Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Good luck chama langu I hope tutashinda [emoji170][emoji170][emoji170]
Tunasimama na Chuck Norris [emoji1478]
20230108_224807.jpg
 
Hii Madrid hata wajipange wenyewe halafu bench akae hata Nacho kwa Chelsea hii ya Potter tunatoka kwa tofauti ya magoli mengi tu. Tunajitahidi kuishangilia Chelsea kwa sababu ndio ishakua ila huyu kocha anakata moto kabisa
Madrid Wana struggle Sana , UCL ni mech za kimkakati , Ukiwaangalia Liverpool wanavyocheza muda huu utajua kwann walipigwa 5 na Madrid
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom