Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hebu niletee match uliyocheza na madrid na ukamfunga hata moja tu....
21 feb 2023 Liverpool 2-5 Real Madrid
28 may 2022 Liverpool 0-1 Real Madrid
14 apr 2021 Liverpool 0-0 Real Madrid
6 apr 2021 Real Madrid 3-1 Liverpool
26 may 2018 Real Madrid 3-1 Liverpool
4 nov 2014 Real Madrid 1-0 Liverpool
22 oct 2014 Liverpool 0-3 Real Madrid
10 mar 2009 Liverpool 4-0 Real Madrid
 
Mmewaona wanaume hao!

Halafu kwa mpira wenu wa kumvaba na nyie mnataka UEFA eti.
 
Timu zitakazokutana na huu mwamba hazitaacha kujikwaa

FqvJMUfWwAAFa02
 
Yani Psg ina Messi na Mbappe lakini hata goli 1 hawajapata je sisi tulivyo wachovu tutaweza
Bayern hawafanyi vizuri kwenye ligi yao
Mpira huwa hauna formula wala mahesabu ya kulinganisha na kutofautisha. Inategemeana na unique reasons tu
Bayern wako sawa na points kwenye ligi na BVB ambao tumewaondoa so utaweza shangaa tukawafanyia vitu vya ajabu sana
 
James hajarudi kwenye form
Chilwell huyoo kwenye form
Sasa rasmi Potter arudi kwenye 343 na aache mapenzi na wachezaji wa mbele ambao hawatupi magoli

3-4-2-1 kwenye EPL

-------------------Felix au Havertz--------------------

Mudyrk au Mount -------------------- Sterling au Madueke

Chilwell ----- Enzo/Kovacic------ Kante /Kovacic---- James

Badiashile au Cucurela ------- Koulibally/Silva -------Fofana

---------------------Kepa au Mendy -----------------

Hii timu itufikishe nafasi ya 5 au 6 ili tucheze na kubeba Europa
Mwaka unaofuatia tunabeba UEFA
Huo ndio utamaduni wetu


3-4-2-1 kwenye UEFA

-------------------Felix au Havertz--------------------

Mudyrk au Mount -------------------- Sterling au Felix

Chilwell ----- Enzo/Kovacic------ Kante /Galagher---- James/Azpi

Cucurela/------- Koulibally/Silva -------Fofana

---------------------Kepa au Mendy -----------------
 
James hajarudi kwenye form
Chilwell huyoo kwenye form
Sasa rasmi Potter arudi kwenye 343 na aache mapenzi na wachezaji wa mbele ambao hawatupi magoli

3-4-2-1 kwenye EPL

-------------------Felix au Havertz--------------------

Mudyrk au Mount -------------------- Sterling au Madueke

Chilwell ----- Enzo/Kovacic------ Kante /Kovacic---- James

Badiashile au Cucurela ------- Koulibally/Silva -------Fofana

---------------------Kepa au Mendy -----------------

Hii timu itufikishe nafasi ya 5 au 6 ili tucheze na kubeba Europa
Mwaka unaofuatia tunabeba UEFA
Huo ndio utamaduni wetu


3-4-2-1 kwenye UEFA

-------------------Felix au Havertz--------------------

Mudyrk au Mount -------------------- Sterling au Felix

Chilwell ----- Enzo/Kovacic------ Kante /Galagher---- James/Azpi

Cucurela/------- Koulibally/Silva -------Fofana

---------------------Kepa au Mendy -----------------
Hivi uoni kazi anayofanya james kwenye ukabaji ingawa kwenda mbeleamekuwa sio tishio Sana ni kwasababu sterling alikuwa hakabi ndio maana mzigo unakuwa mkubwa Sana kwenye ukabaji ndio maana inamzuia yeye kwenda mbele sana
 
21 feb 2023 Liverpool 2-5 Real Madrid
28 may 2022 Liverpool 0-1 Real Madrid
14 apr 2021 Liverpool 0-0 Real Madrid
6 apr 2021 Real Madrid 3-1 Liverpool
26 may 2018 Real Madrid 3-1 Liverpool
4 nov 2014 Real Madrid 1-0 Liverpool
22 oct 2014 Liverpool 0-3 Real Madrid
10 mar 2009 Liverpool 4-0 Real Madrid
Sasa miaka 14 iliyopita ndio walishinda match yao ya mwisho....
 
Hivi uoni kazi anayofanya james kwenye ukabaji ingawa kwenda mbeleamekuwa sio tishio Sana ni kwasababu sterling alikuwa hakabi ndio maana mzigo unakuwa mkubwa Sana kwenye ukabaji ndio maana inamzuia yeye kwenda mbele sana
Hujanielewa, James tunayemjua hajurudi bado, huyu James anayecheza sasa anacheza vizuri ila hajamfikia yule James wa kabla majeruhi. Nadhani baada ya mechi kama 2 au tatu atarudi na pia kocha arudi kwenye 343 kwa sababu James anaonekana mzuri zaidi kwenye wing-back
 
Mnacheza lini nyie tujiandae na popcorn zetu kuwashuhudia mkifanyiwa ukatili wa micheza kama walivyofanyiwa Liverkuku
Hahahaa
Leipzig hawana huo ubavu, jumanne tunajikamulia zetu mapemaa..Ukiacha Bayern, hawa wajerumani wengine hakuna pahali wanaenda.
 
Potter mitano tena

Potter juzi alishinda hivyo basi

Tuna imani na potter mikumi kabisa
Sisi hatuna cha kufanya tofauti na board members, ila kwa kuangalia Potter anapenda sana aifundishe Chelsea tena kwa dhati kutoka moyoni lakini cha kushangaza hajui aifundishije ili ashinde.

Kwa Chelsea Potter alitakiwa awe kocha msaidizi...Kocha gani anawatetea tu mchezaji ata akicheza chini ya kiwango?
Chelsea inahitaji kocha mnaa ili awafurute michezaji goigoi kama Mount na Kai nk
 
Hahahaa
Leipzig hawana huo ubavu, jumanne tunajikamulia zetu mapemaa..Ukiacha Bayern, hawa wajerumani wengine hakuna pahali wanaenda.
Kwa hiyo sasa hivi unasema wajerumani hawana pa kwenda ukiondoa Bayern???? mbona kabla mlishasema tunaaga mashindano
 
Chelsea vs Leicester City

3-4-2-1 kwenye EPL

-------------Havertz----------------

Mudyrk -------------------- Sterling

Chilwell ----- Enzo---- Denis--- Cheek

Badiashile ----- Koulibally------Fofana

---------------Kepa -----------------
 
Kwa hiyo sasa hivi unasema wajerumani hawana pa kwenda ukiondoa Bayern???? mbona kabla mlishasema tunaaga mashindano
Hizo nyingine ni wishes na tambo tu za hapa na pale kuongeza heat ya mchezo lakin toka first leg borrusia walikuwa wamezidiwa pakubwa tu ila bahati ikawabeba na bahati huwa haiji mara mbili.
Ila mngetolewa ingependeza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom