Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea wanaweza kuweka pressure kama Arsenal tunavyofanya, quality ipo, the issue wanakosa kocha mzuri wa JDP, kuna key zones zinahitaji kuwa occupied ili kusustain pressure ila hapa unaona wachezaji hata watatu wanalundikana kwenye same space, inawanyima control
 

Attachments

  • Screenshot_20230404-225604.png
    Screenshot_20230404-225604.png
    142 KB · Views: 9
Itachukua muda mrefu sana kugundua kuwa Sir Potter hakuwa tatizo
Kenge hakuna mnachocheza, mnatikisa makalio tu Kama alivyosema mkuu hapo juu
Nyie kenge kwa usalama wenu msiingize timu uwanjani vs na arsenal ya NDOO
 

Attachments

  • Screenshot_20230404-225932.png
    Screenshot_20230404-225932.png
    309.2 KB · Views: 11
Leo Chelsea hawana Bahati.
Nafasi zinapotea...
Magoli yanakataliwa.

Lazima DARAJA Livunjike kwa hali hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom