Kwa Maoni yangu kuhusu kocha
Nimeona mijadala ya nani atafaa kuwa kocha wetu wa msimu ujao for me katika makocha tunaohusishwa nao namuona anayetufaa ni Luis Enrique kwanini?
Kwa stage tuliofikia tunahitaji Kocha mwenye profile nzuri ya makombe, na mwenye experience ya kutosha ameshinda treble akiwa Barcelona, amefika final na team ya Taifa ya Hispania kombe la UEFA nation league akiwa na wachezaji wa kawaida sana wakina Moratta ndio striker, robo final ya Euro.Na Enrique ana vitu vyote hivyo kwanza ana experience ya kumage wachezaji wakubwa like Messi neymar jr luiz Suarez n.k
Kocha Mwenye Command na mwenye Win mentality
-Luis Enrique ni kocha mwenye demand kubwa Sana kwenye uchezaji yeye ndio alifanya Neymar, Messi na Luiz Suarez kupress high japo ni mastaa wakubwa sisi tunawachezaji wazuri ambao wanahitajika kupushia
Tactically ya Enrique
-Luis Enrique ni kocha ambaye alibadilisha aina uchezaji wa Barcelona kutoka mpira wa passi nyingi kwenda direct football anapenda usharpness wakushambulia uwe haraka kuwafikia opponent na Ndio maana chini yake Barcelona iliweka record ya kufunga magoal mengi Sana na Ndio kitu kunahitajika kwenye kikosi chetu Cha chelsea tuna changamoto ya kufunga magoal na tupo slow kwenye kumshambulia so mtu kama Luis Enrique ndio atakuwa tiba.
Kuna baadhi wanasema kama Luis ni mzuri kwanini alitoka kwenye hatua ya group stage na Hispania watu wanashindwa kujua Enrique kachukua Team Hispania mbovu Sana ikiwa haina Wachezaji wazuri kama tuliyoizoea yaani imagine Moratta ndio striker tegemezi wao kutoka kuwa na watu kama David Villa, Fernando Torres nk
Wana mtu kama ferran Torres ambaye alikuwa hapati hata number pale Man City lakini kutokana uhaba wa wachezaji wazuri ikijikuta anapata number kwenye Team ya Hispania.Pamoja na Team ya Hispania kuwa na wachezaji wa kawaida chini ya Luis Enrique lakini aliweza kuwapa atleast mafanikio mfano Alifikisha Fainal Hispania kwenye kombe la UEFA nation league, Robo final ya Euro kwa kikosi hicho hicho kibovu
Covax
lembu
Mbaga Jr
Cash Money Forever
Interlacustrine E
juan david
Mkohoti