Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tuko hapa tulipo kwa sababu ya vitu viwili
i)Maamuzi ya Boehly mwanzon mwa msim. Kutaka kufanya mambo mengi kwa mkupuo, niliwah sema hapa why unafukuza kocha huku huna Mkurugenzi wa ufundi or wamichezo. Boehly maamuzi yake ya mwanzon ndionyametuathiri kwa namna moja au nyingine.
Okay sawa ukamfukuza Tuchel badala ya kuhire kocha mwenye uwezo kama wa tuchel o zaidi akaleta kocha wa level za chini huku akiwa hajawah kuprove chochote katika soka la uk.

ii)Uwezo wa potter na mbinu zake, 6 months na hakuna maendeleo yoyote, kufumbia macho ujinga na kutupa press conference utasema team ya mid table, tucheze vibaya yeye hatak kubeba mzigo ni the lads gave everything, kushindwa kuelewa somo la short term plan, hata kama ni meneja wa long term ila inabidi ushinde hizi short term kuprove kam wewe ni right man kwa ile kazi na si excuse za Arteta,Klop,Pep kuwa walipewa mda, je huo mda waliopewa unahisi hawakuonesha kitu ndani ya mda mfupi?
Yote hayo mawili ni makosa ya Boehly
Kocha hatakiwi kuwa kwenye sehemu ya vision, vision ilitakiwa ibaki kwenye bodi. kocha ni employee akija atekeleze kama hataweza wekapembeni halafu ajiri mwingine. Potter katuonyesha hilo kuwa ni kujidanganya kumuweka kocha kuwa sehemu ya vision
 
Yote hayo mawili ni makosa ya Boehly
Kocha hatakiwi kuwa kwenye sehemu ya vision, vision ilitakiwa ibaki kwenye bodi. kocha ni employee akija atekeleze kama hataweza wekapembeni halafu ajiri mwingine. Potter katuonyesha hilo kuwa ni kujidanganya kumuweka kocha kuwa sehemu ya vision
Lakini uliunga mkono hoja ya Tuchelewe kutimuliwa
 
Tuko hapa tulipo kwa sababu ya vitu viwili
i)Maamuzi ya Boehly mwanzon mwa msim. Kutaka kufanya mambo mengi kwa mkupuo, niliwah sema hapa why unafukuza kocha huku huna Mkurugenzi wa ufundi or wamichezo. Boehly maamuzi yake ya mwanzon ndionyametuathiri kwa namna moja au nyingine.
Okay sawa ukamfukuza Tuchel badala ya kuhire kocha mwenye uwezo kama wa tuchel o zaidi akaleta kocha wa level za chini huku akiwa hajawah kuprove chochote katika soka la uk.

ii)Uwezo wa potter na mbinu zake, 6 months na hakuna maendeleo yoyote, kufumbia macho ujinga na kutupa press conference utasema team ya mid table, tucheze vibaya yeye hatak kubeba mzigo ni the lads gave everything, kushindwa kuelewa somo la short term plan, hata kama ni meneja wa long term ila inabidi ushinde hizi short term kuprove kam wewe ni right man kwa ile kazi na si excuse za Arteta,Klop,Pep kuwa walipewa mda, je huo mda waliopewa unahisi hawakuonesha kitu ndani ya mda mfupi?
Alichokifanya makosa mengi nafikiri atakuwa kajifunza sasa
 
Matajiri wamesema wanamheshimu Julian lakini bado mdogo kwa project ya Chelsea
Macho kwa sasa yapo kuwa interview akina
  1. Pochettino - free candidate
  2. Luis Enruque - free candidate
  3. Reuben Amorim wa Sporting Lisbon na
  4. Spelatti wa Napoli
Lengo ni kumpata kocha mwenye sifa hizi
  1. Big club experience
  2. Clear vision
  3. Inspiring communicator
  4. Ability to improve youngsters
  5. Open to ideas
 
Hii Klabu yetu ilishakuwa takataka muda tu. Yani makocha wanafukuzwa ndani ya msimu mmoja.
 
Yani Tumbo lililombeba yule tahaira Potter limelaaniwa na popote atakapoenda huyu kocha hatofanikiwa. Amekuja kuifanya klabu kama sehemu ya majaribio wakati sisi tunataka makombe tu
 
Yani Tumbo lililombeba yule tahaira Potter limelaaniwa na popote atakapoenda huyu kocha hatofanikiwa. Amekuja kuifanya klabu kama sehemu ya majaribio wakati sisi tunataka makombe tu
Ushameza P2 zako huko zinakufanya uione cheltako ni timu kubwa
 
P
Kuna chura anamshangilia Pochettino.

Mwingine anakuambia wanahitaji kocha mwenye big club experience ila anakutajia Amorim.

Dafuq
[/QUOTE
Pochettino hamna ,aisee tunahitaji elite coach wakubeba vikombe ,
Luis Enrique au Hans Flick ikishindikana basi ndio hao akina pochettino wafikiriwe
 
My comment was a dig at yours when you wrote he is the most expensive manager. Hansi left without being sacked, same with Zidane, and Redknapp and Ferguson
Haibadilishi ukweli kwamba managers are hired to be fired
Hii concept hata makocha wenyewe wanajua na ndio maana mikataba inawapa protection kama consolation plus psychological preparedness ya kutosha sio yeye tu bali na familia yake yote
 
My comment was a dig at yours when you wrote he is the most expensive manager. Hansi left without being sacked, same with Zidane, and Redknapp and Ferguson
I think you over under stood my statement. Hakuna point of arguing so mi naishia hapohapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom