average player bana

Fofana
Cucumber
Mudryk
Madueke ...

Hawa huwezi nambia ni world class player wenye skills ..

Pale kati namuona kante na kovacic ndio wanyumbulifu ,wengine ni sakata twende ....

Nafasi zote alizokuwa anakosa Kai na Felix ni kaz ya kante ....
Hapa umezingua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom