Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hizo nyingine ni wishes na tambo tu za hapa na pale kuongeza heat ya mchezo lakin toka first leg borrusia walikuwa wamezidiwa pakubwa tu ila bahati ikawabeba na bahati huwa haiji mara mbili.
Ila mngetolewa ingependeza.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sisi hatuna cha kufanya tofauti na board members, ila kwa kuangalia Potter anapenda sana aifundishe Chelsea tena kwa dhati kutoka moyoni lakini cha kushangaza hajui aifundishije ili ashinde.

Kwa Chelsea Potter alitakiwa awe kocha msaidizi...Kocha gani anawatetea tu mchezaji ata akicheza chini ya kiwango?
Chelsea inahitaji kocha mnaa ili awafurute michezaji goigoi kama Mount na Kai nk
Potter ni kocha mzuri ila pressure ya timu ndio bado inamsumbua
 
HAPPY BIRTHDAY THE BLUES 1905-2023 (AGE 118yo)
Fq1yV0SWIAAtfEK


Fq1VskwWAAYW-A-
 
21 feb 2023 Liverpool 2-5 Real Madrid
28 may 2022 Liverpool 0-1 Real Madrid
14 apr 2021 Liverpool 0-0 Real Madrid
6 apr 2021 Real Madrid 3-1 Liverpool
26 may 2018 Real Madrid 3-1 Liverpool
4 nov 2014 Real Madrid 1-0 Liverpool
22 oct 2014 Liverpool 0-3 Real Madrid
10 mar 2009 Liverpool 4-0 Real Madrid
Kumbe livakuku ni kibonde ya madirid 😂😂🤣🤣
 
Jana Chelsea tulishinda 2:0 ila ukweli ni kwamba tulicheze bila formant au formular inayo eleweka, wakati wachezaji wetu ni wazuri, tulivamia mlago wa opponent vagarabagara bila kujua mfungaji wetu atakua nani, ndo maana tunakosa sana magoli kila mchezaji hajiamini kwamba yeye ndo arafunga anashutukizwa tu.

Huyu kocha wetu hana uwezo wa tactical futibali anabebwa na hao wachezaji. Hata nusu fainali tuna weza kufika hivo hivo kwa kubahatisha.
Hatukucheza vizuri ila tulipata matokeo muhimu.
Kiujumla tulibebwa kwa bahati tu na umahiri wa Wachezaji binafsi lakini Kocha hana lolote jipya.

BADO HP HAJAFUKUZWA TU?
 
Chelsea vs Leicester City

3-4-2-1 kwenye EPL

-------------Havertz----------------

Mudyrk -------------------- Sterling

Chilwell ----- Enzo---- Denis--- Cheek

Badiashile ----- Koulibally------Fofana

---------------Kepa -----------------
Sterling anaweza asianze..kocha kasema kwenye pre match conference kuwa alihisi maumivu kidogo ya harmstring hata mazoezini hakuwepo
 
Real Madrid ya sasa hivi haifanyi vizuri, imepoteana, Ancelotti yuko kwenye kikaango
Hii Madrid hata wajipange wenyewe halafu bench akae hata Nacho kwa Chelsea hii ya Potter tunatoka kwa tofauti ya magoli mengi tu. Tunajitahidi kuishangilia Chelsea kwa sababu ndio ishakua ila huyu kocha anakata moto kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom